Тёмный

Wamwiduka Band - Kilingeni (Official Video) 

Wamwiduka Band
Подписаться 24 тыс.
Просмотров 1 млн
50% 1

"Kilingeni" is one of the very popular songs of the Wamwiduka Band. The song is talking about the amount of money that a man bribes a woman, which is a lot compared to what they get in return.
This song was recorded in 2018 by a successful and popular Tanzanian producer called Mensen Selekta, and its video was shot by a talented and famous Tanzanian video producer called Director Ivan and released during that year.
Thanks for watching us. Let us know what you think about us; feel free to share your comments down here; and take your time watching other videos from our channel.
Please don't forget to subscribe to our channel.

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 463   
@RashidShukulu
@RashidShukulu 4 месяца назад
Kama unaiangalia mwaka huu 2024 weka like❤
@AlinanusweKasyele
@AlinanusweKasyele 5 лет назад
I wish nyimbo kama hizi zingepata views za kutosha kwa sababu ya maudhui na melodies zinazowakilisha asili ya mwafrika ila bahati mbaya zile za mapenzi ndio zinazopendwa sana! SO SAD
@nover8035
@nover8035 3 года назад
mapenzi ndo maisha
@hoseakayinga2090
@hoseakayinga2090 3 года назад
Wametoa ujumbe kwa hisia kali sana, hakika "Umoyo wa mbabha"
@richardmdede5418
@richardmdede5418 3 года назад
Wanajua sana
@amasafraisonmsongole6455
@amasafraisonmsongole6455 2 года назад
Sahihi
@fredmartin4938
@fredmartin4938 Год назад
Vijana wangenyooka
@JairoLatif
@JairoLatif Месяц назад
I'm a black American from Kentucky but this vibe makes, me to know how great our ancestors were ✌️❤
@edwardemmanuel6145
@edwardemmanuel6145 6 лет назад
Wamwiduka Band! Nimewakubali, Kazi nzuri yenye uhalisia unaoakisi maisha halisi ya Jamii yetu. Hakika ni kazi nzuri sana, mpangilio wa vyombo na sauti - hii ni kazi halisi. Hongera sana! Nilibahatika kusikiliza mahojiano yenu kwa kipande kifupi. Hongera sana kwa kudumisha utamaduni na kazi hii bora. Mungu aendelee kuwalinda na kuwapa mafanikio zaidi! Amina
@rubenjohn1826
@rubenjohn1826 5 лет назад
bwanamdogo mwamwiduka ulishinza utwakilisya tasafya
@ramamwacharo9370
@ramamwacharo9370 3 года назад
Hongeran sana band mwiduka massage yenu imenigusa sana walalh na imenibalisha sana ...kep t up guys ...Kenya boy raymoe
@wilsonsiwakwi149
@wilsonsiwakwi149 3 года назад
Kama umekuja hapa baada ya ile clip TIK TOK ya waigizaji gonga like. Mbeya City stand up
@bettymwasa1079
@bettymwasa1079 3 года назад
Mimi pia
@daudgodwin902
@daudgodwin902 3 года назад
Ni mm kbx
@rehemakibaya3677
@rehemakibaya3677 3 года назад
Nipo hapa
@stanleyfelix6375
@stanleyfelix6375 3 года назад
Naam
@hassbaroo8804
@hassbaroo8804 3 года назад
Mimi mzee wng 😂
@MelaniaMkude
@MelaniaMkude Месяц назад
Kwasiku hii nyimbo naskiliza mara 10 naipenda❤❤❤
@omaryngamba-s6f
@omaryngamba-s6f Месяц назад
Huwa na enjoy sn niiskilizapo hii nyimbo,, penda sana
@patrickKitambo
@patrickKitambo 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Tanzania is endowed with talents, the instruments are on point
@sharifajanqabari4731
@sharifajanqabari4731 5 лет назад
Kama umerudia x10 kama mie gonga like hp👌🔥🔥💖💖💖
@neemanihushi7826
@neemanihushi7826 4 года назад
Yan wapo weng
@saidichilyenga2847
@saidichilyenga2847 3 года назад
Nimekushinda mm la67
@sharifajanqabari4731
@sharifajanqabari4731 3 года назад
@@saidichilyenga2847 😂mxiiiuu
@vvvvg3139
@vvvvg3139 3 года назад
Ata inapita mara kumi jaman nawapenda hawa watu mm 🤣🤣💃💃💃💃
@fatmaalley4135
@fatmaalley4135 6 лет назад
Nyimbo zote zina Ujumbe, Keep it up brothers #KuziEnt kazi nzuri kaka
@Wamwiduka
@Wamwiduka 5 лет назад
ahsante sana dada fatma. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-subscribe channel yetu
@iradukundajeanpaul3483
@iradukundajeanpaul3483 Месяц назад
Nyimbo za kina mabrother hawa zaakisi maisha halisi ya ulimwengu! Niwapongeze sana mno!
@jchitamu
@jchitamu 3 года назад
Nani amerudia amerudia zaidi ya mara moja kuwasikiliza/kuiangalia hii video tupongezane na kuwatakia kheri na ikibidi kuwapa support vijana hawa!
@marymsemwa6073
@marymsemwa6073 3 года назад
Huwa siichoki
@FestoAbiud
@FestoAbiud 3 месяца назад
❤❤❤❤watu wa nyumbani kwetu japo nimezaliwa njee ya jiji letu la mbeya wasafwa tujuane 🎉🎉
@wilfredmgaya6714
@wilfredmgaya6714 6 лет назад
Haya Ni Maisha Halisi Ya Baadhi Ya Watunza Familia Haswa Wanaume Wanaopata kipato chao na kusahau familia zao Hawara Chips Yai Watoto Nyumbani Viazi Vitamu
@andikafuta7109
@andikafuta7109 Год назад
And the wicked media can't allow an informative music like this to trend 😇😇😇
@sketchbabu
@sketchbabu 10 месяцев назад
The unfortunate truth 100%
@servantofalmightygoddranth2511
@servantofalmightygoddranth2511 2 года назад
Sisi wasafwa tuna akili sana sema babu zetu walichelewa kupata elimu, sema sisi wajukuu zao wakisafwa tumepata elimu tunawawakilisha vyema na kabila letu la kisafwa tokea mbeya,big up mmeimba vizuri sana
@rechomwaigaga2476
@rechomwaigaga2476 5 лет назад
wasafwaaaaa oyee nawapnda xan mdumuuu miak mingiiiiiii kwenuuuuuu
@Wamwiduka
@Wamwiduka 5 лет назад
OYeee!! ahsante Recho Mwaigaga
@vicentshonyela1710
@vicentshonyela1710 4 года назад
tunakupenda pia
@shedrackmwaipopo7253
@shedrackmwaipopo7253 4 года назад
Tukugene nawe
@ayubuabedi1482
@ayubuabedi1482 4 года назад
Nikiwa pande za muheza Tanga kwa mara ya kwanza nashuhudia live wamwiduka band nimependa kazi safi xana
@dieumedygard4745
@dieumedygard4745 3 года назад
Wa ndugu zangu nakuja kuwapongeza kaka zangu ❤️❤️😭 iyi nyimbo ni nyimbo ni ukweli wa maisha ❤️ big up musikate tamaa ipo siku mutafika kwenye malengo
@ezekielmanyesela3846
@ezekielmanyesela3846 5 лет назад
Hizi ndo nyimbo zetu za kuimba jumbe nzur Sana hakika pongez Sana
@andrewkivua1974
@andrewkivua1974 3 года назад
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nakubaliii.....ngoma ina message kubwa sana hii
@wilsonmcs3369
@wilsonmcs3369 5 лет назад
Nyimbo bora katika Tamasha LA SAUTI ZA BUSARA2019
@kipronomitei826
@kipronomitei826 3 года назад
Kilichonileta huku
@ramamwacharo9370
@ramamwacharo9370 3 года назад
Kumbe wangu mlinielewa nilipowadirect kama manager wenu...
@prophetzakayomkemwa5154
@prophetzakayomkemwa5154 Год назад
Namba zao pls
@cathbertpk1987
@cathbertpk1987 Год назад
Today is 30th, May 2023 and I come back here to this jam. I will always come back here to remind myself of where to channel my FOCUS and ENERGY.
@superchannel4455
@superchannel4455 5 лет назад
kazi nzuri sana wamwiduka yaani msibadili mfumo wa uimbaji wenu ni wapekee sana kazi nzuri mnoo mtafika mbali sana
@geoffreymdede7678
@geoffreymdede7678 5 лет назад
Unahonga pakubwa unakula padogo gonga like twende kama umemuelewa wamwiduka
@lucychaula1067
@lucychaula1067 5 лет назад
Hiyo ndo kazi yenu
@felinesmsuva847
@felinesmsuva847 3 года назад
Hatari jama hawo
@modestevans2836
@modestevans2836 5 лет назад
#wasafwa nakubali mna mziki mzuri sana. wamwiduka mmetisha sana, AWILO MASOKSI, KIDUME CHA MBEYA yu wap, @ajali ya ntokela alooo nakumbuka mbali. Endeleza mbele gurudumu la mziki wetu wa asili...one love
@denicensimeki4390
@denicensimeki4390 2 года назад
Waliokuja hapa baada ya ze original comedy tujuane🙌🙌
@justinerichard6823
@justinerichard6823 2 года назад
Dah hii imenigusa sana wazaz wetu wameishi san hayo maisha ... Vijan tubadilike
@josephinemuringo2453
@josephinemuringo2453 Месяц назад
Great Band❤. Calabash kid 😸👍
@zephaniamwailugula9513
@zephaniamwailugula9513 4 года назад
Wasafwa juuu sana ,big up
@driftdumper8927
@driftdumper8927 5 лет назад
Huu wimbo naupenda sana yaani unaelezea ukweli mtupu!! Watoto wengi wamepitia maisha magum sababu ya kua na wazazi wa tabia ya kuhonga
@emmanuelbenson6149
@emmanuelbenson6149 3 года назад
Aseee hawa jamaaa nimewatafuta Sana leo kama mungu nimepata hii
@mbocheledominick1766
@mbocheledominick1766 5 лет назад
Nawakubali sana nyie jamaa,, natambua sana uwezo wenu
@JosephHewan-qb1uq
@JosephHewan-qb1uq Месяц назад
chakunyumba unyama mwingi 🎉🎉🎉🎉❤
@koffikouadioguillaume245
@koffikouadioguillaume245 Год назад
Depuis la côte d'ivoire 🇨🇮🇨🇮🇨🇮🇨🇮🕺🕺🕺🕺
@kevinbona7669
@kevinbona7669 3 года назад
Kuna watu wachawi how can you dislike this?!
@mashachaney2048
@mashachaney2048 Год назад
Si Tunajikutaga Western, wakati hii ndo Miziki yetu.
@sketchbabu
@sketchbabu 10 месяцев назад
Disliking this song ni ushetani
@ramcymosungu4700
@ramcymosungu4700 4 года назад
Daaaaah jamaaa hawafaiiiii hata kidgo, hhuyoooo mesen selekta sasa Gonga like kwaoooo
@asueddy1465
@asueddy1465 6 лет назад
Mweeee...unapata elfu moja unahonga mia saba unakula mia tatu..
@masongaofficial
@masongaofficial 4 года назад
Sikia kazi na subscribe mdau link ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rrfh8v5xOQQ.html
@rastamichael2734
@rastamichael2734 3 года назад
Shida
@abrahammichael4506
@abrahammichael4506 3 года назад
Mnadumisha sana utamaduni kupitia Muziki. Kazi nzuri sana. Tunatarajia nyimbo nyingi zaidi za aina hii kutoka kwenu. #Wamwiduka Band. Tupo hapa kuwaunga mkono #support
@ivarngasper2055
@ivarngasper2055 4 года назад
All from Mbeya Team Awilo nipen like zangu plz
@suziemgata8925
@suziemgata8925 2 года назад
Yaani hawa wanauwezo wa kuimba saaaana,,na niwabunifuu mnooo na nyimbo zinaujumbe mzuri mnooo hizi ndozingekuwa kinapigwa kwenye kumbi za anasha nadhani hata wababa wenye akili za kilibgeni wangepungua ujumbe mzuri mno🥰🔥hivii hao masponsa wa kuwapushi wawainue ,,ukisikia vipaji ndo hiviii cyo mapiano cyoi nn ujinga mtupu
@aminatwahatwaha3787
@aminatwahatwaha3787 3 года назад
Wangapi tumemkubali aliyesimama na gitaa. Like tujuane 🧚‍♀️
@ismailmohamed741
@ismailmohamed741 6 лет назад
Hongera kwenu, kazi nzuri. Kila la kheri keep fighting.
@Wamwiduka
@Wamwiduka 5 лет назад
ahsante sana Kaka ISMAIL. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-SUBSCRIBE channel yetu
@catherinekileva414
@catherinekileva414 2 года назад
Wimbo mzuri, ujumbe safi kabisaa, maadhi ya kiasili kabisaaaaaaa. Nimependezwaa haswaaaaa
@muna7809
@muna7809 11 месяцев назад
Listing from Zimbabweeeeee
@edsonnchimbi3595
@edsonnchimbi3595 5 лет назад
Afadhali nimeupata huu wimbo,kazi nzuri
@Bwafula
@Bwafula 3 года назад
Great piece of music with loaded message. Like African sounds
@itindepamba7220
@itindepamba7220 3 года назад
Africa(Tanzania) with Afrosounds
@batromeomzelela1624
@batromeomzelela1624 3 года назад
Muvi
@vicentshonyela1710
@vicentshonyela1710 4 года назад
Tasafwa tivinzaaa
@mattanofficemusc3535
@mattanofficemusc3535 3 года назад
Kwan hiii rimix ya panguso au💓💓🙅
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 3 года назад
Hakika Jehovah awabariki na kuwafanyia wepesi siku mpate kufanikiwa zaidi ya hapa ili Ulimwengu uwatambuwe.
@nicksonamiani
@nicksonamiani Год назад
Kwa kweli kitu tam ni tam tu
@AziziAbdul-or8pr
@AziziAbdul-or8pr Год назад
Noma sanaaa mziki mkalii
@verohgershom550
@verohgershom550 6 лет назад
Nimewakubaliiii sana wenyeji wetuuu mbeya moja iyo big up sana
@Wamwiduka
@Wamwiduka 6 лет назад
ahsante DADA kwa support yako
@christophermwashala469
@christophermwashala469 5 лет назад
Wambabha mwoyo
@daudiddawa8349
@daudiddawa8349 6 лет назад
Hawa jamaa wako vizuri sana... napenda kusikia nyimbo zao .... ila sasa Kwann ulifuta nyimbo zao zingine... kama_ Lupa hata hii kilingeni video yakwanza ile
@ashamyula3178
@ashamyula3178 2 года назад
Nyimbo nzuri sana! Ujumbe mzito.tunataka nyimbo kama hizi. Big up brothers!!
@K....ing006
@K....ing006 3 года назад
Hizi ndo nyimbo huchoki bonge la nyimbo huchoki kusikiliza💥💥💥💥💥💯💯💯💯
@calabash4221
@calabash4221 4 года назад
Kwa muda mrefu nilikuwa sijasikia muziki halisi na nilishakata tamaa...ahsanteni sana Wamwiduka kutukumbusha kuwa vipaji vipo na muziki pia upo....
@florahkimbage9571
@florahkimbage9571 2 года назад
Huu wimbo mzuri sana una ujumbe mzito sana na ni kweli haya ndio yanayoendelea kwenye maisha yetu ya kila siku,,, Pongezi sana kwenu
@elizampole4366
@elizampole4366 5 лет назад
kila SK lazma niskilize huu wimbo. nakumbk nyumbn imic u sana .mbeya mwasanga.
@LAWIMSALILWA
@LAWIMSALILWA 4 года назад
Mwasanga secondary umesoma?
@chazkoillah2652
@chazkoillah2652 3 года назад
Nimeitafuta sana finally I get it
@ernestmatimba4784
@ernestmatimba4784 5 лет назад
MIE NAWAKUBALI SANA NYIE NDUGU ZANGU. MUNGU AWABARIKI SANA NA IBARIKIWE KAZI YA MIKONO YENU. AMINA
@patrickmunishi8242
@patrickmunishi8242 4 года назад
2020 Bado tunawatazama #Mashujaa!
@samwelrobert5668
@samwelrobert5668 3 года назад
2021 still listening music from Africa
@damoxybeatmaker5926
@damoxybeatmaker5926 6 дней назад
Nakutumia kazi iko moto CIO p kk
@clementiddi5708
@clementiddi5708 2 года назад
Getting emotional while listening to these brothers
@sketchbabu
@sketchbabu 10 месяцев назад
I feel you.
@Malima29_10
@Malima29_10 Год назад
Ujumbe Muhimu Sana, ✌️
@MarkOlubayo
@MarkOlubayo 3 месяца назад
Mimi nikiwa kenya nafurahia sana nyimbo zenu. Hongela sana
@bonfacekakhayanga8216
@bonfacekakhayanga8216 Год назад
Kazi safi sana hii.
@onesmopangala642
@onesmopangala642 3 года назад
dagaga wamwitu mziki wa nyumbasni kwanzaaaaa mbeya moja by malila boy toka shilanga
@hatibuabdulla1039
@hatibuabdulla1039 Год назад
Safi Sana dungu zangu Ngoma Kali
@frankntenga1262
@frankntenga1262 5 лет назад
vwasafwaa wanyiga ndigaa wapo wengi hapa mjini wenye tabia kama hiyo
@charlesstanslaus6804
@charlesstanslaus6804 2 года назад
Nyimbo nzur inaujumbe konki
@francelutanile168
@francelutanile168 5 лет назад
This is real life of this century watoto wanapata tabu baba hana care ,,nice song with natural voice and taste
@samiaselemani5094
@samiaselemani5094 3 года назад
Waliokuja kuucheki baada ya Hakika Ruben kupost akiimba tujuane ahaaaaa
@kaukinatalia8029
@kaukinatalia8029 3 года назад
nipo hapa
@godywamichano6623
@godywamichano6623 6 лет назад
Wasafwa Noma sana
@Wamwiduka
@Wamwiduka 5 лет назад
Ni noma kwakeli GODY. Karibu kutazama video zetu mpya mtandaoni na husisahau ku-SUBSCRIBE channel yetu. THANKS
@tompatel849
@tompatel849 2 года назад
Muziki Wetu huu. heko sana Wamwiduka
@inearclassictz1233
@inearclassictz1233 2 дня назад
Bonge la ngoma
@daudpius130
@daudpius130 Год назад
Hakika nimewakubali kinoma noma
@SwahiliAmbasador954
@SwahiliAmbasador954 2 года назад
Hii kitu yamoto kweli wamwiduka lugha yakwetu maana yake ni wadukani.
@mujibumusa5708
@mujibumusa5708 4 года назад
nimekubal hiinyimbo mkal big up niliiskia kweny Redio reo Kwe 92 ,1 ahsant mkal imenigus San hii nyimb
@isaiahngusa3661
@isaiahngusa3661 3 года назад
Watoto wako nyumbani viazi vitamu 😭😭 tutonge likes za kutosha kwa ujumbe mzuri 👍
@MudyAbuu-tx8lw
@MudyAbuu-tx8lw 11 месяцев назад
Bonge la ngomaaa vibu la ela yote
@EnozuuTV
@EnozuuTV 4 года назад
Jie Jamaa niwaambie kitu,msije badilika kutoka kwenye hii aina ya mziki bonge ya creativity.
@panadolissa9761
@panadolissa9761 5 лет назад
Daaaah nyimboo nimeikubalia sana napenda kilaa saaa kuisikiliza kazi zuli sana bgup
@ramadhanwemamwalimu8748
@ramadhanwemamwalimu8748 Год назад
Goma kali🔥🔥🔥🔥
@arunajuma9741
@arunajuma9741 5 лет назад
Daah napata hisia frah nikiwasikiliza Wamwiduka hongera zao cnaa wanafanya vzr mung awasimamie wafike mbali vijana
@winfridakaduma8036
@winfridakaduma8036 3 года назад
Daaah kweli mnawakilish vyema nime penda
@estonmwandala2329
@estonmwandala2329 2 года назад
Mafundi wa mziki wa Asili Africa Kama unakubali gonga like na comment
@willieliminakalagalila9177
@willieliminakalagalila9177 3 года назад
Yaaan nazipenda hizi nyimbo naweza kuangalia bila kuchoka
@samuelmwaipopo1302
@samuelmwaipopo1302 3 года назад
God bless Mbeya region in it's own way. We have everything. Thanks Lord
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 3 года назад
Jah is good all the time.
@kluzophilimon7186
@kluzophilimon7186 3 года назад
Du! mis home mbeya nmekubali sana hawala chips mayai.....
@lwitikomwasumbi1284
@lwitikomwasumbi1284 4 года назад
Wolo wolo wana wapipa
@mararegiononline3457
@mararegiononline3457 4 года назад
#MensenSelekta. Nakukubali sana haubahatishi wewe ni fundi mzee kila mziki unaweza kufanya na ukapatia.
@ntanilanjema04
@ntanilanjema04 3 года назад
Kika la kheri mwiduka band
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 11 месяцев назад
Hizi ndo nyimbo,siyo namtafuta hani.
@geofreyjoseph6843
@geofreyjoseph6843 4 года назад
Tumekuja na panguso baba, tumekuja na panguusooo hahahaha......😄
@evelinemartine1352
@evelinemartine1352 4 года назад
Team Vegas 2pooo
@Braverboytz0
@Braverboytz0 11 месяцев назад
Mi mwenyewe mwimbaji lakini kwa ngoma hizi nazipa saluti Mara 20000000000000000
@hamisimturuma5869
@hamisimturuma5869 2 года назад
Nakubali sana wamwiduka ayo wanayoyasema ndio maisha alisi ya mwanaume mtuelimishe nawakubali sana fanyanyeni akina kaka
@felix-junior
@felix-junior Год назад
Wasaf✨✨🖖
@hassanalimawoko3467
@hassanalimawoko3467 Год назад
Kali sana...
@gaudensiayustini8669
@gaudensiayustini8669 2 года назад
Mbona nyimbo tamu
@pharouqpharaoh5186
@pharouqpharaoh5186 2 года назад
wajomba niliwaona mbeya much love from +254
@aswilekibona9861
@aswilekibona9861 9 месяцев назад
Bonge la ujumbe