Shirika la msalaba mwekundu eneo la North rift, Limeandaa mashindano ya wanafunzi wa shule za msingi, upili na vyuo vikuu kuhusu mbinu za kukabiliana na majanga na kuzuia maafa yanayoweza kuepukika.Shirika la Kenya Red Cross linasema kuwa idadi kubwa ya wakenya watapata mafunzo ya huduma ya kwanza ili kusaidia wakati mkasa utakapotokea.
7 сен 2024