Sisi watu wakusilimu mitihani ni mingi sana inataka moyo na subra sanaa. Ndugu zangu wenye wakona uwezo wasaindie Hawa mama zetu.. na mm Bado nikiombea mme wangu kazi ya dereva mwenye ataskia nafasi awasiliane na mwalimu .. wajazakallahu kheir
A Aleykum imeni touch kwa kweli natamani ningekuwa na hela ningetoa mchango wangu na mm nika jinyakulia mithawabu kwa Allah. Nawapenda sana hawa kina dada walojaa nuru MashaAllah
Katika kuzini wakiwa wote ni vijana ambao hawaja oa au kuolewa, hukmu Yao nikipigwa fimbo Mia kila mmoja na kisha wagurishwe/wafukuzwe huo mji kwa mda wa mwaka mmoja.
52:23 uchungu wanaopata wanawake ni hiyo ya kwa sababu walikosea mungu. Wakristo wanasema kuwa yesu Aliondosha dhambi hiyo kusilibiwa. Na sasa swali ni baada ya yesu kusilibiwa mbona bado wanawake wapata hayo Maumivu bado?
Asalamu aleykum. Washahihidi 4 hata 3 no kuna wakati ya Omar RALIYALAAH . Ilikuwa jama ame letuwa wa tatu waka Sema ya ine ame Sema a m not sure. Alafu Ali RALIYALAAH. Aka jibu Omar siyo kamili . hatumiki Lakini ya wayana si jui