Тёмный

WAPWANI WAMEAMUA KIVOVOTE KUPINGA MUGUKAA 

Ahmad Badawy Tv
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 167   
@abdisalan7515
@abdisalan7515 4 месяца назад
Mashalah mogokaa hatutaki ni chaafu saana mokojwa sheytaani
@naomikrause1762
@naomikrause1762 4 месяца назад
HONGERAAAAAA WAPWANI MUSIMAMO NI HUOHUO HAKUNA MUKUGA PWANI 🙏🙏🙏💪💪💪👏👏👏✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
@AishaFamau-kb6mq
@AishaFamau-kb6mq 4 месяца назад
Hakuna kuogopa hakuna kurdi nyuma wao angalie kwao na sisi tunahaki kwetu hongera magavana wetu Big up.
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 4 месяца назад
Ma sha Allah tabaraka Rahman shairi zuri . Wapwani hatutaki mughoka mira na ulevi wowote marufuku haswa mighoka chafu sana
@mzurijora6247
@mzurijora6247 4 месяца назад
Very good...very very good...Ni wazi kabisa uongozi wa national government, tulio nao kwa sasa, hauna HESHIMA kabisa na wapwani. Na sio wapwani pekee, hauna HESHIMA hata kwa UBINADAMU kwa jumla.. 😊😊
@soloibrahim9673
@soloibrahim9673 4 месяца назад
Good move do all your best to protect your future generations as those merciless politicians are protecting protecting their farmers .
@jumaahmadi
@jumaahmadi 4 месяца назад
Mashallah tupo pamoja form tz
@Fays2010
@Fays2010 4 месяца назад
They should produce maize instead of Maguka and Mira. Why they produce hazadous leaves instead.
@Kijosh854
@Kijosh854 4 месяца назад
Hatutaki mugokaa pwani InshaAllah Allah atawaalani wote wenye kulazimisha kutaka kuaribia wapwani maisha yao kwakuwauzia mugokaa
@chiwayamruche9415
@chiwayamruche9415 4 месяца назад
Pamoja sana wapwani wenzangu💪💪💪💪💪💪💪💪
@mohamedahmed-gt1qv
@mohamedahmed-gt1qv 4 месяца назад
In Shaa Allah Mungu Atatufaulisha na mungu atupe umojs ndio tuushinde kwa haraka
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Ruto anapenda hela sio utu
@kabwere
@kabwere 4 месяца назад
Alhamdhulilahi....muda ni sasa. Tupingeni kabisa. Mugukaa ni sumu kwenye kizazi chetu.
@AshrafBunu
@AshrafBunu 4 месяца назад
Hongera wapwani
@halimamistri8638
@halimamistri8638 4 месяца назад
Hongera wa pwani misimamo ni huyo huyo Hatutaki Muguka na Miraa ni ulevi .
@HASSANNzai-y8g
@HASSANNzai-y8g 4 месяца назад
MashaAllah Allah akukhifadhi kwakuitetea khaqi inshaAllah.
@farjallahubeydabdulrahman4845
@farjallahubeydabdulrahman4845 4 месяца назад
Tuko pamoja kupinga muguka waah kumbe wanatuuzia sumu hatutakubali kabisa ikiwa wanataka waende bara wauzie watu wao hatutaki kwani lazima wauze pwani ole wao siku zao zimefikia mwisho miti yote iteleze HATUKUBALI KAMWE
@bilalomar1185
@bilalomar1185 4 месяца назад
MashaAllah❤❤❤❤ i Umoja ninguvu🎉🎉🎉🎉
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@issaahmed614
@issaahmed614 4 месяца назад
Masha allah mungu awalinde my county 001❤❤❤❤
@ZariaAbdullah-r5t
@ZariaAbdullah-r5t 4 месяца назад
Abdurogo rahmah llah muliona alichokuwa akikipiga muka muona kachanganyikiwa baaziyenu mukaungana na makari muka muuwa poleni
@isagreg8482
@isagreg8482 4 месяца назад
Jicho pevu ako wapi mbona amenyamaza 😂😂😂😂
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 месяца назад
Hyo NI mtu WA chuki tuu anajifanya kma nimtu anapiga vita mihadharati but Leo haonekani kabisa
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 4 месяца назад
Ako safari
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 месяца назад
@@Khalid-mf3iu atarudi utasikia akiimba nyimbo ya ruto kma duale ,miraj,na fatma achani
@williemzazi2030
@williemzazi2030 4 месяца назад
Jicho pevu anachungulia kwa dirisha😂😂
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@rosekadzokillian9700
@rosekadzokillian9700 4 месяца назад
Hii ngoma ni kali, ..... 2027 mpigien Tena,...
@hamadmohammed9928
@hamadmohammed9928 4 месяца назад
In shaa Allah Allah atupe nguvu wapwani tulinde vizazi vyetu
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Watu wa pwani wamewaka moto
@mamitomamita6284
@mamitomamita6284 4 месяца назад
ALLAH KAREEM
@SophiaMbogo-in7yt
@SophiaMbogo-in7yt 4 месяца назад
MashaaAllah tabaraka Allah Mola akuzidishie umri wenye kher nanyi I'm very happy to see the crash of mugokaa and miraa Allah awasimamie muweze kushinda InshaaAllah
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
Allah ataleta ukweli na ambao waumga mkono huu ujinga Allah ataumbua inshaaallah shida wapwani hawana umoja washerekea ujinga sasa
@selinaapondi5387
@selinaapondi5387 4 месяца назад
We support you full
@lordenoughforme4417
@lordenoughforme4417 4 месяца назад
Viongozo Wasiende kwa ruto.raisi dectator.anaangalia wabara wake hataki kujua wapwani.tutachoma magari yataokuja yamugokaa shenz kabisa
@pacificabaursch4430
@pacificabaursch4430 4 месяца назад
Big Support to Coast Pro. NO NO Muguka 🇧🇪
@MombasaKwetu-ft9ky
@MombasaKwetu-ft9ky 4 месяца назад
Kwani nilazima wauze pwani wauze huko kwao
@ranoxranduh9743
@ranoxranduh9743 4 месяца назад
Kama n mzuri wakiwa bunge wachonge huku wakiendeleza vikao vya bunge
@ramlajeffah9831
@ramlajeffah9831 4 месяца назад
Kabsa mumesema kweli babazetu pia sisi twasimama na nyinyi hatutaki mugokaa kenya
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
The right will reign God is on our side ..the evil ruto gava wil not win
@sierabravo848
@sierabravo848 4 месяца назад
Kazeni Kamba Wazee na gavaner.tanzania ni marfuku miraa angalia watu wao wanajishughulisha na kazi na mashaalah watu wana nidhamu na busara.lkn Kenya ni balaa
@pacificabaursch4430
@pacificabaursch4430 4 месяца назад
Mugoka is not vegatable leaves, that can be cocked use to eat together with Meal, but drugs. Mugoka are not like coffee or tea leaves to be chewed but to be taken or drinking.🇧🇪❤❤
@abousadallah3563
@abousadallah3563 4 месяца назад
gaweni nchi tuu,mumbasa igitegeme
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@HansChuma
@HansChuma 3 месяца назад
Tanga kwetu tanzania na Mombasa bibi moja mama moja baba moja shangazi moja bora muwe kwetu turudi kama zaman kweli wanataka wakumalizeni nduguzetu😢😢😢😢
@HaidarMzee
@HaidarMzee 4 месяца назад
Sisi kama wapwani hatutaki mugoka sio lazima mugoka ulete pwani uende huko bara
@hassanshaaban-gpp
@hassanshaaban-gpp 4 месяца назад
الله معكم و يسدد خطاكم
@RehemaMbito-j1m
@RehemaMbito-j1m 4 месяца назад
Wanataka kumaliza wapwani wanatumia kila njia,lakini Allah atatusimamia in shaa Allah.
@mwangimuhammad-sx9hb
@mwangimuhammad-sx9hb 4 месяца назад
Huyo zakayo aliegemea upande wa kisiasa coz huko miguuka itokapo, zakayo kapoteza uungwaji mkono, so anajaribu kuwafurahisha
@fatmaabdul2873
@fatmaabdul2873 4 месяца назад
Wapwani tushikane tuungane no mugokaa it's now or never
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
All fired up
@georgendungu2247
@georgendungu2247 4 месяца назад
Hapo Sasa raisi ni Moja
@alimasha-qh3vn
@alimasha-qh3vn 4 месяца назад
Kweli mzee hawa watu wanatubeba ufala sana
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@PaulKisui
@PaulKisui 4 месяца назад
umeshelewa,elewa sheria kuuu na sheria ya kaunty ni tofauti kabisa
@MwakachiMwamvumbo
@MwakachiMwamvumbo 4 месяца назад
Ahsanta, mungu atatubariki na maombi yetu yote atayaitikia aaamin aamin
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@nchimbuke7261
@nchimbuke7261 4 месяца назад
Ikibidi Sana Bakora Zitembee Tu Wasitutawale Kila Kona
@Zainab-f9w5x
@Zainab-f9w5x 4 месяца назад
Ruto hana dini
@timaidarus4220
@timaidarus4220 4 месяца назад
Mogokaa tumekataa .wameru watakubali tuwapelekee kitu wasishokitaka.wasilamishe.
@arostoboy
@arostoboy 4 месяца назад
Warudi Oman pwani ni Kenya, kama wanaona bado ya Sultan hamud ama mazrui wanaota, Mombasa ni Kenya n wakenya ni wamoja
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Suala .. bwenyenye ...ubaya ni tama ya hela...
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 4 месяца назад
Pammoja nko Bahrain
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
I love the shahiri
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@dorinewanyonyi116
@dorinewanyonyi116 4 месяца назад
Pole sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@babuuosama8752
@babuuosama8752 4 месяца назад
Ruto pesa pesa pesa Mungu wake Ruto anahabudu pesa sio Mungu Ruto billions 16 za baiden za kukubali ushoga kenya Ruto kwa Baiden ni kipenzi Rafiki .Ruto mokoga ushuru million 500 ni borah borah kuliko Maisha ya vijana viongozi wa kesho wa taifa la kenya . Zakayo money made him ....... Almighty Allah GOD Enemy .
@RacusLove
@RacusLove 4 месяца назад
STOP 🛑 Mugokaa. Atleast not to supply to Pwani. It's not late wa pwani waungane waokoe future ya Jamii.
@z-1il
@z-1il 4 месяца назад
Allahu Akbar
@mwanashamzee2712
@mwanashamzee2712 4 месяца назад
La msingi ni kuacha muguka
@HansChuma
@HansChuma 3 месяца назад
Mashallah
@MohammedAli-fp9vn
@MohammedAli-fp9vn 4 месяца назад
Hupewa pesa wao wavuvi walamu mpaka leo hawajapata ridhaa zao
@angle3600
@angle3600 4 месяца назад
Wakileta nywenywe nywenywe wapwani wafanyieni kile kitu hao watu wa gokaa,na Ruto Mungu atamuona
@nuriaahmed9986
@nuriaahmed9986 4 месяца назад
wapwani msimamo ni huo huo musirudi nyuma mungu atawasaidia
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@ummiissaabdulissaabdul8117
@ummiissaabdulissaabdul8117 4 месяца назад
Ruto nshoga na Achani malaya tu wakawaida mbwa awa yule mwanamke Achani wa kwale ndio nalauni mkubwa msaliti wa pwani yani. hana muelekeo mbea sana yuaogopa mumewe ruto awezi kupiga lilote uyu
@bigmanfish6346
@bigmanfish6346 4 месяца назад
Lakini nashangaa na kitu kimoja. Mbona hata siku moja hamujasimama hivi kuzuia unga na bangi?? Sielewi bado mimi
@bakarikenga4426
@bakarikenga4426 4 месяца назад
Tuandamaneeeeee
@josephmikae79
@josephmikae79 4 месяца назад
Hapo kweli tuta finya hizo gari za migokaa😅😅😅😅😅
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Hatotaweza ...lamu swa nice
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 месяца назад
Chakushangaza madaktari wamegoma zaidi ya miezi 4, Ruto kila siku yuasema serikali haina pesa ,sasa million 500 amechota tu akapeana hivyo !!!! Kweli serikali ya Kenya kwa sasa inaongozwa na raisi mlimbukeni na asiejitambua na wingi wa kutaka sifa
@madrassatulihyaa-ilislaami2911
@madrassatulihyaa-ilislaami2911 4 месяца назад
Wakikataa kutuskiza tupigeni kututi kila msikiti kuwaalani kwanzia Rais na wote wanaounga mkono katika serikali, tuwapigie kunuti wote wafee pumbavu sana
@iddiyrashid1682
@iddiyrashid1682 4 месяца назад
Ingekuwa mugokaa unatokwa pwani wangekubali usitumike lakini unatoka kwao kazi ipo
@eliasbinmusah4198
@eliasbinmusah4198 4 месяца назад
Anaitwa Abu mwenyewe
@awashomar5606
@awashomar5606 4 месяца назад
kweli kabisa twahitaji haki itendeke mongokaa ni sumu kali.
@oyay2821
@oyay2821 4 месяца назад
Huyu ndie Sultan wetu
@elinamkare-vw2ro
@elinamkare-vw2ro 4 месяца назад
Mombasa tumekataa hatutakii mogokaaaa
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@IsmailBaya
@IsmailBaya 4 месяца назад
Wapwani hatutatishwa na mtu yeyote.No mogoka in mombasa
@HalimaMusa-e3k
@HalimaMusa-e3k 4 месяца назад
Mbona wanatuonea watu wa pwani
@z-1il
@z-1il 4 месяца назад
Mungu awazidishieni
@timaidarus4220
@timaidarus4220 4 месяца назад
Simtambui duale na maneno yake mabaya sana
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@AishaFamau-kb6mq
@AishaFamau-kb6mq 4 месяца назад
Magavana wetu tuko nyuma yenu mungu atawapa nguvu mungu hayuko madhalimu.
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Ruto is mtu mzuri..bottomline
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 месяца назад
🎉abuu bakar mashaa llah umeongea kma watu Mia
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@andallaathman3856
@andallaathman3856 4 месяца назад
@@noahwamalwa4385 ndio wambie wenzio watubu BC uchafu umezidi kupitia nyinyi kwenu hamjali
@IbrahimWare-ge2qz
@IbrahimWare-ge2qz 4 месяца назад
Sawa😂❤ 1:45
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@KoomeNzima-e2v
@KoomeNzima-e2v 4 месяца назад
Wanasema pwani si kenya
@Blackmuslimtiger3025
@Blackmuslimtiger3025 4 месяца назад
Yeah sio kenya uta do????
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@MableGayi
@MableGayi 4 месяца назад
Mbona huyo ruto wasiuze mogoka kwao
@mohamedmwinyi3261
@mohamedmwinyi3261 4 месяца назад
500m financial bill ya mungokaa na miraa na serekali yasema Haina pesa ya kulipa waalimu na wauguzi na watibabu unaziweka kumaliza future generations je hii nikukombowa taifa la vizazi vijavyo au ni kuangamiza taifa la vizazi vijavyo amkeni wabunge magavana senators MCA na viongozi wengine wa pwani mukemee hili swala huyo anataka kupiga Kiki kuchukuwa Jimbo la pwani anajua ni ngome ya ODM wake-up coast region let's say NO MUNGOKAA NA MIRAA
@halimamistri8638
@halimamistri8638 4 месяца назад
Marufuku Muguka na Miraa.!!!!
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@abdallasarai6327
@abdallasarai6327 4 месяца назад
❤❤❤
@ramadhansoud2441
@ramadhansoud2441 4 месяца назад
Boycott ya marungi na mukuga itakua best solution tukipambana na kesi
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@adokaish
@adokaish 4 месяца назад
Agenda nikuangamiza wa costo...😂
@yusufsaid8911
@yusufsaid8911 4 месяца назад
HUYU MOHD ALI NA HASSAN SARAI WAMEPOTEA WAPI WAKATI HUU WA KUPAMBANA NA MIHADHARATI. NA NDIO WALIOKUA WAKIPIGA KELELE KUHUSU MIHADHARATI WAKATI WA JOHO AMA SABABU WAKO KWA SERIKALI
@princefeisla3692
@princefeisla3692 4 месяца назад
Wako na rais wao😂
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 4 месяца назад
Tena hatutaki mogokaa kabisaa na tafadhalini magari yenu tutachoma malory wananchi hatutaki
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@alfredkoleta4054
@alfredkoleta4054 4 месяца назад
Songeni mbele kabisa
@rezzahjuma8119
@rezzahjuma8119 4 месяца назад
Mgokaa usitishwe kabisaaaa
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@nixonmwanguni3094
@nixonmwanguni3094 4 месяца назад
Kwengine mwapinga,na kwengine mwataka mogoka
@BiashaElefu
@BiashaElefu 4 месяца назад
🎉🎉🎉💃💃💃🌹🌹
@salimsibabu9027
@salimsibabu9027 4 месяца назад
Jicho pesa amenyamaza bz master anaunga mkono mugoka. No mugoka in Mombasa, Kilifi and Taita
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@adriankenyan7938
@adriankenyan7938 4 месяца назад
😂😂😂 mbele ya pesa. Watu wasimama kusema Mugoka lakini kina Joho waingiza madawa ya kulevya hawaongelei . Pesa kweli haina adabu .
@arafatally3723
@arafatally3723 4 месяца назад
Anti narcotic police wako wapi wadeal na drug barons?Vp madawa ya kulevya yamo mijini mwetu ilhali mipaka inalindwa?
@adriankenyan7938
@adriankenyan7938 4 месяца назад
@@arafatally3723 Joho everyone knows Kua does drugs his brother too na Abdulswamad has been with them the whole time in their deals . No border controls cos they hold diplomatic passports na ni kitu wengi wako nao . This fight is all about who deals with what . Miraa and mugokaa now brings lot of money for them it’s a threat in Mombasa for their businesses
@fatumajuma592
@fatumajuma592 4 месяца назад
Umesema kweli
@noahwamalwa4385
@noahwamalwa4385 4 месяца назад
Ufalme wa Mungu Baba umekaribia. Tubuni na kuiamini injili. Hivi karibuni Issa Mwana wa wa Maryam, Mungu Mukuu na Mwokozi wetu atashuka na kuihukumu dunia. Yeyote na aliye na masikio na asikie.
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 4 месяца назад
🙏🏽💯💖💖💖
Далее
Muguka traders and police officers clash in Mombasa
4:26
Maoni kuhusu Muguka Taita Taveta
3:41
Просмотров 6 тыс.
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Просмотров 31 млн
HATUTAKI MUNGOKAA May 2024
11:39
Просмотров 1,5 тыс.