MashaAllah,kazi mzuri sana ambayo waifanya mkubwa wangu!haki za Wapwani zinaendelea kuibiwa kinyume cha haki za kibinadamu na usawa wamambo.Exposing issues like these is very important
Maa Shaa Allah...ila sina uhakika going by zakayo's nature and by his history, na appetite yake kwa low lying fruits kama atasaidia, bila ya kusahau kauli yake eti Kenya ni nchi ya kikristo...ni maoni yangu.... Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu.