Alizua mjadala mkali kuhusiana na mchango wa viongozi wa kidini kutumia nyadhifa zao na maeneo ya ibada kusambaza itikadi kali za kidini na kupalilia ugaidi. Misimamo yake ikiungwa mkono na kupingwa kwa uzito sawa na viongozi wenzake wa kidini. Je, Sheikh Abubakar Sharif, au ukipenda Makaburi ni nani haswa?
4 окт 2024