Naona baadhi hawajamuelewa mwalimu..yeye hajasema vyama vya upinzani havifai..bali ameshauri wasiwe na papara na uongozi....wavunje vyama vingi na waunde kimoja ambacho kitakua na nguvu ya kukabiliana na chama tawala...kwa maana hiyo..haja beza upinzani bali ameupa changamoto na ushauri mzuri wa kujitayarisha kiutawala....baba huyu ni mwenye hekima kubwa sana na uelewa...tuna miss sana mzee wetu
@Wilbert Thomas Ludgery amesema kuwapa nchi kabla ya kuwatazama vizuri sababu swala la nchi sio la majaribio hivyo isiwape upinzani kwa majaribio kusema tujaribu tuone Bali tuwape tukiwa tumewatazama vizur.. na lazima aongee hivyo sababu chama kinacho tawala Ni ccm. Muwe muna tafakari kwa pande zote sio kutafuta negativity tu
mbona anamaana nzuri ccm wenyewe wameielewa tofauti kuwa ccm haitakabidhi chadema madaraka yeye hakumanisha yao yeye alitaka kwanza vikuwe kama sasa hivi arafu pili make mkijuwa ccm,wananchi ndo huwa wanafanya maamzi
mzee ulikuwa na wazo zuri sana na sisi chadema tunalitekeleza maana kwa sasa ndio chama cha upinzani chenye nguvu lakin chenye ushirika wenye nguvu na vyama vingine vidogo chini ya mwamvuli wa UKAWA
Huyu Nyerere mwaka 1995 alisema kwamba wananchi wanataka MABADILIKO WASIPOYAONA NDANI YA CCM WATAYATAFUTA NJE YA CCM Sasa ww Nyerere hata wewe kigeugeu
Katika yote aliyoongea Baba Wa Taifa, limebakia Moja tu Ili Upinzania uishike nchi!! Watanzania wamewajaribu Wapinzani katika maeneo madogo(Halmashauri) na wapinzani wamethibitisha kuweza!! Bado Jambo moja, "BABU ALISEMA TUPO WENGI SAAAAANA!"
Wazungu hao kuendereza kutugawa pindi wakijua kuna mali wanazotaka watatumia vyama kutugawa ndio mana JPM amesimama imara rakini wapinzani awayaoni ayo jiulize kwanini.. ccm namba moja tu
Tukilewa amani sawa na kuwaweka wanawake na watoto wetu reani mana hao awatakua tena na sauti zaidi ya machungu magufuri rudisha chama cha ccm kwenye njia kuu upendo utatawara tu fagia wapinzani warudi nyumbani ccm
amesema kuwapa nchi kabla ya kuwatazama vizuri sababu swala la nchi sio la majaribio hivyo isiwape upinzani kwa majaribio kusema tujaribu tuone Bali tuwape tukiwa tumewatazama vizur.. na lazima aongee hivyo sababu chama kinacho tawala Ni ccm. Muwe muna tafakari kwa pande zote sio kutafuta negativity tu
Tanzania sio.ya ccm or chadema or ct wazalendo Tanzania in ya watanzania wote bila don't au kabila mwalimu hakumaaniaha hivyo tunavyofikiri baazi ya watanzania
SAWA KUMBE ALIONA MBALI LISU NA KUNDILAKO TUNAWAPENDA ILA MNATUKWAZA JENGENI HOJA ZA MSINGI TUWAELEWE SIO KUONGEA YA HOVYO KUUZWA BANDARI NANI KATOKAWAPI MANDAMANO NGOROX2 WA TZ TUNATAKA KUSIKIA HOJA ZA MAANA NDIO TUWEZE KUWAELEWA KAMA MZE NYERERE ALIVYOSEMA
Kweli wapinzani hawana sera zaidi ya chuki ,matusi ,kelele ,njaa mwingi ,siasa zao hazipo hata kwa nchi wanaojipendekeza na kukimbilia bado hawajitambui hawana uzalendo ingawa hata chama tawala wamekosa akili shupavu ya kuitegemeza nchi kwa kuweka mfumo wa elimu yenye kuzaa uzalendo na viwanda
Wewe umelishishwa maneno yenye sumu dhidi ya nyerere. Ukaambiwa hiyo ndio historia. Kuna watu humu wameichimba historia kuliko hao waliokufundisha hiyo historia yao.
Ahsante Kaa mbali, kwa umakini huo. Inasikitisha sana jinsi Watanzania bado wako kwenye giza nene. Hakuna Rais aliyewahi kufanya uovu nchi hii kama Nyerere, na hajawahi kutokea Rais mnafki kama Nyerere Afrika. Hata kama mtu hajui historia lakini ukifuatilia tu mifumo ya nchi hii ilivyokaa na uonevu wa kimfumo ulivyo utaona tu jinsi Nyerere ni mwovu na mnafki. Ukifuatilia historia basi hutaweza kumtofautisha Nyerere na Shetani(Lucifa) alikuwa mshenzi hasa.
Ahsante Kaa mbali, kwa umakini huo. Inasikitisha sana jinsi Watanzania bado wako kwenye giza nene. Hakuna Rais aliyewahi kufanya uovu nchi hii kama Nyerere, na hajawahi kutokea Rais mnafki kama Nyerere Afrika. Hata kama mtu hajui historia lakini ukifuatilia tu mifumo ya nchi hii ilivyokaa na uonevu wa kimfumo ulivyo utaona tu jinsi Nyerere ni mwovu na mnafki. Ukifuatilia historia basi hutaweza kumtofautisha Nyerere na Shetani(Lucifa) alikuwa mshenzi hasa.
Hivi tatizo ni elimu ama tatizo ni ufahamu hapo wapi kakataa upinzani 1995 kweli chadema kilikua chma kidogo na hakikua imara kama sasa na ndiyo maana akatoa ushauli kijiimslishe haraka ya nn nchi hii ni yetu wote na akamaliza kwa kusema kila mtu anatamani aone uchaguzi 2000 wapi mnakwama,na ndo maana mwl darasan anafundisha 2+2=? wanafuzi wengine wanasema ni 6 wengine usema ni 8 wengine 4 tunatofautiana iq
Prince hance Sam wewerkwa kweli huna akili timamu kwani uhuru huu wa Tanganyika uliletwa na nani si waislamu nyerere walimpa tu heshima tu.Nenda kasome hiestoria ya Tanganyika na waasisi wewe ni mgonjwa na ni mdini ambapo Tanazania ya leo haikuhitaji mtu kaa wewe mwenye u dini na ukabila.Nenda shule kasome kwanza.
Lait kama ungefufuka, uone jinsi ambavyo ccm yako uliyoiacha jinsi ilivyo badilika na isivyofuata sheria n kuwa juu ya sheria wala usingeubeza upinzani hata kidogo!
kafiri mkubwa huyo kauwa watu wa Zanzibar kama kuku mbaya sana huyo Mzee anajifanya mzuri kumbe M.Mungu azidi kumuunguza huyo ndo kamuua karume kwasababu alikuwa anataka kuvunja muungano
ukweli utabaki ukweli siku zote halali haikubaliki Ila haramu ndo inakubalika haya maisha ya mpito tu kila MTU atakufa hata wewe uliyenitukana utakufa tena mda si mrefu
BABU, MIMI SINA UWEZO WA KUKUPINGA,KWANI UMEFANYA,MENGI MAZURI JUU YA INCHI YETU YA TANZANIA,UKIPIGANIA UHURU NDANI NA NNJE YA TANZANIA,NAKUSHUKURU SANA.LAKINI NAKUMBUKA KUNA MANENO MAWILI YA MSINGI SANA.(1) ULISEMA WASIPO YAONA NDANI YA CCM WATA YATAFUTA INNJE YA CCM,INAMAANA KWAMAANA YA CHADEMA, WANAUWEZO WAKUWAPA WATANZANIA WALIYO YAKOSA NDANI YA CCM.(2) MPAKA UMETAJA KWA JINA CHADEMA, INA MAANA NICHAMA TAYARI ULISHA KIONA KINA MAONO MAKUBWA NA UPEO MKUBWA KWA KUWAPA MAENDELEO WA TANZANIA,WANAYO YA TAKA,KWAHIYO KAMA KILIKUWA HAKIJA KUWA,SASA KIMEKUWA NA KINAJITEGEMEA,KINA WATU WANAO,KIPENDA NA KINA NGUVU NAUPEO WA KIUTU UZIMA,NDIYO MAANA HATA MAWAZIRI WASTAAFU WA CCM,NAO WAMEHAMIA HUKO,KWAKUWA CHADEMA NICHAMA KINA UWEZO NA NGUVU YA KUONGOZA NCHI,NA KUWAPA WA TANZANIA YALE WALIYO KOSA KUYA PATA NDANI YA CCM!! KIFUPI,HAKUNA LISILO WEZEKANA CHINI YA JUWA HILI,WALIKUWEPO AKINA HITLER GADAFI,IDI AMIN DADAA,TENA HUYU NDO ULIMFURUSHA WEWE MWENYEWE!! NA HAWAPO TENA.HIVYO TANZANIA ,KUONGOZWA NA CHAMA NNJE YA CCM INA WEZEKANA PIAA!!!