Тёмный

Watu 8 wameuawa kwenye mzozo wa kijamii Tana River 

KBC Channel 1
Подписаться 486 тыс.
Просмотров 378
50% 1

Hali ya taharuki inazidi kutanda katika kaunti ndogo ya Bangale, kaunti ya Tana River kufuatia kifo cha watu nane jana usiku kutokana na mzozo kati ya jamii. Mzozo huo katika maeneo ya KBC, Charidende, Nanigi, na Anole katika kaunti ndogo ya Bangale ulisababisha kuteketezwa kwa nyumba 20. Komanda wa polisi wa kaunti hiyo William Sadiq, amethibitisha tukio hilo, akisema kuwa wameanza shughui ya kutwaa silaha katika eneo hilo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее
Пчёлы некроманты.
00:46
Просмотров 23 тыс.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 14 млн
Why you’re so tired
19:52
Просмотров 1,5 млн
Why Japan’s New PM is Starting an "Asian NATO"
9:09
Просмотров 228 тыс.
DEAD ON ARRIVAL: Ruto, this will backfire on you…
16:00
Maine's Radical Solution To End Political Corruption
14:05