Hali ya taharuki inazidi kutanda katika kaunti ndogo ya Bangale, kaunti ya Tana River kufuatia kifo cha watu nane jana usiku kutokana na mzozo kati ya jamii. Mzozo huo katika maeneo ya KBC, Charidende, Nanigi, na Anole katika kaunti ndogo ya Bangale ulisababisha kuteketezwa kwa nyumba 20. Komanda wa polisi wa kaunti hiyo William Sadiq, amethibitisha tukio hilo, akisema kuwa wameanza shughui ya kutwaa silaha katika eneo hilo.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
5 окт 2024