Тёмный

WATU MAARUFU WANAOUMWA MAGONJWA YASIYOTIBIKA. TUWAOMBEE 

BONGO FASTA
Подписаться 853 тыс.
Просмотров 70 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@betricemainoya4176
@betricemainoya4176 3 месяца назад
Celine Dion aje Africa apikiwe vyakula vya kiasili, atapona, Celine Dion come Africa eat African food you ended be fine
@OmaryZuberi-o3b
@OmaryZuberi-o3b 3 месяца назад
Siwez waombea watu wanaotafuta magonjwa wao wenyew wanataka umaarufu illuminate inatoa pesa sio bure😂😂😂33
@Babaharvey3624
@Babaharvey3624 3 месяца назад
Hayo magonjwa yanawapata watu wenye pesa tu😢😢 mola awape afya njema
@ShakiraMuxxa
@ShakiraMuxxa 3 месяца назад
We Tema mate chini
@patriciacarlo7236
@patriciacarlo7236 2 месяца назад
Mchawi pesa,Mungu atupe mwisho mwema 🙏
@DanielYohana-uu6nk
@DanielYohana-uu6nk 3 месяца назад
Duh wakati mwingine pesa inakuokoa 😢😢
@ReaganGT-ww4vu
@ReaganGT-ww4vu 3 месяца назад
🎉🎉 hi my best family, mwenzenu ni mwimbaji wa nyimbo za injili, nawaomba supports zenu, plz follow Reagan Enzi ili uwe wa kwanza Ku pata Ngoma Zetu 🥰🥰 Asante sana
@samymdundu
@samymdundu 3 месяца назад
Daaah yaaan ujue pesa sio kila kitu yaan hapo pesa haifanyi chochote
@benjo_brighter
@benjo_brighter 3 месяца назад
Mkuu, tuandalie simulizi kumhusu kat Deluna
@umma6654
@umma6654 3 месяца назад
Kwani ana nini kat deluna
@benjo_brighter
@benjo_brighter 3 месяца назад
Usipende kutumia muda kwny mambo unayoona hayafai kwako. Chukua hiyo 👆
@MK-mz8bz
@MK-mz8bz 3 месяца назад
Cha maingi ukimwi siyo ugonjwa ni upungufu wa kinga hata ukiwa na malaria ni kwa sababu kinga yako ilikuwa na shida ikaruhusu wadudu washambulie damu yako elewa ww
@jacobluckiztv2648
@jacobluckiztv2648 3 месяца назад
Ebu nieleze story ya warlocks,nimewahi kuwa na rafiki yangu ambae ni warlock, hao ni akina nani hasa tuundie makala kuhusu warlocks
@FredSimiyu-uo7ck
@FredSimiyu-uo7ck 3 месяца назад
wewe shedi uko sawa nakupongeza sana content zako napenda sana nikiwa apa nairobi.
@PonchaCastro-ho9wr
@PonchaCastro-ho9wr 3 месяца назад
Niach kumuombea mam ang nkawaombee mason kak Shedy
@annasolomon9855
@annasolomon9855 3 месяца назад
Mmh, sijui kama masonic kweli Bali wanamatatizokama wengine..
@MK-mz8bz
@MK-mz8bz 3 месяца назад
Mbona wazungu hapa ulaya sana hiv wengi tuu mie naishi hapa kinachowasaidia wanakula chalupa bora hivyo ukimwi hauwapati
@SuzanneChidodo
@SuzanneChidodo 3 месяца назад
Ni kweli kabisa kwanini hawasumbuliwi is ukimwi???????
@KihuhaBruno
@KihuhaBruno 3 месяца назад
Ukimwi ni ugonjwa wa maskini weee
@SuzanneChidodo
@SuzanneChidodo 3 месяца назад
@@KihuhaBruno 🤔🤔
@mwinyimatopa2283
@mwinyimatopa2283 3 месяца назад
Na watu masikini wasio maarufu wataombewa na nani
@GasperDanielkulaya-jf7ct
@GasperDanielkulaya-jf7ct 3 месяца назад
Sasa twend kaz 🔥🔥🔥🔥
@isayakazimoto4826
@isayakazimoto4826 3 месяца назад
Waje kawe kwa mwamposa watapona chap
@jonesjaphet8680
@jonesjaphet8680 2 месяца назад
Ebwana
@kagotvtz
@kagotvtz 3 месяца назад
Pole yao Mungu awanusuru
@-vu2cs
@-vu2cs 3 месяца назад
Naomba story ya VUSI THEMBEKWAYO
@onekisstv8412
@onekisstv8412 3 месяца назад
Umaarufu tabu sana😢😢
@joshuaerick311
@joshuaerick311 Месяц назад
❤❤❤
@ashahaji518
@ashahaji518 3 месяца назад
Wakanza Leo nipni like zangu 😂
@dansonmketi4827
@dansonmketi4827 3 месяца назад
Ombea wagonjwa kwanza achana na likes
@MrNuurofficial
@MrNuurofficial 3 месяца назад
Hayo magonwa wanapewa Na eluminate
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 3 месяца назад
Kabisa hakuna cha bure kwenye huu ulimwengu kila mtu atavuna alichopanda
@MumyAlly
@MumyAlly 3 месяца назад
Kabisa teen
@VabraJerome-fy6nf
@VabraJerome-fy6nf 2 месяца назад
Kwa kweli km mike jackson
@hasanygodda9242
@hasanygodda9242 3 месяца назад
Hatariii
@sweetplacidnkya4863
@sweetplacidnkya4863 3 месяца назад
Wewe nipe salamu
@sweetplacidnkya4863
@sweetplacidnkya4863 3 месяца назад
😂😅 jamnagar madam asiye na kasoro
@ClementLeonard-h9m
@ClementLeonard-h9m 3 месяца назад
Sija wai kumtamani Kim kadashiani
@pumpandnozeltec3019
@pumpandnozeltec3019 3 месяца назад
KWANINI WAZUNGU HAWASUMBULIWI NA UKIMWI😂
@SerahGlam
@SerahGlam 3 месяца назад
Tuletee maisha ya selena gomez aliyoptia
@TEDY-MTEMY24
@TEDY-MTEMY24 Месяц назад
#@serahGlam Selena Gomez anakipindi chake cha mapishi kwenye Televisheni za mapishi
@MK-mz8bz
@MK-mz8bz 3 месяца назад
Tofautisha hiv na ukimwi
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 3 месяца назад
Asantetuwaombee
@JovinMbongo
@JovinMbongo 2 месяца назад
Mafrimason tu
@thejacktatoo2136
@thejacktatoo2136 3 месяца назад
Kaka embu tupelo habari kuhusu alibaba jak maa yupo
@chachamturi259
@chachamturi259 3 месяца назад
Yani ndotatizo laujinga wa waafrica yani tuwaombee watu ambao hawajielewi kwakipi.
@Cutterose
@Cutterose 3 месяца назад
Mimi wa pili nipeni like zangu😅😅
Далее
Darassa feat Marioo - News (Visualiser)
3:26
Просмотров 755 тыс.
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16
WAT0T0 WA WATU MAARUFU WALIOWATIA AIBU WAZAZI WAO.
8:42
这位大哥以后恐怕都不敢再插队了吧…
00:16