hawa stage hows huku kukata mauno si kumchezea Mungu hawachezi kwa stahashida Mtz akipewa kidole anataka mkono,mimi ni Mtz lakin sijawahi kumsikia huyu mwimbaji
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU napenda kazi zako shauku yangu na Mimi nataka kuwa Kama wewe na nije tufanye corabolatin ya nyimbo zaidi ya moja🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kitu minacho kumbuka na huu mkutano ni kwamba nilipotamani kupiga selfie nawe hao majamaa wa hiyo church walikuja kunivuruga kama mwizi 😢😢😢lakini mbona hivo surely