Safi sana. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Watoto wengi ni wadogo sana kiumri bado wanahitaji malezi ya wazazi. Wazazi lazima wawajibike. Na hao watoto waliokata mapanga watu ni majambazi na wauaji Wapewe adhabu kali sana ikiwezekana wafungwe maisha na viboko 24.
Jamani jamani embu wachomeni moto hadharani tu iwe fundisho maisha magumu watu tunajitahidi kufanya kazi za halali ili tulishe familia zetu na tulipe kodi kwa serikali bado tena wengine watuvamie kutumiza kutuachia vilema hapana ifike mwisho kama mnaogopa niiteni mimi uwanjani niwamwagie mafuta niwachome
Wazazi Wengi Ndio Mtihani Wakamatwe Wafungwe Kila Mtoto Yuko Na Mama Yake Akuna Mtoto Wa Mama Wawili Apa Duniani Washikwe Wabuluzwe Mahakamani Dadeki Nao Wakatwe Mapanga
@@nishaabdula5015 Wewe Sol Sizai Nazalisha Bado Mmoja5 Mimi Niliishi Sehemu Moja Nyumba Iyo Siku Moja Asubui Namuona Uyo Dada Chumba Jilani Anamfukuza Jamaa Mdogo2 Nenda Kwenu Cha Ajabu Na Mapanga Yake Na Kundi Lake Kazi Yao Kukaba Watu Waliwai Kumkaba Mdada Usiku Pochi Simu Pesa Wameiba Awakuishia Apo Walimtoboa Macho Na Kumuacha Dada Akipiga Zogo Ajui Akamate Wapi Niwadogo Awana Mana Kabla Ya Nyumba Iyo Ya Kwanza Ndio Naenda Apo Asubuhi Natoka Inje Nakuta Kijana Kama Ao Panya Kapanda Anafungua Taa Nilimkamata Kumuoji Alitaka Kupeleka Kwao Kumbe Mzazi Alimtuma Napia Analudi Na Taa Unajua Taa Inauzwa Mzazi Uoji Unafunga Maisha Yaende Nilimpa Konzi Moja Nilimwambia Mimi Nimeamia Apa Mpya Ukiiba Nitakata Mkono Ajaludi Tena Wazazi Wanachangia Wizi Wanaongoza Kupokea Vitu Vya Wizi Awaoji Matokeo Watoto Wanakua Kachinja Aya Jana Ijumaa Kitoto Kidogo Jilani2 Kilikua Kinaiba Bado Kidogo Kiuliwe Mwenyekiti Na Mtu Mmoja Mbavu Wamemuokoa Kumpeleka Polisi Jana Ijumaa Mdogo Sana Miaka 16 Au 17 Mzazi Wake Yuko Mtaani Apo Kumbe Ndio Tabia Yake Mzazi Yupo2 Kama Mwanao Panya Road Mpeleke Kanisani Akatubu Sasaivi Watu Wamechoka
@@nishaabdula5015 acha kuwatetea,kuna wazazi haswa uswahilini akipelekewa mashitaka ya mtoto wake,wewe uliyeenda kumwambia utachambwa mpaka uzimie! Acha wakafundishwe kulea watoto
@@nishaabdula5015 acha kuwatetea,kuna wazazi haswa uswahilini akipelekewa mashitaka ya mtoto wake,wewe uliyeenda kumwambia utachambwa mpaka uzimie! Acha wakafundishwe kulea watoto
Watu wote wanao liibia hili taifa wazazi wao wakamatwe Kama waziri au balozi wa nyumba kumi watoto hao leo wangekuwa ni mafudi wakujitegemea kwasababu ya vijisenti na hella ya mboga tuanze watoto wa viongozi mpaka huku chini
Cyo kweli kuna watoto wanawakataa Hadi wazazi wao,sasa mzazi anakosa Gani ,kwa hapo wazir cjamelewa, kwani ktk kuzaa huwez jua utazaa mtto wa tabia gan,kikubwa Sheria ifuate mkondo mbona kuna magereza ya watoto wawajibishwe ,
@@flova7022 jibu nzuri sana atakapo shtakiwa atakwenda kujielezea huko tatizo mtoto kakukataa na unajuwa anafanya maovu hayo katoe taarifa police waambie mtoto wangu nimepata taarifa panya rodi naomba muje mumkamate ili ahojiwe lakin msinitaje kama unamuhofia mwanao huenda akakudhulu hapo hata akifanya tukio akikamatwa police wanafahamu mzazi wake alitoa ushikiano tatizo baadhi ya wazazi tunajuwa watoto watoto wetu wanachokifanya tunaficha mwingine ukimpelekea taarifa anakwambia sio kweli mwanangu hawampendi fanya uchunguzi
Ninachoamini tabia ya mtoto inajengwa tangu siku ya kwanza anazaliwa,km ulikuwa na malezi mazuri juu ya mtoto hawezi fikia hatua ya kukukataa! Ukiona imetokea hivyo,basi ni mazao ya malezi ambayo ulikuwa unamlea! Na ifahamike kuwa,umasikini au mzazi kuwa na kipato kidogo sio sababu ya mzazi kushindwa kumlea mtoto,au mtoto kuwa na tabia mbaya! Ni maamuzi ya wewe mzazi TU
Sawa sawa hivyo ndivyo inatakiwa,kwanza mtoto asiyefundishwa na wazazi wake atafundishwa na ulimwengu,pia mzazi aliyeshindwa kulea vizuri Ustawi wa jamii utamfunza .
A leader should be polite when da problems occurs and calm down on how to solve not lie on a single variable let's think more than and be humble when you express in social medium
@@justinefelis8772how is parent involved in such crime hapo sheria ifuate mkono wake mbona Kuna magereza ya watoto wakihukumiwa wapelekwe ili na wengine watoto wajifunze ila wakisema wazaz hakika vitendo vitaendelea wao wanajua mzazi atawajibishwa kwa hiyo hiyo Dio suluhu ya kutatua tatizo it's political kiki
@@nickomdete7232 most of panya road they are under 18,which means they still live with their parents,,,how comes your son turn back home in de mid night and you keep quit
@@justinefelis8772 I can't not Keep quit coz a good family children should be all time at home but I think that under 18 are children street ok let's da government to do what is right for them!!!
Yani huwa natamani mageteza yangekuwa na vyuo vya veta maana kufugwa tu haitoshi ili siku wakitoka wapatikane mafundi nguo mafundi wa magar ili wakitoka wafanye kazi
Maneno yako waziri mazuri sana nikuulize wewe unajua mambo yote ya mwanao? Kwa kuwa una hela maisha kwako kama mlenda unateleza tu hivi umeenda kile kwenu sijui wapi ukaona yanayokuwepo? Mama endelea kunywa maziwa ipo siku utakunywa myakaya kama unaujua kea HERIIIIIIIII
Mombasa hiyohiyo ambao wanapoera mchana kweupe ama ingine?si Bora huku wanasubiri hata kigiza kaingie?kwanza km we uko Mombasa Tanzania panakuhusu nini😂😂😂
Jamani wewe mama kumbuka hakuna mzazi anaye zaa mtoto basi aje awe mwizi ama gaidi au jambazi Amjn kila mzazi anapenda snaa maisha mazuri snaa kwa watoto wao haki pengine tusema hao watoto wana pata tabia chafu kwa watoto wenzao lkn km ww ni mama mzazi huwezi kumukalisha mtoto wako bc una mwambia nenda ukaibe duuh
Mimi ningeishauri serekali.Rudini kwenye maktaba kuna namna mkoloni muingereza alikuwa akidhibiti mambo hayaaaa.Follow that system.Wote watakaa kwa adabu hao watoto.
Jamani jamani hapa mchawi ni selikali maisha yamekua magumu sana usikute wazazi wenyewe ndo wanawatuma hawa watoto kutafuta Hera kwa njia yoyote ili familia ipate kula
Ajira hakuna maisha magumu kila kitu mmepandisha bei mnategemea nn kwanza hawa panya road wanakosea Sana kuwakaba raia wa kawaida wangekua wanakaba viongozi kumbaf
We wazil mpumbavu sanaa kuna mzazi anaweza kutuma mtoto wake hawe mwiz kuna mzazi anataman mtoto wake awe panya ròd naona kama vile umekulupuka tuu acha uonevu wa kipumbavu
Mimi naunga mkono hoja kwasababu kuna walezi hawapo makini kabisa labda itasaidia wazazi na walezi kuwajibika mfano mm nipo nje ya tz walezi wa mtt wangu hawapo makini mtt miaka 10 hadi saa 5 usiku hajarudi home mlezi anaona poa tuu hapo mtt anaweza fanya lolote baya
umshtaki mzazi kw sheria ipi kwani yy ndo panya road . hebu kwanza waende pale chini ya daraja la kijazi kuna panya buku road mukawaondoe na msambaratishe kabisa kabla hajakuwa na kuingia mtaani kisha tutakuja shitaki wazazi
Kwanza kabla wizara haija sikitika kuna sheria yoyote ya mzanzi wa kiume kukataa mimba... maana hilo kundi asilimia kubwa wamama wamelea pekeayao na hata watakaojibu ni wa mama..mii nahisi kwanza tuanze na mimba kwanza kwamfano mwanamke yoyete akianza clinic aje na baba mwenye mimba tena na barua ya mjumbe... kama kweli wanaishi pamoja ili akidanganya mjumbe na yeye ahusike... mana wamama wengi wanalea pekeyao mtoto wa mezi 3 naachwa pekeake na watoto wenziwe tunategemea nini kama sio panya road. Hiyo sheria mulipo tunga na kuirekebisha mume fanya tasmini asilimia ngapi ya watoto wanapata malezi ya baba na mama je huko ustawi wa jamii kunakesi ngapi? Ushauritu kabla ya kutibu lazima ujue Maradhi ya mgonjwa na tena ujue yamemuanza lini...wababa kutelekeza mimba na watoto ndo chanjo ya hayo yote..
Ata mm siwez hakika si wamfunge yeye.... yesu afe kwa Dhambi zetu na sisi tufungwe kwa makosa ya watoto never ever.. mfano mtoto wa kike anapata mimba useme mzazi wa mtoto wa kiume afungwe miaka 30 meen nonsense minister
Uovu ni hulka ya mtu , kama uzinzi , ulevi, ugomvi nk ni vitu ambavyo mtu hujitafutia hata wewe pia huwenda unayo mapungufu yako lakini unajua hukufundishwa na wazazi ndo vile inakuwa na kwa panya road
Uko sahihi waziri,nakumbuka nilivokuw mdogo,nikifanya kosa naadhibiwa hata n mpita njia, na huwa sitaki hilo kosa langu lifike nyumbani kwa sababu ntaadhibiwa tena, sasa hivi ukimuadhibu mtoto wa jirani ni kosa kubwa sana,matokeo yake ndo haya.
Siyo sawa, sote ni rahia wa tz, inabidi tushirikiane kulea watoto, mimi mzazi na wewe niliyokupa dhamana kama waziri, kama hujuhi namna gani ya kufanya nitafute nikupe mwongozo namna ya kuwafanya watoto wawe bora, mitaala muliyoitengeneza mashuleni ndiyo chanzo kikubwa cha watoto kuchukia shule na kuingia mitaani kufanya ujambazi, ebu tazama kati ya ao watoto ni yupi, anayesoma shule binafsi au aliyesoma uko, wote ni wa uswahilini tabaka mlilolitengeneza ni kubwa mno na usizani kushitaki wazazi ni dawa badala yake unaongeza chuki kubwa, baina ya wenye nazo na wasio jiweza, jifunzeni kwa kusikia si mpaka yatokee, miaka ya 90 afrika ya kusini ilifikia wananchi kugawana mitaa sababu kama hii ya ubaguzi, kazi njema chukua hatua ubarikiwe
Kwani serikali ilishatoa utaratibu kwa wazazi jinsi ya kulea watoto wao??? Hiyo "kwa mujibu wa Sheria" ilifundishwa shule kwa mtaala wa serikali au ni maneno ya kisiasa tu!! Mimi Hadi leo, kwa mujibu wa Sheria ya serikali sijui jinsi ya kulea watoto wangu. Ninapanga mwenyewe,kwa msaada wa Imani ya kikanisa. Mbona kwa Mashoga, majambazi au wavuta unga hamjawahi kuwafuata wazazi??? Msituchanganye kabisaaa, embu acha maisha yatupige inatosha, usituongezee mambo yenu ya kisiasa hadi majumbani. Tukutane kwenye tozo, na Kodi, inatosha. Nini kifanyike sitasema, maana sikio la serikali halisikii sauti ya masikini, Wala mtoto asiyekuwa wa "Muheshimiwa wa zamani!!"
Kwa maelezo yako na pata point ya kwamba wazazi wa hawa watoto hawana makosa! Km hawana makosa,je kinachofanywa na watoto ni kizuri! Na je watoto wako wako na tabia hii? Km hawana tabia hii,je? Hao watoto wako walijilea wenyewe toka wanazaliwa? La hasha! Uliwalea ktk misingi bora na kuwa na tabia njema! Sasa je! Ni vipi ukiwashauri wazazi wengine kuwalea watoto wao ktk misingi hiyo? Naamini utakuwa umewasaidia pia,sio mpaka kila kitu ukisome kwenye katiba, sijui kifungu gani! Hapana. Binadamu tumepewa utashi,tutambue mema na mabaya! ACHA WAZAZI NA WAO WAPATE HAKI YAO
@@rehemamkalawa3801 Umewahi jiuriza kwanini serikali ilitengeneza magereza ya watoto??? Unadhani ilimaanisha ni kwa watoto wasio na wazazi??? Namaanisha hivi, hiyo waziri wenu anaposema atawashitaki kwa mujibu wa Sheria, anamaanisha Sheria ipi??? Ambayo aliwafundisha lini?? Kwamba hao wazazi walikutwa eneo la tukio?? Hakuna mzazi anayetamani siku moja mtoto wake awe jambazi!!! Ikitokea hivyo, utakuta mzazi huyo maumivu aliyonayo juu ya mwanaye Ni makubwa mnoo kuliko hizo kerere za waziri. Kama hawajafikisha miaka 18, magereza yao ipo, Kama wamefikisha miaka 18 magereza yao ipo pia. Waacheni wazee wamalizie siku zao kwa amani. Harafu dada Rehema, hebu fanya tuwasiliane, tupeane changamoto zaidi!!
Mm nimzazi ila sikupenda nizae vibaka kwani hata mm nachukia mtu mwizi kama mmemshika mwanangu na ushahidi mpeni tu adhabu kali mm sita ingilia ila kama kunamzazi ataingilia kwenye adhabu hizo basi mkamateni na yeye huyo atakuwa kamtuma mwanae Hakuna mzazi anae beba mimba nakujua atazaa jambazi kungekuwa nakipimo basi watu wangezitoa hizo mimba
Apo ni sawa mimi duka langu lilisha vunjw nikamkamata kijana mama yake akaja juu kweli na wazaz I wengine wanawatuma watoto na wengine wanaletew vitu na watoto wao awawauliz wanapokea tu
mitoto jamani imeshindikana serikali mnasema tusiwapige mdomo mtupu hawaogopi kubwa huko mliko wakamata na kuwaweka wapigeni vizuri mtubakishie macho na miguu msivunje wapate kuonanjia yakurudia kwao na miguu watembelee lkn mwape adabu nzuri kabisa
Huyu nae anaongea nn hvi mtoto wa kiume unadhan utaweza kumchunga uwiii anatoka huko katika makundi anavutshwa bangi baba mama akiongea anapgwa panga hvyo mama anaogopa .....wazaz wetu wanatupenda sana Ila kumlea mtoto wa kiume n kazi kubwa saaana makundi makundi ndio huaribu sio wazaz
Ni kwlei kabisa sisi tuna jirani yetu mtoto wake marehemu Sasa hivi alikua kibaka akaja kua jambazi mzazi wake ndio anamtuma na analetewa vitu na anavipokea na watu walienda kushatki kwa mzazi mzazi anamtetea mtoto Watu wakamwambia siku moja mzeee tutakuletea maiti hapa siku moja na Kweli miezi 2 mbele kapelekewa maiti Ali ingia darinikuiba Duka la mbao si mbali na kwao HIVYO ASILIMIA KUBWA WAZAZI WANAHUSIKA huwezi mtoto hana kazi aeleweki halali nyumbani na bado anakuletea vitu unapokea au la hasha humfatiliii Yani mlezi ndio kitu No.1 kuanza kujua nyayo za mwanao
Hivi wewe kiongozi hujazaa au watoto wasiku hizi ukiongokewa wako mshkuru Mungu kizazi cha sasa hakina malezi jmn msiwalaumu wazazi watoto wa sasa ni wachache wanaoskiliza wazazi wao sidhani km kunamzazi anaependa mwanae aharibike
Aise hata wazazi nao ni changamoto sana una mpatia taarifa ya mwanae avokujibu unajua kabisa hapa kuna utemi mtoto anaiba akpelekwa polisi mzazi anaenda kumtoa
Awa watt nikufunga tu gerezan miaka 5 mpaka 7 kbs wakitoka wamekuwa naakili pia zimekuwa namuwape adhabu zakutosha uko gerezan atawakirud huku uraiyani awatamani tena kufanya upuz wao. Ila mkiwapatia dhaman michezo ndoitakua hihi awatoacha upuz wao kbs
🙄🙄🙄😭😭😭 RIP mzee baba 🙏 mbona nyie mnakula kutokana na ulefu wa kamba zenu nawao wamejiongeza baada ya TOZO wameamuwa kula kutokana na ulefu wa MAPANGA YAO 🏃🏃🏃🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Unaongea sababu alijatokea kwenye Familia ako ukizingatia wale wote ni watoto wadogo Sana hata majukumu awajawanayo, unapo Sema Ivyo unakosea wakati ndugu zetu wanateseka mahospitalini.
kama unafikiri uongo mkamateni panyarodi mmoja kisha mkamsulubishe nyumbani kwao mbele ya wazazi wake then muone kama hamtashikiwa mapanga na wazazi wao.