Acheni ujinga, kwani wazee wanao ipenda yanga wapo 30 tu nchi nzima ? kwanza ina kuwaje balaza la wazee 30 watoke daresalam tu nyinyi mna jiona ni wakina nani
Elewa kaka Hilo ni Baraza la Wazee la Yanga na sio Waazee Wa Yanga kuwa Baraza inamaana linachaguliwa kaka Kwan Vijana wa ZZM wote wapo Kwenye UVZZM...?Wengine wanacard za chama ila hawapo kwenye UVZZM
Kufanya vibaya kwa timu ni jambo la kawaida kinachotakiwa hapo ni mabadiliko yaliyofanyika yameleta athari gani kwa club yanga ya sasa sio ya miaka minne nyuma yeyote mwenye akili hawezi muelewa hyo magoma ni njaa tu inampelekesha