Huyu ndiye Mtumishi wa watu, huyu ndiye Waziri wa Kilimo kweli, Mungu amsaidie. Ndiyo Vijana tunawataka washike madaraka katika nafasi nyeti kama hizi. Waziri nakupongeza sana Kwa msimamo wa kuwasaidia wakilima namna hii.Mchungaji Emmanuel Lunda.
Mungu ni mwema daima aliependa ikawa wazuri wetu WA kilimo ! Kwani wakulima tumeonewa tangu vizazi na vizazi sasa Bwana azidi kukulinda utuletee ktk Nyanja hii waziri Badge nakupenda ktk kauli zako na utendaji wako. UBARIKIWE
Bashe umetufuraisha sana Allah akupe umri mrefu na akujaze busara zaidi ,ujasiri,uchungu kwa Wananchi,ninaona uchungu wa Mzee Magu kwa masikini ndani Yako
Bashe Rais ajaye, Mungu mjalie maisha marefu. Huyu ni dhahabu ya Tanzania. Mungu mjalie Bashe, Mungu mjalie Bashe. Nimelia Sana. Magufuli ulifanya vizuri kumteua Bashe.
@@tazrywiser5126 Niliishauona uwezo wake toka ubunge. Sijaanza kuuona leo. Na aliyemwingiza kwenye kiti cha Naibu pia nampongeza Sana sana. Awali ni awali.
Aliyempa unaibu mpongeze na aliyempa uwaziri full pia mpongeze,maana pia angeacha kumteua tusingeyaona leo anayofanya vizuri, ila kama una mengine basi unaweza kusimama na wa mwanzo aliyempa unaibu ili tusije kutoana macho kwa ubishani usio na faida
@@tazrywiser5126 Naomba uzingatie,,, nimesema Mimi nilitambua utendaji wake mzuri toka akiwa mbunge. Naongezea hata yule aliyempa unaibu nilitambua utendaji wake mahiri toka akiwa kwenye uwaziri tofauti tofauti hakuwahi kushindwa. Mengineyo sina na siwezi kuthubutu kumtoa mtu kwenye hoja zake au kwa kile akiaminicho au kumdharau kwa akiaminicho.
SAFI KABISA MH HUSSEIN BASHE i love you safi sana nimekufatilia sana kwa miaka sasa toka enzi za Hayati Magufuli...unaweza sana kazi i am really respecting and fond of you for serving the country. We need leaaders like you my Brother. Nahisii in future Mungu akubariki hata kazi ya Uraisi Unaiweza kabisa. Mwenyezi akulinde sana.
Hawa ndiyo watu tunaowataka ktk nchi hii.mama Samia sikia.Huyu waziri ni chombo kinachofaa sana.Safi sana.Naomba usimuondoe huyu waziri kwenye wizara hii.
Hakuna atakayeondoka inje ya inchi Kati Yao. Full stop 🛑. Kaka Mbashe nimeipenda sentence hiyo ya mwisho. Unafanya kazi ambao unaielewa, God bless you richly 🤝👊🙏🙏
Well done Bashe Huu ndiyo uongozi ulichofanya kwa kusimamia hili . Uko vizuri saana hebu waige mwenendo wako watu wataona amani ili kuondokana na dhuluma hii za akina .........!
Hongera sana Mh waziri wa kilimo kwa kutetea wakulima. Mh Raisi Samia hajafanya makosa. Wanaumizwa kwa kutojua Sheria, au wanajua lkn hawana uwezo wakufuatilia. Barikiwa sana Mh Bashe.
Yani muishimiwa Bashe usiyaone madogo maamzi yako pale unapo yaamua huku wananchi tuna furahi adi machozi kwakweli mungu akuhifadhi nakila shari mwenyezimungu akupe umri mrefu wenye mafanikio natamani ungepewa wizara ya Kazi huku ndio upuuzi wadhullma umekithiri hasa sektar binafsi
Bashe Hela zetu umezitafuna au maana zimeliwa kimya kimya na upo kimya Ila kweli mungu atupe uvumilivu tu😭😭😭😭😭 tangu mwaka Jana mpaka leo hawajalipwa 😭😭😭😭😭 mungu atatenda
Hongera mheshimiwa Bashe kwa kutetea wanyonge,tunaofanya biashara hiyo ya mazao wanatutapeli Sana,hasa hapa dar,lakini pia Hawa wanaotununulia hizi biashara hata kwenye bei wanatuumiza sana,mfano choroko imeanza na tsh 1650 lakini mpaka mda Huu inauzwa tsh 1150 utashangaa kutoka 1650 mpaka 1150 ni kitu kimetokea mpaka ikashuka kwa kiasi hicho kinatufanya Sisi wafanya biashara wadogo tunaumia na kukata mitaji,hivyo tunaomba nalo hilo ulishunghurikie
Mh. Kazi yako nzuri, Lakini sisi wakulima wa Tumbaku Mole Wilaya ya Sikonge, Pamoja na Mh Rais kuagiza tulipwe, hatujalipwa fedha za Tumbaku msimui 2020/21! Sijuwi kama wadaiwa wamo humo ukumbini!
Waziri uko vzr Sana...kwanini wasiwe wanauza papo kwa papo? Hata nyingi serikali mnachangia .mkulima anaivisha mazao yake mnaanza kuwapangia namna ya kuuza...eti stakabadhi gharani ..mwacheni mkulima size kesho hand ili akahudumie family.au mna hisa na bank nini. .........
Kweli kiongozi awe mwenye kujali na kutetea masilahi ya wananchi:""si unyonyaji na ubeberu wa viongozi kunyonya jasho letu mkulima ni uti wa mgongo wa taifa
Mheshimiwa lazima sasa tutumie mabenki hasa letter of credit. Pole kwa juhudi za kusaidia wakulima nchi hii. Njoo na mpango wa kufuta jembe la mkono Tanzania.
Unapokuwa mtu wa rangi nyeusi alafu umesomea Sheria na unatetea unyonyaji wa mtu mweupe kwa mtu mweusi hakuna tofauti na walinzi au askari waliokuwa wakiwa wakilinda misafara ya watumwa. Ila yote hii ni kukosa mipango thabiti juu ya hatma ya mkulima wa Tz.
Kesi ya kwanza Bashe chukua pongezi Zangu kwa asilimia miamoja. Kesi ya pili Ukiwahusisha wazazi wa Mushi it is Injustice, Yes Injustice. Wanakosa gani? Pengine hâta Huyo Mushi hajawai kuwapa hâta kilo ya nyama wanaangaika wenyewe. Atafutwe Mushi na awajibike.