Тёмный
No video :(

WAZIRI BASHUNGWA AONGOZA HARAMBEE YA UJENZI WA ZAHANATI KANOGO, MILIONI 46 ZAKUSANYWA 

Wizara ya Ujenzi
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 541
50% 1

Karagwe - Kagera.
Waziri wa Ujenzi Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameungana na Wananchi wa Kata ya Nyakabanga Wilayani Karagwe katika harambee ya kuchangia ujenzi na ukamilishaji wa zahanati ya Kijiji cha Kanogo.
Bashungwa ameongoza harambee hiyo tarehe 20 Aprili 2024 na kufanikiwa kupata kiasi cha jumla ya Shilingi Milioni 46 pamoja na vifaa vya ujenzi ikiwa ni pamoja na Saruji, Mabati, Tofali, Mchanga, Mawe na Miti.
Wakati akiongoza harambee hiyo, Bashungwa amechangia mabati 400 yatakayotumika kuezeka zahanati hiyo pamoja na kiasi cha shilingi Milioni 10 ambapo awali Ofisi ya Mbunge ilikuwa imeshatoa shilingi Milioni tatu na nusu.

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее