Asante Kaka mimi nina shida kwenye canon ir1022if inaniletea error code E010 ambayo nimejaribu kurekebisha kitu kinachofanya main motor isizunguke lakini bado nimekwama. Nafanyaje naomba unisaidie
Motor huwa zinakufaga sana hizo japo sio sana kufa moto,ni mara chache sana kukuta motor imeungua.lakin huwa zinakufa,pale inapokuwa imepata over heat,
Swali lako liko vizuri kimsingi kwenye organic photoconducter (opc) from imeundwa na layer ambayo inaitwa photosensitive ambayo ni laini sana sasa ilitokea mchubuko kidogo basi huo mchubuko uta apear kwenye paper
unamaanisha ukiwa unatoa copy inatoka nyeusi?kama ndivyo hapo kuna mambo mawili na huo weusi inategemea na aina ya fault kuna weusi kabisa inakuwa sababu ni drum haijapata signal ya charge au pia charging roller pia ikiwa haijapata signal ya charge lazima itoke nyeusi
ukiangalia ndani ya drum utaona kuna kibati ile ndio signal charging yake,sasa pale inapo ingia huwenda haigusi kwenye,kule kwenye machine,chunguza vizuri ukiona una fail nicheki kwa whatsap 656151515 untumie picha ya hiyo copy