Something is not adding up here. From killing 27 enemies from behind you get back to the barracks given off to relax your mind only to end up in a workshop as a carpenter 😂😂😂😂😂 and now with a jini wife what a poor storyline.. Accent also betrays this chingwe fanatic.. from malindi🤣🤣🤣
Huyu jamaa hii story yake si ya ukweli, ni kama ndoto aliota akaamka akawa amechanganyikiwa akaifanya ndoto kua ni true story... Kwanza kazi ya jeshi aliacha kivipi na mwaka gani mpaka awe fundi seremala tena wa kuajiriwa??? Akawa anasafiri nchi zote hizo mpaka Nigeria kutafuta matibabu, tickets ni nani alimlipia na passport ya kusafiria aliipata wapi na lini? Sehemu hizo zote alisafiri na fea ya nani? Hawa wachungaji uwa wanakuaga na story mpaka kuwa-train watu wengine jinsi watasimulia story za uongo. 😂😂😂Pastor Juma eti aliambia watu kesho njooni mapema kuna kitu kitatokea mahali hapa😂😂😂. Hawa wana-market kanisa lao ndio wapate wafuasi wengi kwenye kanisa lao kama pastor Ezekiel
Alisema aliuwa watu 27 who are armed with Ak47.... Imagine shooting more than 27 times na alshabab wamesemama wanaguagalia uwauwe😂😂😂😂 Then unafutwa kazi jeshi,
@@tabithamwihaki248 hamjaelewa aliua akiwa kwa ndoto. And bydhaa waliambiwa waende wapumzike after Mandera war maisha ikamkalia ngumu aje na mbna akaamua kufanya ufundi wa mbao kwani job alikua amefutwa
Once upon tyme..this Guy is suffering Depression,he needs a physcologe and he needs therapy.hio Kiswahili sio ata ya Mombasani.hio ni Ile ya huku kwa mahindi,madizi,misituni,miembeni ati ilienda ikakuwa,Imagination tupu pliz Ali can U call the doctor pliz🙏🙏🏃🏃🏃🏃🏃🤦🙄🙄🇰🇪🇩🇪
Astonishing story! Crazy , even scary. Thanks to Presenter Ali for this content, please get us more of them same , yaani kuna parallel universe around us. We need to know more. Abiud shukrani na pole sana from trauma ya jeshi and then hii ni kazi kweli.
Either his aim must have been top notch....or the gang just stood their to be shot.....🤣🤣yaani hao gaidi 27 hawakuwa na guns? This guy has seen too many commando and Rambo movies...A Heckler & Koch G3 rifle magazine carries 20 rounds of ammunition...Ali did u even confirm this guy was a KDF soldier?
🤣🤣🤣 Ati alipiga gaidi 27 risasi kutoka nyuma wakakufa?? Shida wakenya hatujui kudanganya... Jamaa alizaliwa Mombasa na akasoma Tanzania lakini ni kama anajifunza kiswahili leo..?? Omwami Pastor Pius...🤣🤣🤣! #Kibe kuja hapa usaidie ndugu zako.. 🤣🤣🤣
Hakupewa hata benefits za kazi yake ya Jeshi? Yaani he talks as if he is dreaming. There is nothing authentic in this story. Its just away of marketing the church
Yeah such unbelievable stories degrade Presenter Ali's whole content. I wish he could bring motivation stories like the ones from reformed gangs from Dandora.
Can he elaborate well how he was able to kill all the 27 alshaabas? It isn't adding up. Why couldn't he go back to his KDF job rather opt to be a casual labourer?
Wow 😲 wonderful testimony and it wasn't the Presence of God it could be worse so that is Ephesians 6 verses 10:23,it says we be armed for for everything types of battles of Church and represented by the leadership of the Church and members be blessed and continue delivering more who are captured in that situation
Though is a crazy story coz penye sijamuelewa pia mimi ni was he dismissed kwa army & why ndio akajipata Likoni. Secondly financiers wake ni kima nani juu hizo safari za hadi Nigeria si mchezo bana
Left Jeshi bila professional training.l doubt military are trained in different professionals apart from kushika bunduki.He killed more than 20 terrorists?? Hiyo ya kuoa jini is possible.
Do you know even Malindi😂😂😂haya Zanzibar unaskia kwa Map hata uko na smart phone? Unajua google😂How old are you? When did you work as a soldier, you killed 25 terrorists dead without them shooting back or kuskia gun sound. Which machine gun did you carry? This story does not add up even in a fixation movie. Liar fake story fake everything
Very emotional story,crazy story but we glorify God 🙏 all the time,God is the final destination where our fellow got restoration, good work Presenter Ali👏👏
Bwana PA you are doing an amazing Job but this story is not adding up and felt wasted after watching almost to the end ..from start to end nothing is adding Up,timelines as well,evidences abit to support ..like even photos of the Guy in uniform holding the G3 ...gun mostly used by Admin police not in battle fields from operations deployment to Working in casual labourer in coasto hapana....hii haukupekua vizuri kabla ya kupeperusha ..correct me if i am wrong...
@@sammyouko8232 Judges 15:15-17 15 He found a fresh jawbone of a donkey, reached out his hand and took it, and killed a thousand men with it. 16 Then Samson said: “With the jawbone of a donkey, Heaps upon heaps, With the jawbone of a donkey I have slain a thousand men!” 17 And so it was, when he had finished speaking, that he threw the jawbone from his hand, and called that place Ramath Lehi.
1. How did he travel from Likoni tu Zanzibar(pemba) like fare ni 30 bob? 2.How did he afford to travel from Kenya to Tanzania to Burundi to Nigeria considering he was just a carpenter? (He explains the travels like they are all in one village) 3. How did he manage to stay alive all those days without eating at the same time walking long distances? 3. How easy is it to shoot 20 terrorists at one go? Kwani ni Indian movie😂😂😂 Too many loop holes in his stories clearly showing that all these might just be a result of mental illness. Also...why didn't he go back to his old job? Is it that they established he wasn't mentally fit.
@@raphael33 ya fanta orange 😂😂😂...ati Ali alikuwa anajua anadanganywa😂😂😂 no wonder some people look at Christianity as a joke.Sasa two "men of god" wako apo wanamsupport alafu ukiangalia comments ndo utajua religion made some of us dumb
Killing of 27 enemies (of which I siamini) I thought he will be promoted. After days off , why didn't he go back to the barracks? Why look for another job in a workshop na aujafukuswa?
The devil will never give you solutions for the problems he brought to you...That first time he comes to try you...Pray to Jesus Christ OUR LORD...HE is the ONE and only SAVIOR.
@@beatricewanjiruwanjiku7560 🤣🤣kuhang Kwa helcopter,kukamua ndovu,mungu mweusi , Jehova wanyonyi,yesu WA tongareni,yohana mpatizaji wote Ni wapungoma🤣🤣🤣
This is some next level spiritual warfare stuff 😱. May God help us all. These things are happening all over Africa but WaKenya wamelalia masikio. Laleni tu!