Тёмный

Women Matters (2): Kwanini Tendo la Ndoa husisimua zaidi wakati wa Ugomvi? Sababu zitakushangaza! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 85 тыс.
50% 1

Tendo la ndoa lina maajabu yake, na moja wapo limegusiwa kwenye sehemu hii ya #WomenMatters. Je, wajua kuwa tendo hili husisimua zaidi wakati wapenzi wanapokuwa na hasira au kwenye ugomvi? Ndio. Wasikilize Dr Elly, Dr Chris Mauki na Aunt Sadaka wakifafanua

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 106   
@alphamenson3784
@alphamenson3784 5 лет назад
The only thing i learn from Dr' Ellie sio tu kuwa mzungumzaji mzuri but kuwa msikivu mzuri pia. God❤ bless y'all
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 лет назад
Your Wright, Dr.Elie alisema kusikiliza ni siri kubwa ya mafanikio lakini sisi hatujui
@alphamenson3784
@alphamenson3784 5 лет назад
@@rahillhamidu2544 absolutely
@eddalubinza8087
@eddalubinza8087 5 лет назад
Right
@LD-kp2lt
@LD-kp2lt 5 лет назад
Ok...this Dr. W is officially my Man Crush, He knows what his talking about👌👌👌
@agathathobias8690
@agathathobias8690 5 лет назад
Hakika mahaba sirin, upendo hadharan Dr love u kwa somo
@upendowakwelinaamani1060
@upendowakwelinaamani1060 5 лет назад
Dr Elie unanikosha baba yaan una nondo za ukweli uko vzri Dr asiye elewe kwa darasa zako basi hata kaa elewa kamwe barikiwa Dr.
@joviangeofrey7212
@joviangeofrey7212 5 лет назад
nimesha mtumia mke wangu maongez haya ili ayasikilize. always no comment juu ya mkiongeacho zaid ya ahsante
@everrineanyango7410
@everrineanyango7410 5 лет назад
this Dr knows the power of a pause in a sentence, it keeps the audience glued to you.
@eddalubinza8087
@eddalubinza8087 5 лет назад
Absolutely
@macochieng5872
@macochieng5872 5 лет назад
He observes the punch lines and speaking skills plus the material content he deliver
@africanspotless
@africanspotless 5 лет назад
Dr. Elly akiudhuria kipindi, Mauki asikose, ni mtafsiri na mfafanuzi mzuri wa Dr!
@dubenamahanga5363
@dubenamahanga5363 4 года назад
me simuelewi dr Elly jamn
@خسنموس
@خسنموس 5 лет назад
Dr ellie napenda sana aendelee kuongea mana maneno yake yanaingia vzr nakuyaelewa namkubali sana.
@dominickalume2891
@dominickalume2891 5 лет назад
Women matters naikubali Asilimia Mia moja na moja ...mnatoa Nasaha vyema sana Kiukweli Sema Mmenikosea hamjamleta Mama Terry sasa....Nakupenda bure Lilian Mwasha unajua#Womenmatters#SnS...
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Asanteni sana wazazi wangu kwa kuendelea kutufundisha
@drpriscaantony7825
@drpriscaantony7825 2 месяца назад
Hii mixture nimeipenda❤
@jacklineswallo3643
@jacklineswallo3643 5 лет назад
My favorite show.....
@irenefaustine2579
@irenefaustine2579 5 лет назад
Women Matters is a Life Changing TV Show. Big Up Guys!!
@naskipya790
@naskipya790 5 лет назад
Ahsanteni sana kwa somo zuri
@gracedismas1108
@gracedismas1108 4 года назад
Aliyesikia not changanyaring kwa liliy like hapa
@abuubakrachani1943
@abuubakrachani1943 5 лет назад
Nimejifunza sana....napend nione unaendelea kutoa mafunzo
@rhobbymwita2312
@rhobbymwita2312 5 лет назад
Mwasha host, tafadhali usiwe unaingilia mazungumzo mpe nafasi mtu ukiwa anachangia ,upoingilia kunakuwa hakuna continuity ya mchangiaji. Plse
@belindagiliard8977
@belindagiliard8977 5 лет назад
Kwa kweli mmetimia. Asante kwa hii team, Lilian and the rest I salute you
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 года назад
Hili somo ni gumu najikumbuka "University" kwenye somo la "Determinism" yule Professor alinitesa sana.
@zawadifrancis6550
@zawadifrancis6550 4 года назад
Hongereni Sana kwa kuzidi kutuelimisha
@luckydavid7475
@luckydavid7475 5 лет назад
Dr. Eli asanteee dah nakupendaa sn baba yani nakuelewaaa mnoooo ❤❤❤
@kulway4669
@kulway4669 Год назад
Sio kweli
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 года назад
Shukran Nyiewot❤👍👌
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 2 года назад
Nawaelewa sanaaa !
@priscillaamossen8249
@priscillaamossen8249 5 лет назад
Hawa madaktari ndio wanotakiwa kuwa kwenye kipindi hiki
@mwashamramadhanbilali4138
@mwashamramadhanbilali4138 5 лет назад
Waooo nime enjoy kipindi kizuri na kinafundisha big up kwa Dr Ell e Dr Chris
@raxking2928
@raxking2928 5 лет назад
Nawapenda sana Dr Elie na cris mko vizuri.
@africanspotless
@africanspotless 5 лет назад
Dr. Elly ni konki but unaongea nondo ka Yesu! Tatizo "unauelewa mkubwa sana, wengine ni vigumu kukuelewa maelezo yako!"
@جاسمالشريم-ص3ص
@جاسمالشريم-ص3ص 5 лет назад
shukraan sanaa..kwa somo zuri.
@alamnyopo9739
@alamnyopo9739 4 года назад
Lilian nakukubali sana...😘 heko kwa wote kipindi kizuri mno...❣
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 5 лет назад
Nawapenda sana❤
@mwanatz5980
@mwanatz5980 5 лет назад
Kweli wanaojuakupenda ni wachache Asante doctor.
@masoudjuma159
@masoudjuma159 5 лет назад
thanks
@erastdapimp
@erastdapimp 5 лет назад
Auntie Sadaka usiwe na shaka dadaangu.. jaribu ku-update hiyo version angalau ikaribie kuwa Dr. Sadaka then utaona jinsi itakavyokuwa rahisi kumuelewa Dr. Ellis... Mama Terry pia msiwe mnamuacha nyumbani anapokuja Dr Ellis kwenye kipindi..atajifunza mengi na yeye!!!
@shajamijoseph2088
@shajamijoseph2088 5 лет назад
Yani nimeipenda
@ecabelmwai3474
@ecabelmwai3474 5 лет назад
Dr.Ellie i looooooooooooooooooooooooove you....mama mwasha plz tell dr......nimempenda mnooooo yaaaani nikimuona ntafurahiiiii😍😍😍😍😘😘
@kalundejohn3103
@kalundejohn3103 4 года назад
Na wapendaaa
@chidiomari.65
@chidiomari.65 5 лет назад
Mungu awape Maisha marefu,mnatuelimisha Sana.
@siwazabron8198
@siwazabron8198 5 лет назад
dah,madoct hao noma sana
@ummuwawili
@ummuwawili 9 месяцев назад
anafanana sana Whozu
@nicksonlwiwa144
@nicksonlwiwa144 5 лет назад
Daaah naenjoy Sana hich kipind nahawa guyz
@jacklineswallo3643
@jacklineswallo3643 5 лет назад
Dr Elly axante .......
@luckyvoxtv2999
@luckyvoxtv2999 5 лет назад
Jackline Swallo somo zuri sanaaa kwaambae anaelewa what's is talking about
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Kama umemsikka lily akifurahia ashki gonga like hapa
@04704803
@04704803 5 лет назад
Its true,yaan nilikuwa sijuagi kwa nini?
@halimahassan1599
@halimahassan1599 4 года назад
nampenda bure huy alievaa nguo nyeusi
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 5 лет назад
Dr.Elie i miss you #mahabasiriniupendoadharani
@gracedismas1108
@gracedismas1108 4 года назад
God bless you dct elly
@Jizams
@Jizams 5 лет назад
Aisee,tangu nilipoanza kufwatilia #sns leo ndo nimepata content ninayoitaji,hawa wazee wako vizuri kichwani. They got more to tell. Naitaji kumeza vitu from ubongo wao
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 4 года назад
Me2
@gloryjutta7888
@gloryjutta7888 4 года назад
Nimependa mifano hiyo ya equaliser, yaani nimefurahi kwasababu pakipungua kitu kwenye mahusiano patatokea shida naomba namba yake kwa ushauri zaidi
@rahmakimbombo7365
@rahmakimbombo7365 4 года назад
Wow yan najikuta nacomment coz Dr chriss anaongea kwa uwaz coz weng wetu watz tunapenda direct story NC wenye uelewa km Wang wa kuelewa kwa haraka Dr chriss anatuelewesha cc wabongo
@jamilarajab4287
@jamilarajab4287 3 года назад
Jamn nmempenda Dr,naomba namba yake
@rkenea4262
@rkenea4262 4 года назад
Sante sana
@sumaiyamihrma7852
@sumaiyamihrma7852 5 лет назад
Lilian, aunt sadaka nawapenda, hiki ndio kipindi bhana
@MwanahalimaMohammed
@MwanahalimaMohammed 4 месяца назад
Hahaa very true kaka zng hehee
@hudhaimaissa3151
@hudhaimaissa3151 2 года назад
Mapenzi hadharani# mahaba sirini #
@chalamossi6656
@chalamossi6656 4 года назад
Nikweli
@raheemamkambha6013
@raheemamkambha6013 5 лет назад
Looh! Leo mmenikosha kweli
@maryamsuleiman6340
@maryamsuleiman6340 7 месяцев назад
Ukiyasikiliza haya maneno nirraha mnno mananiukweli halisi wamwanadamu ulio
@halimahassan1599
@halimahassan1599 4 года назад
kwa docta elieeee
@ummuwawili
@ummuwawili 9 месяцев назад
sasa haya nayo ni ya kufundishana public jaman?
@stemcellstc30superlife77
@stemcellstc30superlife77 5 лет назад
Dr Elly🙌🙌🙌
@zakiyajuma3454
@zakiyajuma3454 5 лет назад
Jamaa linajua hiliii
@halimahassan1599
@halimahassan1599 4 года назад
dr.elie
@sharonndowo6922
@sharonndowo6922 5 лет назад
Ila Lily swali alilomuuliza Cris jamani
@bihizaclement9868
@bihizaclement9868 5 лет назад
Nimejifunza kitu
@kitonekantasha1687
@kitonekantasha1687 4 года назад
Nyie jamani nyiee hapo nimepapenda sana UMEME
@thurayaalriyamy8635
@thurayaalriyamy8635 2 года назад
Mume wangu anatizama video za ngono jee kunisaidia vipi wenzangu nikimwamb ia ananijibu kwa hili niwachie
@rehemamajaliwa
@rehemamajaliwa 2 года назад
Uwe unaangalia nae dear
@ummuwawili
@ummuwawili 9 месяцев назад
😅😅 jaman nacheka kama mazuri
@happyhaule5865
@happyhaule5865 2 года назад
Sikosi kipindi chenu kinanisaidia sana
@frenchygigi
@frenchygigi 5 лет назад
What is the meaning of changa moto
@magessageorge708
@magessageorge708 4 года назад
challenges
@husnasadick5347
@husnasadick5347 4 года назад
Challenge
@anamichal2345
@anamichal2345 5 лет назад
Huyu doctor ana roho yangu jamani khaaaa
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 4 года назад
Lkn mkifanya mapenz km mna hasira naona itakuw mnabakana
@bertinaafonsorapaz8345
@bertinaafonsorapaz8345 4 года назад
😂😂😂😂😂😂uwiiii
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 года назад
Aaa ugomvi ndio unaishia hapo na mnaongea huku mnafanya aliyekosa anaomba msamaha huku karot iko ndan weee inanoga mapenzi yAnanoga kuliko siku yeyeyoteee
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 5 лет назад
💖💖💖💖💖💖💖💖
@kenedyrocky4641
@kenedyrocky4641 4 года назад
MWANAMKE NDIO ANAENJOY ZAIDI. SAWA NAKUBALIANA NA WEWE LKN, NIKWANINI SASA WANAWAKE HAWATONGOZI???? WAELEZE UHITAJI WAO.
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 4 года назад
W
@teddygabriel5662
@teddygabriel5662 4 года назад
Kuna vichwa vina akili wuiiii
@halimahassan1599
@halimahassan1599 4 года назад
piga keleleeeeee
@sharoombay8997
@sharoombay8997 4 года назад
Lili unaboa unaongea sana.
@theofridankamu9754
@theofridankamu9754 4 года назад
Hahaha nyie jaman ukiwa unahasira unasex vzr
@mariamnamwa188
@mariamnamwa188 4 года назад
Lillian unavituko wewe😁😁😁
@nyasindemiggo4684
@nyasindemiggo4684 5 лет назад
Huyu Lily anabisha bisha vitu vya ukweli Sana sijui Kama Ana mahusiano mbona vitu viko wazi kwenye swala la ugomvi na sex
@lilianmmbaga4239
@lilianmmbaga4239 5 лет назад
nyasinde miggo hatulii akaelewa kwanza anakurupuka kubishaa ila ana ndoa
@ritharithafabian5240
@ritharithafabian5240 5 лет назад
Dah mko poa sn mnaelimisha vby mno
@MwanahalimaMohammed
@MwanahalimaMohammed 4 месяца назад
Kweli sex mkiwa nahasira nitam aisee
@jumamnyambwa3490
@jumamnyambwa3490 4 года назад
S
@bosschick2417
@bosschick2417 5 лет назад
😳🤣🤣🤣 lol
@jubilatemariki5967
@jubilatemariki5967 4 года назад
Liliani anamakelele sana Halafu hii topic inamhusu alivunja ndoa ya mtu
@fortnataangelo4805
@fortnataangelo4805 5 лет назад
Nimeelewa sana!!
Далее