Тёмный

WOMEN MATTERS: JE, KUTOM-POST MPENZI WAKO KWENYE 'STATUS' NI KOSA? 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 56 тыс.
50% 1

#wasafi #WomenMatters

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
@byshabani
@byshabani 4 года назад
Some People Are Just Blessed I Mean Take A Look At The One Reading This Post You Are Just Awesome👏✊👍 🤗😍💕💝
@latifahjamal2999
@latifahjamal2999 4 года назад
😍😘😘😘
@navojosephat656
@navojosephat656 4 года назад
waw I love it, bless u darling.
@AMI-ip1lx
@AMI-ip1lx 4 года назад
Somo leo Nime lielewa sana Asanteni kwa maneno yenu Nime jifunza kwakweli Imenigusa kwelii maaana Mada zote Mlizo Ongelea Zina nihusu zinginezo Thank you so much
@vlogvlog8522
@vlogvlog8522 4 года назад
Ila nyie watu timu nzuri sana na sadaka wangu leo kapendeza lihadija ♥️♥️♥️♥️nakupenda lili leo kilemba nime kielewa director sadaka mambo vipi
@heriholder1625
@heriholder1625 4 года назад
Pr. Jamal yu waonekana mpole Sana big up bro.
@rashidmbaruk5166
@rashidmbaruk5166 4 года назад
Hii nadhani ni character ya watu anaopenda kusoma vitabu sana
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 4 года назад
Hamna Jamal anamuogopa mama mkwe wake bi khadija huenda ana maono ya kutaka kumuoa zuchu😁😁😁(natania jamani).
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Khadija kopa ni mcute MashaAllah tabarakaAllah
@thureiyahabib6415
@thureiyahabib6415 4 года назад
Thank you professor and aunt sadaka actually tuko kwenye mabadiliko lakin pia tusipende kuiga kila tunachokiona kwenye TV
@lighnessmrisho1525
@lighnessmrisho1525 4 года назад
Khadija kopa nimekuelewa vzr 😅😅🔥🔥🔥
@immaculeensabimana2097
@immaculeensabimana2097 4 года назад
Napenda kipindi cenu ManshaAllah 👌Ila tatizo nilimoja tu mnesemea limoja mpaka mnatuvuruga jamani mpeane mda kwakuongea ili tuwaelewe Ila narudia tena mko namba 1kwakweli 🙌🏾nawapendasana ❤️
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 4 года назад
Mungu wangu kwa mara ya kwanza naumuona jamal anacheka kabisa luv u Jamal 😘😘😘
@frenchygigi
@frenchygigi 4 года назад
Khadija makeup and hair looks good and young
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 4 года назад
Jamani leo mmependeza sana ❤ much love from Italy guys
@abdinasirshukri1218
@abdinasirshukri1218 4 года назад
Pf Jamal majibu mzuri sanaa
@mytelecom2019
@mytelecom2019 4 года назад
asante Aunty SADAKA and KOPA kama KOPA... unaambiwa ukubwa dawa.
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Hapa alitakiwa Dr mwaka
@cutyshakira2944
@cutyshakira2944 3 года назад
Kweli kabisa
@sleyummoo7795
@sleyummoo7795 4 года назад
Short and clear mke ni kituh cha stara katika uislam hastahiki kuonekana ovyo na mke ameumbwa kuwa awe mtuh wa aibu zaidi ila wanawake wamekuja agents na maandiko nais ilo si la kufanya kuvunjika Kya ndowa halaf mke nisiri vipi umpost
@upendomkude5390
@upendomkude5390 3 года назад
Jamal April Jamal uko deeper sana tunaokuelewa tunakuelewa 🧠
@lutfiarashid8770
@lutfiarashid8770 4 года назад
Nakupenda bi khadija
@dotosalim5090
@dotosalim5090 4 года назад
Mm msichana na sitaki kuwekwa popote
@sarahmuthoni3877
@sarahmuthoni3877 2 года назад
Wanaume hakuna mtu kubebeleza oeni oeni kabisa Yes
@shamimfuraha7863
@shamimfuraha7863 4 года назад
Asante sana kwe kipindi nmejifunza sana God bless u all.
@vlogvlog8522
@vlogvlog8522 4 года назад
Jamal yuko smart
@mwambarock3696
@mwambarock3696 4 года назад
😂😂 profesar Jamal ✍️ hivi kumbe unachekaga daaa ..nime enjoy saana. God bless you Mr Jamal ✍️. #wasafitv #WCB#profesarjamar
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 года назад
Mmh kwani anatatizo la bandama?
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 4 года назад
Mwanaume una enjoy kucheka kwa mwanaume mwenzio... kuna walakin hapo 🤦‍♀️
@mwambarock3696
@mwambarock3696 4 года назад
@@stevehiraly9127 😂😂 enjoy badala yangu ukiona na faidi ....🤣🤣🤣🤣
@mwambarock3696
@mwambarock3696 4 года назад
@@joycechaz2840 ... interview ...anazofanya au aikiwa kwenye kipindi chake cha..the store book... Huwezi kumukuta anachekache ...
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 года назад
@@mwambarock3696 ooh sawa
@hiramakhamis2830
@hiramakhamis2830 4 года назад
Jamal anaongea points nyingi ila sauti yake IPO chini sana
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 4 года назад
namshukuru mungu.amenileta duniani kama zawadi kwa wanawake.sina pesa lakini wananipenda na kunisaidia.
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 4 года назад
Nafikiri wanaume wanawaprotect wake zao hawapendi kuacha acha picha zao kwenye social media hovyo hovyo wanogopa wataibiwa
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 года назад
Leo Mah khadij umependeza san, na aunt sadak
@najmanajma-4765
@najmanajma-4765 4 года назад
Bi hadija napenda majibu yako,MashaAllah
@susancharles1660
@susancharles1660 4 года назад
Hadija Kopa you’re so beautiful!
@dapillar5440
@dapillar5440 4 года назад
Nimegundua kitu, wanawake wa miaka ya 80 wanajitambua sna (khadija na Auntie) lakin hao wa miaka ya 90 wanatusumbua sna . wanapenda kuwekwa kwa social media sana., kukuweka status sio kipimo cha upendo...! mwanamke ni pambo la ndani sio la mtandaoni..! Mauzo social media ndo yanaharbu ndoa. na ndio maana wakigombna tu social media zote zinajua.. ninamengi kwl ya kupinga mwanamke kuwekwa status..
@hidayasaid1397
@hidayasaid1397 4 года назад
Kweli kabisa
@scolamisunza9581
@scolamisunza9581 4 года назад
Ilo cyo tatzo,tatzo nkwamba mnaogopa kumuweka mpenz wako kwenye status unaogopa kuharbu kwngne
@alicysalvatory5452
@alicysalvatory5452 4 года назад
Prof jamal akili nyingi
@winfridaw.mwashala289
@winfridaw.mwashala289 4 года назад
To be honest, nampenda sana Hadija Kopa na Zuchu! Namwomba Mungu Hadija Kopa Aolewe tena kwa heshima tule ubwabwa mchana kweupeee! na Diamond amuoe Zuchu , waimbe wee nyimbo zote, halafu wamgeukie wote Mungu!
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Zuchu ana mtu unataka waachane?
@winfridaw.mwashala289
@winfridaw.mwashala289 4 года назад
@@BigZhumbe He sikujua kumbe yu ana mtu, nilizani single. Ni binti nampenda sana akae na huyu huyo mtu wake!
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
😅😅😅😅
@benjaminmapenzi3581
@benjaminmapenzi3581 4 года назад
Basi kwenye hii interview professor Jamal kama kabakwa,mpole sana kbs amejikuta mpweke sana
@azzamahamdu7039
@azzamahamdu7039 4 года назад
Jomon khadja anachngamsha kipindi🤣khadja ana face nzuri mashalaah 🥰professor jamal yuko SMART SANAAAA.mume wangu anambia nikuweke status rafiki zangu wakuone ndo nn sasa?kidini pia sio nzuri...mi nahic ANAKUHESHIMU
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 4 года назад
Aunt sadaka big up mume huwezi kumpost mkeo niko pamoja na wewe🙏🙏
@serenawilly4083
@serenawilly4083 4 года назад
Eti anampiga chini mazima sasa umeshapigwa chini ww huo mda wa kumpiga chini ni upi tena.. sema Pr Jamali kazidiwa na hao wanawake
@mariamothman7404
@mariamothman7404 4 года назад
Me huwa naenjoy huu ubishano😁😁😁😁✌
@bosslilyg4390
@bosslilyg4390 4 года назад
😄😄hata mimi
@saadamande3093
@saadamande3093 4 года назад
Nilikua nasubir kwa hamu hiki kipindi ahsanten
@silverman6930
@silverman6930 4 года назад
Dr Mwaka should have been in today definitely, we got better issue to discuss about in the society now we are chatting about posting your lovers ooo dear madness 🇬🇧🇬🇧
@yurisongoro2895
@yurisongoro2895 4 года назад
Ahhaahaha bi Khadija et simnataka kuposiwa hayaaa!
@muthegreat3667
@muthegreat3667 4 года назад
Dah jama kanifanya nikifuatilie kipind mwanzo mwisho namuelewa sana mzee wangu huyu .
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 4 года назад
We love women matters ❤️❤️❤️
@happyeugen7585
@happyeugen7585 4 года назад
Professor jamal
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 4 года назад
Ahadi ya mungu imetimia wanawake 4 mwanamme 1
@selemaniwaziri2621
@selemaniwaziri2621 4 года назад
Just good
@charleskaflela5747
@charleskaflela5747 4 года назад
Nimekuwa interested na agenda yenu, japo wanaume wengine kama mm kitu nacho kipenda sana sipendi kukiweka public sijui ni kwa nn, hata mi mwenyewe naweza ambiwa nimependeza lakin sipendi kujipost, nadhan huwa naamini kilicho chema kimeletwa na Mungu, hivyo kupost public nikama natamba kwan kuna watu hawana hicho nilichonacho ispokuwa kwa mapenzi ya Mungu mi ninacho, acha wafaidi watakao ona live siyo mitandaoni.
@salamahemed4806
@salamahemed4806 4 года назад
Hata mimi nipo hivyo kabisaa
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 4 года назад
He who loves shows off
@milkaauma6312
@milkaauma6312 4 года назад
Very true mama hadija kopa mukiekwa ndani tulieni
@tusajigwemoses988
@tusajigwemoses988 3 года назад
😃😃😃😃😃😃 mama khadija kopa amenichekesha, professor mpole jamani
@DonDallas
@DonDallas 4 года назад
Jibu jepesi Sana kitu chenye samani lazma kifichwe na ukiona unataka kupostiwa ujue kuna thamani Mm mke wangu siwezi kumuuza mitandaoni hata siku moja
@dorothwedson5959
@dorothwedson5959 4 года назад
Kweli kabisa
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Ivi Lilian na mwenzake wa red dress wanajua km wanaweza postiwa status wengine wakablockiwa wakawa wanajiona wao tu 🤣🤣🤣🤣🤣
@hidayasaid1397
@hidayasaid1397 4 года назад
🤣🤣🤣itakuwa hawajui
@kiboshoomoshi9820
@kiboshoomoshi9820 4 года назад
kabisaa
@aishaloveaishalove3723
@aishaloveaishalove3723 4 года назад
Kabisa😂😂😂😂😂😂
@joycechaz2840
@joycechaz2840 4 года назад
Hahahaha me staki huo ujinga wakupostiwa nilishawahi kuwekwa status na profile pic lakin kumbe naview mwenyewe hakuna mtu mwingine anayeona kashare na mimi tu!!!! 40 za mwizi zilipofika akaumbuka kumbe yule mbwa anamke na mtoto dah now days siamin kwenye huo upuuzi
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 4 года назад
@@joycechaz2840 hahahahaha
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 4 года назад
Yani huyo dada wa nguo nyekundu ni mie mtupuuuu!hakiyamungu pamoja na Lillian 🙈👌🤣👍🏼🤣🤣🤣
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 года назад
Mi ndio naongea kutwaaa!! Na haifanyik hio
@jamilajamila9682
@jamilajamila9682 4 года назад
@@janethkilonzi4260 😃😅🤣🤣😁😁kweli tu
@yahyamohamed3805
@yahyamohamed3805 4 года назад
JAMAR APRIL a.k.a master mind mwenye saut ya tembo💪💪💪💪💪💪
@nassornassor2646
@nassornassor2646 4 года назад
Assalam alyikum msikilizeni mama yanu Khadija kopa nyie
@yahyamohamed3805
@yahyamohamed3805 4 года назад
Leo tupo na professor 🤴🤴🤴🤴🤴🤴
@vlogvlog8522
@vlogvlog8522 4 года назад
HAdija kopa ndani ya nyumba
@aishaabdallah4560
@aishaabdallah4560 4 года назад
Yuafurahisha
@suleimanhamdan6434
@suleimanhamdan6434 4 года назад
Anti Sadaka . Peace up on u mama
@mamusmama2882
@mamusmama2882 4 года назад
Ongezeni Mudaa wakipindiiiii Tunawapenda kipindi kitamuuu sikosi wa sikiliza Dr Mwaka aje aendelee na Jamal apooo
@sophiamwakila3300
@sophiamwakila3300 4 года назад
Mimi nilikuwa napitia tu comment za wanaume kuangalia wanasemaje
@IconIcon-yz5vm
@IconIcon-yz5vm 4 года назад
Khadijah she have a smart women marriage understands 🤪🤪🤪🤪
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 года назад
Mapenzi ni kitu ambacho mtu hawezi kujificha huwezi ishi miaka kumi na mtu unaempenda bila kumpost mahala popote kwa uno ulimwengu wa sasa
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 года назад
Kabisaa!! Mmh yaan wanaume Hilo hawailitaki kabisa
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 4 года назад
Mm sijaelewa
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 3 года назад
Nawapendasan❤👍👌💃💃
@muthegreat3667
@muthegreat3667 4 года назад
Bomba la kipindi aisee .
@ajaykilawah9585
@ajaykilawah9585 4 года назад
Yeaaah
@clementsemizigi7150
@clementsemizigi7150 4 года назад
Jamal nakukubali sana
@rayshikeli1577
@rayshikeli1577 4 года назад
Prf Jamal kapungika na uimbaji wa Khadija Kopa😂😂😂😍😍
@zennakailo8106
@zennakailo8106 4 года назад
Kuwekwa status na boyfriend wako syo lazima cozy mapenzi syo status bali ni ww na mioyo yenu All in All nmekuelewa sana brother Jamali
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Mwanaume anaweza kukuweka kwa media zote na bado aka cheat...... kutongoza ni kujieleza sio picha picha on media
@feristersimfukwe3777
@feristersimfukwe3777 4 года назад
ofcourse,how your fiancee's true love concern with posting posting things on social media or kukuweka status???.........ni childish mind kutaka kuonyeshwa kitu ambacho mwanaume wako kumbe moyoni mwake hakipo kuhusu wewe
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 4 года назад
Dada lilian unaongea nkam unahibiri,bt big up Mummy..napenda Sauti yako
@ashrafadam4629
@ashrafadam4629 4 года назад
Mamangu hadija kopa unaongea point sn an mapenz au kumpenda mwanamke co lazma kumpost
@enemtatuka5863
@enemtatuka5863 4 года назад
Nilikuwa sikujui ichikipindi jamn mbon kizuli mnoo jmn ongeren san wasafi tv jmn
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
All in all kupostiwa muhimu babu were maisha ya cyber haya
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 4 года назад
Pf Jamal .masikini wanavyompigia kelele anatia uluma😂
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 4 года назад
@NYEGERE ONLINE🤣🤣🤣
@myseramatamu7409
@myseramatamu7409 4 года назад
Prf majibu kuntu
@mariyammaria3366
@mariyammaria3366 4 года назад
Prf jamal💓👌
@fatmaamran1335
@fatmaamran1335 4 года назад
Kuwekwa status sio kupendwa
@cattybony5039
@cattybony5039 4 года назад
.
@khadijakhafidh1423
@khadijakhafidh1423 4 года назад
Kuekwa status sio lazima ila mapezi ya kweli ndolazima
@ashuraussein7582
@ashuraussein7582 4 года назад
Kopa mzuri jomoni 😴
@veronicadickson1859
@veronicadickson1859 4 года назад
Kipindi bomba
@healthchoicewithluciebern8741
@healthchoicewithluciebern8741 4 года назад
Anaye kupenda awezi kuku weka azarani, private is good.
@pamelauwera3830
@pamelauwera3830 4 года назад
Nimeona jamal nikashawishika
@gracemushi1283
@gracemushi1283 4 года назад
Vailet I love you 🥰🥰🥰
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 4 года назад
Macho yangu yanaona kuw Pr. Jamal anafanana sana na Timbulo
@khadijakhafidh1423
@khadijakhafidh1423 4 года назад
Swadakita mama wajina yotetisa mwanaume hafosiwi na mazali anakupenda na kashakutambulisha kwa ndugu zake na jamaa zake inatosha status ni mapendekezo yake hata asipokueka basi kikubwa upendo wa kweli
@didakalaule7840
@didakalaule7840 4 года назад
Jamali anamkata hicho bi Khadija jmn 😂😂😂😂😂sijui kapenda sauti au jicho 🏃‍♀️🏃‍♀️😂😂😂😂
@mariamothman7404
@mariamothman7404 4 года назад
Aunty sadaka leo sijakuelewa kabisa yaan itakua napenda au najipendekeza
@jayn7490
@jayn7490 4 года назад
That team is dope, I learn alot frm you I love you all
@wedream7506
@wedream7506 4 года назад
Ok lbd kupost sio Jambo la msingi lkn mwanaume Kama mkeo unampenda muweke and make her happy kwani hw much does it cost
@nassornassor2646
@nassornassor2646 4 года назад
Mausiano hayapo mtandaoni hacheni hasira hahahhhahz
@mussamussaismaili9841
@mussamussaismaili9841 4 года назад
Noma sanaaaa
@ronexkayela2591
@ronexkayela2591 2 года назад
Nimependa sana mada ya Leo ni nzul Mimi ka mim nimejifunza kitu kikubwa 🙏🙏🙏
@zamzamadan1584
@zamzamadan1584 4 года назад
Kweli kabisa bi kadija ameniweka ndani ananipenda hiyo inatosha hataki kuniweka status hataki nionekane
@zwinsalhabsu264
@zwinsalhabsu264 4 года назад
Mama khadija maneno yake👌
@hameesmohamed9236
@hameesmohamed9236 4 года назад
Huu mjadala sijui ni kwamba haonmadada wawili walikuwa wanatania?!. Lakini kama walikuwa seriously, bas mahusiano yao yana changamoto sana!!... Points na vitu wanavyo support ni havina vichwa kabisaaaa!.. Bogus kabisaaaaa
@bigjizee4130
@bigjizee4130 4 года назад
😃😃😃😄😅
@annamichael1433
@annamichael1433 4 года назад
Khadija ilove you
@mhifadhi797
@mhifadhi797 4 года назад
Dawa ya hawa ni dr mwaka
@medicalphysicsbiomedicalen1707
@medicalphysicsbiomedicalen1707 4 года назад
Bi Khadija umependeza 👌👌
@goldenshadrackmsungu3664
@goldenshadrackmsungu3664 4 года назад
Jamal is very smart
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 4 года назад
Mpenzi ni moyoni sio kwenye mitandao
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 10 месяцев назад
Huyu violet hajui kuzungumza na watu wakubwa( bad manners)
@hameesmohamed9236
@hameesmohamed9236 4 года назад
Wanaume siku zote huwa wanapenda kujenga hoja katika kila wanachotaka kuongea, na ndo Jamal anachofanya hapo.. sasa angalia hao wanawake ukitoa aunt Sadaka hapo 😅😅😅😅😅
@dianamashala426
@dianamashala426 4 года назад
Usitufokee bwana ndo kazi ya mwanamke kuongea
@hameesmohamed9236
@hameesmohamed9236 4 года назад
@@dianamashala426 ni kwel ndo mnachojua tu hicho, tofaut na hapo 🤷🏿‍♂️🤷🏿‍♂️
@dianamashala426
@dianamashala426 4 года назад
@@hameesmohamed9236 ww unaweza ona kama ni upuuzi fulani hv but sio upuuzi ni moja ya kutoa kero au dukuduku lililopo moyoni
@nagibtimimi6027
@nagibtimimi6027 4 года назад
Khadija kopa wanyoshe hao mtu mzima dawa ndio maana ndoa zao hazidumu
@saidsinani8765
@saidsinani8765 4 года назад
Duu! Na muona kama Prof.jamali kanakwamba anachambua somo nje na ndani
@irenemsengi6578
@irenemsengi6578 4 года назад
Mamaangu hadijaa nakukubalii sanaa
@rashidmziray6532
@rashidmziray6532 4 года назад
hapo kwenye 'I need space' hata mimi nakuacha na space zako 'kwa sababu ntajuaje kama uko na mwingine unatupanga foleni? so namimi itanibidi nichukue time nifanye yangu sababu muda haungoji!!'
@rashidmziray6532
@rashidmziray6532 4 года назад
halafu mkumbuke kila binadamu ako na hulka yake sasa wewe wapenda upoteze muda mrefu sana kwa kubembelezwa halafu na yeye hana hulka ya kupoteza muda mrefu sana wa kubembeleza mtu maana hiyo nayo inaelekea kwenye abnormal people, so wale normal people usitarajie kuomba space muda mrefu hivyo unapigiwa simu hupokei mara unablock mtu halafu utarajie kumkuta kama bwege wako anakungoja come on! hilo kosa gani ubembelezwe muda mrefu hivyo nawe ulivyo mjinga ushindwe kujirudi mapema kama na wewe huna yako unayofanya huko kando??? ndio maana inabidi mutu atafute furaha kwengine maana kwako itakuwa ngumu kuipata kwa hulka yako hiyo ya abnormal person... Mwenyez Mungu pekee ndiye wa kumwomba na kumbembeleza atusamehe makosa yetu bila kuchoka na bila kikomo kwa maana yeye ndiye Muumbaji na sio binadamu mwenzako aliyeumbwa kama wewe akukoseshe furaha kwakiwango anachokitaka yeye huo ni ubwege!...
@Evictanzania
@Evictanzania 4 года назад
Jamani mada zenu ni nzuri ila jitahidini kupeana talking point jamani kama vai anaongea hata apumziki inakwaza
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 года назад
Nice kipindi, ila violet kusema kweli huwa hana points pia ni mbinafsi sana they way anavyoongea sio leo tu siku zote jirekebishe, sorry kama nimekukwaza.🙌❤
@Kal-Mary
@Kal-Mary 4 года назад
kweli kbsa
@farhatkhamis4401
@farhatkhamis4401 2 года назад
Apo wamejigawa kwasababu kuna watu wabishi ambao ata uwaeleweshe hawaelewi kwaivo apo wanaigiza kama uyo violet na Lillian ndo wamekaa upande wa ubishi ila haimanishi kuwa ndivo alivo
@matswelopelemphela9676
@matswelopelemphela9676 4 года назад
Mapenzi ni actions mbona ndoa haikufungiwa chooni mpaka kwingine kufichwe
Далее
Wildest 10 SECONDS OF HIS LIFE 🤯 @TomIsted
00:14
Просмотров 1,4 млн
EU Sparks for Climate Final
3:23:55
Просмотров 1 тыс.
Episode #3 - Aref Gharakhani - Snappbox's former CTO
1:40:52
Episode 64 - Alireza Eskandari | Boghche CEO
2:56:19
Просмотров 636 тыс.
Wildest 10 SECONDS OF HIS LIFE 🤯 @TomIsted
00:14
Просмотров 1,4 млн