Somo leo Nime lielewa sana Asanteni kwa maneno yenu Nime jifunza kwakweli Imenigusa kwelii maaana Mada zote Mlizo Ongelea Zina nihusu zinginezo Thank you so much
Napenda kipindi cenu ManshaAllah 👌Ila tatizo nilimoja tu mnesemea limoja mpaka mnatuvuruga jamani mpeane mda kwakuongea ili tuwaelewe Ila narudia tena mko namba 1kwakweli 🙌🏾nawapendasana ❤️
Short and clear mke ni kituh cha stara katika uislam hastahiki kuonekana ovyo na mke ameumbwa kuwa awe mtuh wa aibu zaidi ila wanawake wamekuja agents na maandiko nais ilo si la kufanya kuvunjika Kya ndowa halaf mke nisiri vipi umpost
Nimegundua kitu, wanawake wa miaka ya 80 wanajitambua sna (khadija na Auntie) lakin hao wa miaka ya 90 wanatusumbua sna . wanapenda kuwekwa kwa social media sana., kukuweka status sio kipimo cha upendo...! mwanamke ni pambo la ndani sio la mtandaoni..! Mauzo social media ndo yanaharbu ndoa. na ndio maana wakigombna tu social media zote zinajua.. ninamengi kwl ya kupinga mwanamke kuwekwa status..
To be honest, nampenda sana Hadija Kopa na Zuchu! Namwomba Mungu Hadija Kopa Aolewe tena kwa heshima tule ubwabwa mchana kweupeee! na Diamond amuoe Zuchu , waimbe wee nyimbo zote, halafu wamgeukie wote Mungu!
Dr Mwaka should have been in today definitely, we got better issue to discuss about in the society now we are chatting about posting your lovers ooo dear madness 🇬🇧🇬🇧
Nimekuwa interested na agenda yenu, japo wanaume wengine kama mm kitu nacho kipenda sana sipendi kukiweka public sijui ni kwa nn, hata mi mwenyewe naweza ambiwa nimependeza lakin sipendi kujipost, nadhan huwa naamini kilicho chema kimeletwa na Mungu, hivyo kupost public nikama natamba kwan kuna watu hawana hicho nilichonacho ispokuwa kwa mapenzi ya Mungu mi ninacho, acha wafaidi watakao ona live siyo mitandaoni.
Hahahaha me staki huo ujinga wakupostiwa nilishawahi kuwekwa status na profile pic lakin kumbe naview mwenyewe hakuna mtu mwingine anayeona kashare na mimi tu!!!! 40 za mwizi zilipofika akaumbuka kumbe yule mbwa anamke na mtoto dah now days siamin kwenye huo upuuzi
ofcourse,how your fiancee's true love concern with posting posting things on social media or kukuweka status???.........ni childish mind kutaka kuonyeshwa kitu ambacho mwanaume wako kumbe moyoni mwake hakipo kuhusu wewe
Swadakita mama wajina yotetisa mwanaume hafosiwi na mazali anakupenda na kashakutambulisha kwa ndugu zake na jamaa zake inatosha status ni mapendekezo yake hata asipokueka basi kikubwa upendo wa kweli
Huu mjadala sijui ni kwamba haonmadada wawili walikuwa wanatania?!. Lakini kama walikuwa seriously, bas mahusiano yao yana changamoto sana!!... Points na vitu wanavyo support ni havina vichwa kabisaaaa!.. Bogus kabisaaaaa
Wanaume siku zote huwa wanapenda kujenga hoja katika kila wanachotaka kuongea, na ndo Jamal anachofanya hapo.. sasa angalia hao wanawake ukitoa aunt Sadaka hapo 😅😅😅😅😅
hapo kwenye 'I need space' hata mimi nakuacha na space zako 'kwa sababu ntajuaje kama uko na mwingine unatupanga foleni? so namimi itanibidi nichukue time nifanye yangu sababu muda haungoji!!'
halafu mkumbuke kila binadamu ako na hulka yake sasa wewe wapenda upoteze muda mrefu sana kwa kubembelezwa halafu na yeye hana hulka ya kupoteza muda mrefu sana wa kubembeleza mtu maana hiyo nayo inaelekea kwenye abnormal people, so wale normal people usitarajie kuomba space muda mrefu hivyo unapigiwa simu hupokei mara unablock mtu halafu utarajie kumkuta kama bwege wako anakungoja come on! hilo kosa gani ubembelezwe muda mrefu hivyo nawe ulivyo mjinga ushindwe kujirudi mapema kama na wewe huna yako unayofanya huko kando??? ndio maana inabidi mutu atafute furaha kwengine maana kwako itakuwa ngumu kuipata kwa hulka yako hiyo ya abnormal person... Mwenyez Mungu pekee ndiye wa kumwomba na kumbembeleza atusamehe makosa yetu bila kuchoka na bila kikomo kwa maana yeye ndiye Muumbaji na sio binadamu mwenzako aliyeumbwa kama wewe akukoseshe furaha kwakiwango anachokitaka yeye huo ni ubwege!...
Nice kipindi, ila violet kusema kweli huwa hana points pia ni mbinafsi sana they way anavyoongea sio leo tu siku zote jirekebishe, sorry kama nimekukwaza.🙌❤
Apo wamejigawa kwasababu kuna watu wabishi ambao ata uwaeleweshe hawaelewi kwaivo apo wanaigiza kama uyo violet na Lillian ndo wamekaa upande wa ubishi ila haimanishi kuwa ndivo alivo