Тёмный

Yanga SC 5-1 ASAS FC | Highlights | CAF CL | 26/08/2023 

Azam TV
Подписаться 2,8 млн
Просмотров 315 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
@azizambise
@azizambise Год назад
Waoooh hawakukosea kusema max day, yanga tamu 💚💛💚💛💚
@JoyceShangwe-zz1no
@JoyceShangwe-zz1no Год назад
Yanga naipenda sana
@nkosiyabomasuku1795
@nkosiyabomasuku1795 Год назад
Dakika ya 7, jezi namba 7 na mpira mboga 7 🔥 Daima mbele, nyuma mwiko 💛💚
@MamuDar-eo6ys
@MamuDar-eo6ys Год назад
Asante chama langu yanga oyeee mambo kama hayo nawaombea wachezaji myafanye mwezi wa kumi na Moja,
@dauditobiko
@dauditobiko Год назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤yangaaaas
@Johnmasanja27
@Johnmasanja27 Год назад
Dakika ya 7 namba 7 max huyoo😊😊❤❤❤
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 Год назад
Kibabage mtu sana 🙌💪
@OmarOmar-gq5tk
@OmarOmar-gq5tk Год назад
Kuna siku atakula mtu 10 c kwa kasi hii ya yanga❤
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr Год назад
Iyoo. Ndo .yanga. Bwanaa. Injinia. Herrss. Ni. Bora. Kuliko. Like. Boya. La. Ugari. Sukari
@kizitondeka2273
@kizitondeka2273 Год назад
Max Mpia, Jezi No. 7 anafunga goli dakika ya 7 na sekunde 17 what a coincidence😊😊😊
@Amanzi27
@Amanzi27 11 месяцев назад
Yaan had rahaaa
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
💛💛💚💚💛
@DubayReja
@DubayReja Год назад
Kazi kazi
@Chakaboy-dw9wy
@Chakaboy-dw9wy Год назад
Daima mbele nyuma mwiko❤
@nestorymapunda-f6b
@nestorymapunda-f6b Год назад
Azm wivu uwo dakk 7 mamaee zenu ❤❤
@Prince-rafael
@Prince-rafael Год назад
Nilichokigundua nikwamba Hadi sisi Mashabiki wa Yanga tumeanza kuiogopa Yanga 😅😅Sasa sjui hio club zenu vp??
@latifabrayt7509
@latifabrayt7509 Год назад
😅😅😅😅😅😂😂😂 umenifurahisha
@maryjames7438
@maryjames7438 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamn jamn
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz Год назад
DADA AOLEWA NA NDONDOCHA BAADA YA MAMA YAKE KUMLAZIMISHA KUOLEWA KWENYE FAMILIA YA MATAJIRI MOSHI ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-jdmLWp5HWFg.html
@ladslausgomel2089
@ladslausgomel2089 Год назад
Sema ww ndugu yangu nkisema mimi ntaonekana mbaya
@maase2023
@maase2023 Год назад
Yanga ipi ww? Mnajisifu kwa kibonde huyo jbouti? Subiri mkutane na wanaume ww
@ladiusmk.anthony4989
@ladiusmk.anthony4989 Год назад
Nzengeli
@KakaMkubwa-y6g
@KakaMkubwa-y6g Год назад
Hv mmegundua kitu leo MAXDAY goli la kwanza limefungwa dkk ya 7 na mwenye jersey no.7
@mudimoz9329
@mudimoz9329 Год назад
Azam tv Mbona Sikuhizi Munazingua
@AllyASalum
@AllyASalum Год назад
Sanaa...!! sasa dkk mbili na nusu ndio nini?
@zuhurahkambi5931
@zuhurahkambi5931 Год назад
Yani hawa jamaa wa Azam wamekuwa wa hovyo sana Kuna haha gani ya kuweka highlight ya dk 7 no Bora msiwe mnaweka.
@footmobonline
@footmobonline Год назад
Yani Azam kwenye Highlights bado hamko serious. Kweli mechi hii ya kutuletea dakika 7?
@LizzyKetty
@LizzyKetty Год назад
Yani hapo bado hujasema mpaka useme😅😅😅😅😅
@OBEDINDOYA
@OBEDINDOYA Год назад
Hii imeenda
@isacmathew9048
@isacmathew9048 Год назад
Yanga inatisha mazee
@ip_header
@ip_header Год назад
🙌
@jersonmpeka4984
@jersonmpeka4984 Год назад
😮😮😮😮 hii imeeendaaaa
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Год назад
Pp
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
to infinite and beyond💛💚💛💚💛😄
@nestorymapunda-f6b
@nestorymapunda-f6b Год назад
Azzk kawa mtam 😮😮
@SAM.NYUNDO
@SAM.NYUNDO Год назад
Yaaaaaanga
@ShabanMwiva
@ShabanMwiva Год назад
Azam highlight za msimu huu mnatubania sana sana sisi ambao tunategemea highlight kuangalia mechi hamtutendei haki kabisa na sisi ni wateja jamann mtujali.
@abuuharuna6769
@abuuharuna6769 Год назад
Jamani jamani jamani Bao la kufutia machoz kwa zalan
@zuhurahkambi5931
@zuhurahkambi5931 Год назад
Yani hawa jamaa wa Azam tv wamekuwa wa hovyo sana Kuna haja gani ya kuweka highlight ya dk 7 yani ni Bora msiwe mnaweka.
@MamuDar-eo6ys
@MamuDar-eo6ys Год назад
Jamani MAX ZENGELI Ndio habari yanga anatisha Santee ,tunawaombea uzime,siku ya Simba na yanga kwenye uzima nitakuwepo taifa naomba iwe Raha kama hii nawapenda kaka zangu nawaombea ushindi Kila mara
@nicholaushongoli
@nicholaushongoli Год назад
Simba siyo vibonde ucje ukazimia tu taifa
@mathiamgaya281
@mathiamgaya281 Год назад
ongezeni dakika mnatunyima raha
@LainaIdrisa
@LainaIdrisa Год назад
Yaani hapo mpaka useme mbn badoo hujasema
@JumaShabani-vp4bs
@JumaShabani-vp4bs 7 месяцев назад
Mashine
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Me ni yanga😂😂🎉
@scopy0428
@scopy0428 Год назад
Nasemaje Fa'Mchezo ni Fa'Masihara Kama kutolewa tutolewe hukuhuku kwenye hatua za awal na yakwanza tukiingia tu Group stage wametukosa watatushikia Sem Final au Final yenyewe
@fabrisakasongo3277
@fabrisakasongo3277 Год назад
Sasa dakika saba ndo nini si bora mngeacha tu
@jerrykroos8863
@jerrykroos8863 Год назад
Yangaaaaaaaaaa kiboko tunawataka wavaa vijuba
@mikitrevo684
@mikitrevo684 Год назад
Ongezeni dakika maana Kuna matukio mengine muhim yanakosekana kutokana na uchache wa dakika, highlight iwe na angalau dadika 18 adi 20
@SaidiSaidi-y8l4f
@SaidiSaidi-y8l4f Год назад
Yani mpaka waseme
@TumainielKitundu
@TumainielKitundu Год назад
Azam tv kwakweli mnazingua sasa hii ni highlight au mmeonyesha magoli tu? Au ndo mnabania bundle 😢😢
@KellyDon-o3z
@KellyDon-o3z Год назад
Yan Yanga asaiv inakomoa so kwa magoli ayo
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 Год назад
Hv Hawa Asas na Zalan wanatoka nchi moja au?
@kelvinminde9652
@kelvinminde9652 Год назад
Nitafuten tuongee vzr
@renatusblandes1131
@renatusblandes1131 Год назад
Hapo hakuna magoli ya maana
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Год назад
Hata mama yako akilalwa wakimkojolea tuuu anaona sio wa maana
@aryanchuumu362
@aryanchuumu362 Год назад
Ya maan unataka wafunge kwa mikono?
@mudimoz9329
@mudimoz9329 Год назад
Nabado Utasema tu Hii Ndio Yanga
@SakinaJumapili
@SakinaJumapili Год назад
😂😂😂😂yanga pambeeeeee
@HASSANKAMGUNDA
@HASSANKAMGUNDA Год назад
Mpenja inaogea sana kuchambua Mpira hiwezi😂😂😂
@jacksonmenas6026
@jacksonmenas6026 Год назад
Yaani mpenja mpaka umesahau jina la timu eti zalani hao sio zalani ni asasi mabingwa wa kutengeneza maziwa😅😅😅
@maase2023
@maase2023 Год назад
Yanga wakifuna vibonde dah hasira zote zinaishia kwa vibonde
@abdulkarimabdallah9536
@abdulkarimabdallah9536 4 месяца назад
.
@Abdul87150
@Abdul87150 Год назад
Tuleteeni ata DKK 40
@SamLaizar-w5v
@SamLaizar-w5v Год назад
Pacome😂
@gwamakawilliam5895
@gwamakawilliam5895 Год назад
Goli la kufutia machozi kwa zalan😁😁😁😁
@Ishickahroggohitttler
@Ishickahroggohitttler Год назад
Mh !!!!!!
@ngorshermelody2021
@ngorshermelody2021 Год назад
Kwampira mzur unaochezwa nayang hamtakuja kuamin highlit zitatushwa had za dakika mbili wivu tu
@djamanitvonline3623
@djamanitvonline3623 Год назад
Basi apo Nzige wanajikuta arsenal 😩🐸🐸 Fyuuu
@alicenice1711
@alicenice1711 Год назад
Unateseka ukiwa wapi dunduka ww😂😂
@djamanitvonline3623
@djamanitvonline3623 Год назад
@@alicenice1711 hiyo ni kama kmc iliyo jichokeaa 🐸😩😩
@barakalawrence742
@barakalawrence742 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@عبداللهالعازمي-ع3ش
Kolo bata ziwa
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Год назад
Utakufa mapema mbwa wewe..punguza makasiriko😂😂😂😂
@dotodizo5354
@dotodizo5354 Год назад
Max😂
@selemanijuma6238
@selemanijuma6238 Год назад
jaman kwan mmechez nanan
@selemanijuma6238
@selemanijuma6238 Год назад
mpenja mwenyew anawaita zalan
@maase2023
@maase2023 Год назад
Kwa yanga hii wakikutana na simba tena naona kama wanapiwa 4 au 5
@ananiasjustice6840
@ananiasjustice6840 Год назад
Pacome
@JacksonLaizer-ul6ek
@JacksonLaizer-ul6ek Год назад
Where is king mayele
@gooleserviceyoutubescandar3450
Sijuwi Tuendeleze Au VIP?..
@mishaelmethusela7809
@mishaelmethusela7809 Год назад
Mtuongezee muda kwenye highlight matukio mengne mnayaacha
@KamaldinRoger
@KamaldinRoger Год назад
Ila mnatupunja udabwi,udabwi hatuoni kama misim mingine tunaona matukio mengi
@gaudencemhagama7216
@gaudencemhagama7216 Год назад
Mpenja bhana et wandewa wameanza kazi yao😂😂😂
@mombasa0076
@mombasa0076 Год назад
TUNA BAHATI YA KUCHEZA NA VIBONDE KUDADADEKI
@mudimoz9329
@mudimoz9329 Год назад
Nabado Mutasema tu
@maase2023
@maase2023 Год назад
Yanga maneno mengi sana lkn mpira bado uko chini mno
@nazariuspeter7394
@nazariuspeter7394 Год назад
Hii highlight ni very poor quality
@brandsmedia4861
@brandsmedia4861 Год назад
simu yako kimeo tu, nawatch kwenye pc hapa HD safi
@carlosn_tz
@carlosn_tz Год назад
Kweli kabisa.Huwezi kuweka highlights harafu unaruhusu muvu ya goli isionekani unatuonyesha marudio ya goli.
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 Год назад
Yanga bhana yani wanapiga bomu mochwari afu wanajisifu wameua😄😄
@BenidiusMuganyizi
@BenidiusMuganyizi Год назад
Kweli hata wewe uko mochwari
@LatifaLazaro
@LatifaLazaro Год назад
Acha wivu marehemu ww
@zamratallly4191
@zamratallly4191 Год назад
Et yuleee na blich yake😂😂😂
@kulthummohamed101
@kulthummohamed101 Год назад
Yanga ni watu na nuxu
@florianhenry7198
@florianhenry7198 Год назад
Tim kibonde wanasimba walishapiga mtu 8 sembuse tano
@jamessakaya1890
@jamessakaya1890 Год назад
Nilichogundua yang wamecheza na timu ndogo sanaaaa
@salmamlokela1987
@salmamlokela1987 Год назад
😂😂aya
@anordgeorge1727
@anordgeorge1727 Год назад
Ndomana kuna mwanamke na mwnaume
@LatifaLazaro
@LatifaLazaro Год назад
Wivu mwingi
@anordgeorge1727
@anordgeorge1727 Год назад
We waache Tu, huu mwaka mbona watu watatubu
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Год назад
Hata wewe unavoinamishwa na wanaume wenzako wanakuona mdogo sana ndio maana wanakupiga makalioni
@athumanimnyasa5696
@athumanimnyasa5696 Год назад
Mnakata migomba tu,, timu haina kwao,, CHEVU,,
@mudimoz9329
@mudimoz9329 Год назад
Nabado Mutasema tu
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Год назад
Bado hamjasema tukiwachoma kidole MATAKONI ndo mtasema vizuri😃
@damianimarusu721
@damianimarusu721 Год назад
Ppp
@selemanijuma6238
@selemanijuma6238 Год назад
kwel yanga ni wajinga, mnapiga kilema ara mnajisifu mnanguv, timu ambayo hain hata kwao, barak mpenja ndoomaan amewaita ``ZALAAN
@mudimoz9329
@mudimoz9329 Год назад
Wajinga Wazazi Wako Walio Kuzaa Yani Babayako Na Mamayako Mzazi Wote Wajinga
@sijalisimon5090
@sijalisimon5090 Год назад
Tunataka Kizalan kingine
@felisterjoseph4312
@felisterjoseph4312 Год назад
Tuleteee huyo unaye muona wewe ni mzima tumnyosheee😊😊😊
@bahatirashid6964
@bahatirashid6964 Год назад
Wakati tumemfunga 5G Kmc mlisema hanakitu mbona asas mmeshidwa kumfuga goli 5 mmemfunga 2 tu, sasa tumewajibu nao wemepigwa 5G naunaumiiiiia😂😂😂😂😂 yamani acheni wivu ,husda ni mbaya sana ivi Asas wenge cheza na Azam,Singinda na timu nyingi mngeyasema hayo kweli? Kubari tu kunaligusa boli, wewe na wenzio nuna nuneni sana ndio kwanza tumeanza.😛😛😛
@NellyWaKidato
@NellyWaKidato Год назад
Hamjasema vizuri tutafanya hivi hivi mpaka mseme
Далее
MISSION IMPOSSIBLE [55]
23:58
Просмотров 19 тыс.
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25