DADA AOLEWA NA NDONDOCHA BAADA YA MAMA YAKE KUMLAZIMISHA KUOLEWA KWENYE FAMILIA YA MATAJIRI MOSHI ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-jdmLWp5HWFg.html
Azam highlight za msimu huu mnatubania sana sana sisi ambao tunategemea highlight kuangalia mechi hamtutendei haki kabisa na sisi ni wateja jamann mtujali.
Jamani MAX ZENGELI Ndio habari yanga anatisha Santee ,tunawaombea uzime,siku ya Simba na yanga kwenye uzima nitakuwepo taifa naomba iwe Raha kama hii nawapenda kaka zangu nawaombea ushindi Kila mara
Nasemaje Fa'Mchezo ni Fa'Masihara Kama kutolewa tutolewe hukuhuku kwenye hatua za awal na yakwanza tukiingia tu Group stage wametukosa watatushikia Sem Final au Final yenyewe
Wakati tumemfunga 5G Kmc mlisema hanakitu mbona asas mmeshidwa kumfuga goli 5 mmemfunga 2 tu, sasa tumewajibu nao wemepigwa 5G naunaumiiiiia😂😂😂😂😂 yamani acheni wivu ,husda ni mbaya sana ivi Asas wenge cheza na Azam,Singinda na timu nyingi mngeyasema hayo kweli? Kubari tu kunaligusa boli, wewe na wenzio nuna nuneni sana ndio kwanza tumeanza.😛😛😛