@@user-jn8us1qi1z mliambiwa uku Kwa wakubwa mmezoea kafara 😄😄 mmedoda eti tano iyo usiisemee tunataka uku Kwa wakubwa sasa mmepata fimbo mbona club bigwa hamna uwezo uo zaidi ya kupigwa 3G😄😄😄
Je! Mwamnyeto ndio kapiga kichwa kati ya goli je! Diara alikuwa na ulazima gani wa kutoka katka goli wakati ule mpira ulikuwa ni free.je! Kwa jinsi lilivyofungwa goli Diara angekuwa langoni angefungwa? Ebu tujiulize hili, mwisho wa yote bila makosa hakuna goli.
Sema mwamnyeto huwa anakaroho kakujifunga sana ila si mbaya kutoa kupata point moja mimi nashangaa watz wanaodhani simba na yanga safari imeisha wakati simba msimu uliopita alipoteza mechi mbili mfululizo na akatoboa