Тёмный
No video :(

Yevgeny Prigozhin amekufa? Huu ndio ukweli wa mambo - Na DJ Sma 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 189   
@yohanadavid6724
@yohanadavid6724 Год назад
Tumepokea taarifa kutoka Source za Media tofauti. Lakini kama ulikua unasubiri kusikia kutoka kwa Dj SMA, gonga like...... 👍
@isayamgazaTZ
@isayamgazaTZ Год назад
Kwenye taarifa ya kwanza Dj, nilikuambia kua lazima ujue kwanza kua ni chombo gani cha kwanza cha habali kilitamka mpaka kuenea kwa vyombo vyote vya habali, lazima utambue kwanza kua vladimir putin anajivunia kua na huyu mbabe, na huyu jamaa anatia uwoga wale mahasimu wa Russia pindi jina lake linapo tamkwa ,, kwahio nafasi alio nayo prigozin nnje ya Russia ni furaha kwa vladimir putin kua na mpambanaji anayeogopwa ktk nchi nyingi,, na pia ujue kuna sura bandia za kuwachanganya vibwengo,, , kama chombo cha kwanza kutoa taarifa hizi ni kutoka Russia lazima ujue kua inaweza kua vita baridi , ambapo lazima ujue kua ubaridi huo upepo wake unaelekea upande gani na una speed ngapi wa kutambua uzito wa kitu kilicho simikwa au kuchimbiwa chini kikiwa kimetokezea juu ya uso wa dunia,, huenda comment yangu ikawa ina fumbo ndani yake, lazima usome na uelewe tu na utambue kilicho ndani yake,,,
@mikidadikaunje6420
@mikidadikaunje6420 Год назад
Qqqqqqqq😊
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 Год назад
Wewe fanya ufafanue mwenyewe sie tuna jukum la kuwatafakari wakatoliki na matamko yao
@athmanimkangara9290
@athmanimkangara9290 Год назад
Kama nimekuelewa vizuri ina maana kuna kitu kinafichwa ni propaganda. 1. Media za Russia ndio zimekuwa za kwanza kuripoti tukio. 2.Russia inajivunia prigozin hivyo haiko tayari kumpoteza kirahisi. 3. Tukio hilo linaweza carmoflage tu kuna mengi yanaendelea. 4.Asssement ya ajali yenyewe ya chombo inaonyesha kuna maswali mengi yakutatafakari
@kanukanute2722
@kanukanute2722 Год назад
Uko sahih mkuu
@brunoh_bx
@brunoh_bx Год назад
​@@mobilespecialschool4216😂😂😂
@Supershopdubai-ck8td
@Supershopdubai-ck8td Год назад
Dj sma tunakupenda san bro tulikua tunasubi uchambuziwako mze baba from 🇧🇮👊🖤 umenipa moyosan kamatim rusia
@ngadumbishi1405
@ngadumbishi1405 Год назад
Pole Sana Dj Sma Na Hongera Na Kazi Nzuri Unazotuletea 🙏
@ceasarj6761
@ceasarj6761 Год назад
Bro! Putin is a former KGB. Hawa watu huwa hawakurupuki katika kufanya maamuzi. They are trained to patiently wait for the right time to perfect their mission with all precautions taken.
@Manfilly
@Manfilly Год назад
Fact
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 Год назад
I agree with you on this point.
@sashawambura
@sashawambura Год назад
I concur you
@MichaelMghamba
@MichaelMghamba Год назад
Asant Sana broo hakika hiiishu imeniuma San dah Yevgan prigozing nikiongoz ambaye Kwanza ameamuakujitolea kuisuport Africa
@saidymwajeka8612
@saidymwajeka8612 Год назад
Mpaka tupate uhakika very nice dj smaa
@idrisyunis138
@idrisyunis138 Год назад
Oky kaka sawa kabisa shukran
@dorcasndesigns3997
@dorcasndesigns3997 Год назад
Nilikuwa nakusubiri sana DJ sma asante kwa kuchambua vizuri issue hii
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 Год назад
Asante sana dj smart
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Kama Kuna kiumbe ana Bahati Ni huyu, ameishi siku nyingi Saaana badaa ya kusaliti Nchi, tawala nyiingi ukiziingilia huwa wana michezo Michafu saana , huwezi saliti Nchi alafu ukabaki salama
@taraagire6176
@taraagire6176 Год назад
I really like the way u exmplain topic to topic pls can speak about what is going in in with war and the meeting they had in south Afrika! Thanks sweden
@isikesamike
@isikesamike Год назад
Pole kwa uchovu bro na shukrani kwa ufafanuzi. Usichoke kuendelea kutuletea uchambuzi
@abdallahmanirakiza175
@abdallahmanirakiza175 Год назад
Endelea kutupa habari za karibu Dj Sma😢😢😢
@ngwalibaba7489
@ngwalibaba7489 Год назад
U are righty
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Год назад
Nime kupata Dj sma pole kwa mchoko asante kwa kutujari
@kassimkhalid1185
@kassimkhalid1185 Год назад
No one mess with Putin..Kuna wakati miaka ya nyuma kwenye interview ya Putin..Putin kasame sitamsamehe mtu yoyote akinisaliti.
@ramadhan-id9mz
@ramadhan-id9mz Год назад
Nakubari sana
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Год назад
Pole sana Bro
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 Год назад
Upo vizuri mr
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Год назад
We appreciate for the update bro, God bless
@appolonation
@appolonation Год назад
DJ sima! I was waiting for you!! Love from Rwanda 🇷🇼!
@YahayaShabani-ne5gd
@YahayaShabani-ne5gd Год назад
Kagame must Go.
@melkizedekikalanga3349
@melkizedekikalanga3349 Год назад
Dj Sma, mimi nakupenda kutoka moyoni, napenda makala zako na ninazifuatilia zote, ombi langu kwako ni kuwa acha kuwakosoa haters, usiwashambulie, wale wenye uelewa mdogo pia try to be professional usiseme kuwa kuna watu wana uelewa mdogo hawanielewi, pia kuwa specific na mada husika, don't include private issues, usiseme kuwa umechoka au vinginevyo Kaka,,, nakuamini, nimejifunza mengi kutoka kwako, kama hutojali naomba tuonane...
@melkizedekikalanga3349
@melkizedekikalanga3349 Год назад
Kuna taarifa na elimu kuhusu mambo ya bima ulitoa na yalininufaisha sana, naomba tuonane, nipe mawasiloano yako Kaka...
@djsma255
@djsma255 Год назад
🙏
@amaradiombera2198
@amaradiombera2198 Год назад
Asante sana kwa jitihada zako 🇲🇱
@lukulomansour3087
@lukulomansour3087 Год назад
Ahsante Sana dj sma
@abuubakarhaji2078
@abuubakarhaji2078 Год назад
Pole kwa kuchoka ila tunakuelewa sana dj smaaaaa
@khamisshee803
@khamisshee803 Год назад
Waalekum musalam warahmatullah wabarakatu Aka bachuchu Mombasa 001 🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
@remigiuslivingstone3901
@remigiuslivingstone3901 Год назад
Noted djsma
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Год назад
Bro crowning is real especially in Russia and all they do is to confuse this world and complete their mission ..they are very serious to insure they pursue into real York of this world defensive principle ...
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Год назад
Dj Sma nilikuwa nangoja sana taharifa hii kutoka kwako ukipata update zozote tuletee
@daprince7545
@daprince7545 Год назад
Daaah kama ni kweli amekufa basi kifo chake kimegusa hisia za watu wengi duniani. Nakifananisha na kifo cha mwamba mzee John pombe magufuli, mungu akueke mahali pema John pombe magufuli😢😢😢
@mobilespecialschool4216
@mobilespecialschool4216 Год назад
We umeguswa
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz Год назад
Ushashiba ww
@daprince7545
@daprince7545 Год назад
@@mobilespecialschool4216 huu ndio ukosefu wa kutojitambua na swali unalo uliza
@petrompunga221
@petrompunga221 Год назад
Kama kweli amekufa, MIMI KWANGU NI SAFIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII
@tahiyasaidi6532
@tahiyasaidi6532 Год назад
Dj sma ...uyu jamaa washampeleka ....vyombo vilivyotoa hyo taarifa na RT ipo Russian today
@kassimmuktarymurji4242
@kassimmuktarymurji4242 Год назад
Prigozin hawezi kuwa amekufa ,fsb ni noma wanatengeneza tatizo na wanasuhisho,
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 Год назад
Wa alaykum ssalaam warahma tullah wabarakaatuh
@IrineJulius
@IrineJulius Год назад
Sawa nimeelewa
@joe_was_here.
@joe_was_here. Год назад
Dj smart❤
@azamazam3279
@azamazam3279 Год назад
Waleikum salaam warahmathullah wabarakathuh
@abuunusaibayussuf4829
@abuunusaibayussuf4829 Год назад
Mim nakukubal sana wew kuliko media nyinyi sana
@abounyandwi4139
@abounyandwi4139 Год назад
Tuko pamoja DJ Sma
@godfreyally-ps3fo
@godfreyally-ps3fo Год назад
👍💪
@davidwalalason7630
@davidwalalason7630 Год назад
According to CBS News wanaeema it was missile attack.
@bagulakamikazigrace2174
@bagulakamikazigrace2174 Год назад
Asante saana DJSMA,
@chesterbrand6723
@chesterbrand6723 Год назад
Home sweet. Home me nawakika wako na DNA ya pregozin wangelikuwa washafananisha vyake....
@MussaMumbi-ti9zx
@MussaMumbi-ti9zx Год назад
Niaj Dj s😊ma? Nataka niwepo kweny group lako la what's app
@djsma255
@djsma255 Год назад
Scan hio qr code inakupeleka direct
@hassanpashua
@hassanpashua Год назад
Kama mm nakuaminia najua bado utachambua ukweli tutaupata tu hapa hapa fuse from kenya
@SparrowArsenalsparrowarsenol
Naomba kujiunga group
@majaahmad7797
@majaahmad7797 Год назад
Wameongea weng ila nilkua nasubl kwako
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 Год назад
Inawezekana ikawa mpango wao wameupanga maana urusi ni watu wenye akili za mbinu nyingi sana
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Год назад
👍👊✌️。
@niyongendakosamuel858
@niyongendakosamuel858 Год назад
SA🇿🇦
@Issa-ud6sy
@Issa-ud6sy Год назад
Duh! Nimeumia sana kufa huyu mwamba
@ericksaid5327
@ericksaid5327 Год назад
Duh ndio yapi haya tena jameni
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Год назад
Tetesi hizi nadhani inaweza kuwa ni mbinu za kumvuruga mpinzani ili ajichanganye
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Год назад
Viva Putin viva African ❤❤ 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@irmgardsamia1827
@irmgardsamia1827 Год назад
From this nimegundua dj Bado kabisa hujaelewa how Putin works
@194summer
@194summer Год назад
Unafikiri damu za watu alizomwaga kwa wingi uovu huo Mungu atanyamaza
@jumadaima1833
@jumadaima1833 Год назад
Kweli Dj, Mzee wetu prigozhin kafa, midia zote za Russia zinaongea.
@jumadaud8181
@jumadaud8181 Год назад
Fanya mpango bro uniubge kwenye gruop
@KitakalaAmada-pf3xf
@KitakalaAmada-pf3xf Год назад
DJ smat uhakika2? ndio tunahitj
@karabhageganyanza
@karabhageganyanza Год назад
Alikua na bifu na waziri. wa ulinzi lazma atawekewa njama ya kuuwawa hatakama hajafa
@tarickmpemba6007
@tarickmpemba6007 Год назад
usichoke boss
@mustaphamatelefone-lc9pr
@mustaphamatelefone-lc9pr Год назад
Endelea kufwatilia dj tujue ukweli
@MuhidinMangu
@MuhidinMangu Год назад
Km 8000 ,sikubaliani nawewe Dj
@kevinbrown1900
@kevinbrown1900 Год назад
It’s alleged that BBC has already confirmed that.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 Год назад
Pamoj sana dj sma 💛💚
@IrineJulius
@IrineJulius Год назад
Pole na uchovu unaeza nieka kwenye group pleas
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Год назад
Mm naamin mwenyenzi muungu haondoi kitu bila kueka kitu naamin tu Kama kweli amekufa yupo zaidi ya yeye emesha wekwa puti wanyooshe mashago mpaka wakisome kiruss
@kheriadams5717
@kheriadams5717 Год назад
but ur smart sana
@Kidotii
@Kidotii Год назад
Umetudanganya ni km 8 sio elfu nane😂
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Год назад
Isiwe kafa kweli maana daah
@hussenmdomdo3982
@hussenmdomdo3982 Год назад
Tuliokuwa tunasubiri hii gonga like
@kanikiommy5167
@kanikiommy5167 Год назад
Kwa iyo wewe ndio unajuwa sana kuliko vyombo vya habari ulaya
@user-bi3ky7vy2q
@user-bi3ky7vy2q Год назад
Kilometre 8000 ? Seriously!
@omarykyutta6681
@omarykyutta6681 Год назад
Link ya group mbon haipo
@kheriadams5717
@kheriadams5717 Год назад
ni kilometer 7.8 mkuu sio elfu 8
@lallyfourty7.976
@lallyfourty7.976 Год назад
Enda shule kwanza kasome hesabu mbwa
@allyhasani3750
@allyhasani3750 Год назад
Kilomiter elf nane unazijua wwe
@ericknyalusi2579
@ericknyalusi2579 Год назад
Km 8000 au m8000?
@mussachichajr
@mussachichajr Год назад
Sasa wewe hizo taarifa za uhakika unataka nani athibitishe au mpaka ww uje kututhibitishia ndio tuamini khaaaa😂😂😂. Kama RT na Russian aviation wote wame confirm kama amekufa Kwa ajali ya ndege ww ni nani, sasa ww subiri confirmation ss ambao tunakesha kufuatilia habari hizi tumeshajua zamani. Wa fuse subirini Dj aje atoe taarifa rasmi
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey Год назад
Tunamsubir hatuna shida tumechagua wenyewe kufatilia kupitia channel hii wewe tulia tu maana bando ni letu bhana
@nextstudiostz
@nextstudiostz Год назад
😂😂😂😂 anamsiba mwenzenu. Sa sjui Puttin akifa atakua analeta nini apa tena maskini😆 Maana uyo tu kamtia unyonge, anatamani kumtetea Puttin kwamba hausiki😂
@amenyemwansile6919
@amenyemwansile6919 Год назад
Malipo ni hapa hapa duniani
@mchinatz9335
@mchinatz9335 Год назад
Dah 😢😢😢😢
@bisharsaid8640
@bisharsaid8640 Год назад
how to get in the group
@shau78
@shau78 Год назад
mashabiki wa Putler wanaendelea. mara oo habari hazijathibitishwa, mara o ni propagana za west. alafu sasa hv mtasema alieuliwa ni Prigozhin fake. mara Putin noma. endeleeni....
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 Год назад
SIO AJALI NDEGE IMETUNGULIWA
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo Год назад
Kesho atazuka
@MONEY_CHANNEL.
@MONEY_CHANNEL. Год назад
8000m au 8000km.
@djsma255
@djsma255 Год назад
Ulimi hauna mfupa...
@kamugishacerestine6805
@kamugishacerestine6805 Год назад
Jamaa unasema ukwel aisee make vagner hajafa kwel
@jayaron5991
@jayaron5991 Год назад
URUSI NI INCHI KUBWA ,UKIZINGUWA LAZIMA UFE
@victorgerryson2695
@victorgerryson2695 Год назад
N mhun, sio mara ya kwanza kufany hvyo.
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
Dah dj sma pole sana kwa msiba huu mkubwa kuondokewa na ndugu yako huyu tupe namba ya kutoa michango plz
@user-nr3uw7bq1r
@user-nr3uw7bq1r Год назад
Namba mpigie putn, wacha kumkejeli dj wetu Makini kabisa
@nextstudiostz
@nextstudiostz Год назад
😂😂😂😂 Mpe pole kabisa. Maana siku akisikia Puttin kadedi? Sjui itakuaje.
@omariathumanchigwe5776
@omariathumanchigwe5776 Год назад
Hakunachaajabu Ila Kama nikweli Basi nipigo kwa warus wote
@almasisebarua
@almasisebarua Год назад
nataka kujiunga group hili vp
@HalfanMaulid
@HalfanMaulid Год назад
😂Daa kama ni kweli basi ni kifo tu cha kawaida kwani huyu ni kipenzi cha Putin au kuna hila inatengenezwa kujua kitu fulani
@PashaPatience-kn9ek
@PashaPatience-kn9ek Год назад
Aca wewe mutu arikufa zamani aca weye njo una news za fek wengine wako sahihi
@saidmpoma278
@saidmpoma278 Год назад
Ukitaka kuamini kwamba hajakufa mngoee atarudi
@fistonmakasi3803
@fistonmakasi3803 Год назад
Dio poa isse
@mwanzaswitch1764
@mwanzaswitch1764 Год назад
Km 8000? Upo serious wewe?
@djsexydaswag6109
@djsexydaswag6109 Год назад
Uyu jama niliwahi kuambiy watu warafiki zangu kwamba ipite isipite uyu anapaswa kufa soit auwawe nawa occidenteaux ao Putin
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey Год назад
Mtu mwenye jina dj sex bila shaga unasupport mashoga wa magharibi
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
Putin hajawahi kusamehe mtu ambaye anatofautiana naye kimsimamo.
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie Год назад
Wazee wa hesabu 26,000fts is km ngapi?
@evaristjohn2439
@evaristjohn2439 Год назад
Around 8 km!
@Mina.15
@Mina.15 Год назад
Clikbait
Далее
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 435 тыс.