hiv hawa ni watanzania au ni kabira gani sisi ktk uisilam wetu hatuna vitu vya hovyo kama hivinuisilaam wetu nikumtukuza mwenyezi mungu na mtume wetu lakn sio kwa njia hii hawa ni vijana wa hovyo
Sub'haana Allaahi, enyi Waislamu ndugu zetu ankeni na zindukeni jamani, Dini yetu ta Uislamu haitambuwi nawala gaija fundisha ujinga na upumbavu wa namna hii
Dunia imebadilika bila kufanya hivo kufanana na kizazi hiki, walengwa wanaweza wasihamasike kuelewa ujumbe uliokusudiwa. Hakika yataendelea kuona mengi maana utandawazi umepenyeza hadi kwa watoto wadogo
Islam is about the observing the 5 pillars of islam 1 TAWHEED 2 FIVE SWALAH 3 FASTING HOLLY MONTH 4 PAYING ZAKAH 5 IF ABLE PERFORM HIJJA , that is all, so other acts are your wishful thinking or act
Innalillahi wainna ilayhi raajiun Allah atuongoze katika njia iliyonyooka. Iwe Maswahaba ndio wamefanya hivi?? haiwezekani kabisa hii ni laghawi na haikubaliki katka dini ya Haqqih.
Abubakr,Umar,Ali na uthman,laiti wangeliusambaza uislamu na kumnadi mtume hivi tungelikuwa Bado tupo katika ujahiliyya.Barzanji imejaa shirk.Tizama Shirk katika maulid ya Sheikh Aboud Rogo,na Sheikh Muhammad Bachu ndio utanielewa
Wapuuzi Nyi ivo ndo mnautangazia umma km uislam wetu upo ivo kwel!!??? Kumbukeni km mtaulizwa juu ya uislam mlojitengnezea kwa matakwa ya nafs zenu kinyume na alokuja nao Mtume saw
Ivi Hawa watu hawajui kuwa Holi wanalofanya halipo ktk dini yetu, au hawajui wanachokifanya!!? Au ni ubwabwa inawatia uwazimu? Mm nikitoka kwenye ukristo lkn niligundua mapema kuwa maulidi sii sahihi, Hawa mbn wanaharibu dini yetu? Mbn Mtume wetu rehma na Aman zimfikie hakiliacha Jambo Hili? Ndg zangu tumche Allah.
Nashangaa nikwanini dini yetu inachezewa kiasi hiki hvi sisi waisilamu misimamo yetu tumeipeleka wapi?watu kama hawa ilitakiwa wakamatwe kisha wapatiwe adhabu kali ili haya wengine watakao taka kukuchezea dini yetu waogipe ikiwwzekana wakamatwe wachinjwe tu hawa ndio wapotoshaji ikiwa hawa wanafanya hivi je makafiri watatuheshimu? Uisilamu sio ni dini tuliyoumbiwa nayo kwa haki sio mchezo wala mzaha na upumbavu yaan hawana hata aibu mimi nipo tayar kupambana nao kwa njia yoyote
🤣🤣🤣 yamewashinda makafiri pekee yenu. Naona mmechanganyikiwa kweli vituko gani msituni huko sema wanaangalia tu waoste chovhote hapo heri ht wangeanza kuswali au kutuombea dua na kusoma Quruan wangemwenzi mtume Mohamad. Hspo vituko vya mende ubwabw uwe tayarii🤣🤣🤣🤣🤣🤔
🤭🤔SUBXAANA'LLA ! Call this whatever you want BUT NOT ISLAM! This is even a total lack of respect not only towards Islam, oneself but also to all Muslims wherever they are. May ALLA guide you! Amiin!
Them are those ignorant people to ecxept the truth, this kind of dancing people, setan is already inside their head, and dignified wrong to right, like those maulid people, for example prophet mohammad s.a.w, come a live on his grave and see those ignorant dance shake their ass, what he is gonna say, did they think that? no, their brains is totally blinded, they see and believe want they want to see and believe period. Ujinga wa mwisho ambao wanaufanya, wanawanyima watoto wao chakula na kuwambia wake zao wanakwenda kufanya ibada pesa wanachangia upumbavu huu, yaani hakuna ibada ya kufanya zaidi ya hii, upumbavu wa juu kabisa wanaoufanya. Allah awahidi wazinduke.
Yani uyo mtume angekuoneni apo mnavofanya angekupigeni mawe apo kila mmoja asingejua mwenziwe kapenya kichochoro gani Mliona wapi mtume akatangazwa kwa kukatiwa viuno wajinga wakubwa