Subhanallah Allah awaongoze katika njia iliyonyooka hayo manayo ya fanya sio katika dini yetu Allah atuhifadhi mana hakuna mkamilifu isipo kua yy pekee
Ndio maana mashoga wanaongeza kila siku kutokana na mambo ya bi'dah na ukichunguza utakuta ni watoto wa familia za bi'dah sasa upumbavu huu mzungu akose imani ya kuoa mmoja hapo
@@fauzeia976 bi'dah itakupeleka pabaya acha bi'dah umbwa wewe mtawaletea wezenu shida tubia kabla hujafa kenge mmoja rudi Madrasa na ukasome kweli uko vitabu utokane na ushirikina
Huhitaji elimu kubwa kujua kuwa huu ni upuudhi na Shetani ndio anatianguvu juu ya haya mambo. Mfano. Mnamjua Khalid bin walid,RA. Ivi km yeye alicheza viuno hii dini ingekuwaje ,cjataja wengine Omar Alii Abuu Bakar Allah awaridhie. Nduguzanguni tumche Allah.
90% ya hao madrasa zao ziko nyuma kwenye masomo ya dini. Quran hawajui vizuri wala hifdh hawana, fiqh hawajui, sira, hadith na sunnah. Muda wa kusoma hivyo hawapati maana muda mwingi wanatumia kupiga dufu na kujifunza kucheza. Muda wa kusoma dini wanapata mchache au wanakosa kabisa. Angalizo: Usimpeleke mwanao kwenye aina hii ya madrasa kama kweli unataka mwanao aijue elimu na maadili ya kiislam. Kama umempeleka basi mtoe haraka asije pata hasara kuɓwa. Hapo unaweza kuta ustadhi kwa mwaka anafundisha mara mbili siku zote ni dufu
Kwanza wahabi Hana dhehebu haya matwari ni ya msimu sikweli yakwamba eti wanao soma maulid hawana kazi au hawasomeshi illa zefe na dufu huo ni uongo hayo masomo mlio yataja hapo hayakueko zama. Za mitume wote ikiwa. Mtapinga maulid basi hata mswahafu uondoeni qur an irudishwe kwenye duks mwisho hata hata nyinyi wengi wenu mlipitia kwa hawahawa mnao waita wajinga mkapiga magoti kwa elimu au wazazi wenu lakini Leo mnawatusi ole wenu siku. ya malipo
@@JeanMuzaliwa-bs6qh kama sio kitabu cha mungu wambie watu wote duniani watengeneze sura moja katika quran kama wataweza. Usisikilize maneno ya watu tafuta quran kwa kiswahili usome ndio utajua hichi ni kitabu cha Allah au binadamu
Nilikuwa nauliza hii ni ibada au upuuzi? Na kama ni ibada ni ya dini ipi? Kwasababu ktk uislamu hii sio ibada, wala hakuna aya wala hadithi pahala popote ktk vitabu vyote vya dini ya kiislamu kuwa kupiga ngoma na kucheza kama wanamuziki kuwa hio ni ibada, mnapoteza muda, bora mngekaa mkaamua kumswali Mtume kwa idadi yoyote au mkasoma subhanallah na alhadulillah na Allah Akbar mtapata faida kubwa sana sana sana, kuliko huo upuuzi tuliuona hapo, hii hata sijui uite ibada gani labda ibada maandazi na pilau
Man haji mbovu kabisa tena waufananisha na dini ??????? Ewe allaah taala zibadishe nyoyo zetu ktk ubovu ziweke sehemu salam kwenye man haji ya wale wabora walio tutangulia
Safari hii mmekwisha habari yenu,mnatufuatisha kucheza eenh! Halafu mnatuita Makafiri sasa uchezaji huo na wa kwetu hapo Kafiri nani?? Makafiri ni nyinyi, kucheza gani huko??Wenzenu huwa tunasifu kwa kuimba na kucheza kwa Stile ya kueleweka siyo kama mna majini!!😂🤣