Yani mzee wa zandaAAAni upewe maua yako! Hili swala. Mimi mwenyewe lilikua Linaniumizaa? Mchezaji kama Dickson job kweli asiitwe Tim yatafa ya Tanzania kweliii?
Yani aitwe mechi ya mwisho alafu apangwe kwenye nafasi ambayo hachezagi then akubali tu kisa aonekane ana nidhamu? Hivi una akili wewe? Vp akicheza vibaya unahisi atakua amegharimu career yake au taifa zima? Acha ujinga kalina heshima yake na taifa so km kulinda heshima ya taifa ni kukosa nidhamu basi aadhibiwe
@@saidmasoud9004 sahihi kabsaa issue ya team ya Okrah kuidai Yanga ingelikua ni Simba ndio wanadaiwa wangekesha hapo kuinanga Simba lkn ni team yao wamefyata mikia yao
Tuone na kibu akifungiwa maana aliitwa timu ya taifa hakutokea.Karia na Morocco roho mbaya chagueni Toka Tanga,mnangamiza vipaji.hebu tuone mtafungia wangapi!
Kweli kabisa au aende akacheze kiongozi hy .kaka kitenge na Ricardo Momo mtajeji tumpatie maneno yake Aachen ushamba na roho mbaya.Je angekuwa mwanae angemuacha asicheze?
@@YahayaKunga-le7mr Momo alikua Simba lialia ndugu yake alipo vutwa na yule mlevi mwenzie Manara ndio na yeye kabadilika wamekutana na Kitenge na hao wafukunyuku wengine uchambuzi wao umekua wakishabiki 2
@@boscomalangalila tupa kule kocha Hana nidham job ananizam# huoni kwatim yakee! Angekua Hana nidham c. Msaidizi anapewaje pale yanga? Kazi kwenu vilaza
@@nswilahebronhans9550 fikira mgando labda zipo kwako mchezaji amekosea hana nidhani lazima awajibishwe wacheni kuleta unazi kwenye mswala ya kitaifa wasafi imekuwa media ya utopolo hilo lipo wazi haswa maulidi kitenge hakuna siku ataleta mada ya utopolo hata kama wamekosea saiv swala la Okrah ingekuwa ni Simba ungewackia mapovu yanavo watoka lkn lipo kwenye team yao pendwa mikia wameiweka nyuma
Halafu redio zipo nyiiiingi mno za kusikiliza sijui binadamu hii fikra ya chuki inatokea wapi, kama kitu hakikufurahishi wewe usilazimishe wengine wakione kwa mtazamo wako huo pia, wewe zima Wasafi fm afu kasikilize redio zako nyingine zinazokufurahisha very Simple and Easy kuliko kuja hapa kuandika chuki kwa vitu ambavyo havina mlengo huo hasi! #MIYEYUSHO
Jobu pale yanga sasahivi ndo captain msaidizii? Jinsi Gani anao uwezo mkubwa sana kwenye mpira wa Tanzania?huyo anaebana nafasi yamchezaji kama job Tim ya taifa? Aondoke tuu!? Hivi haoni mpaka mama anatoa motisha yakila goli linalo fungwa kwenye mechi za awali clab bingwa milioni 5? Imajni Yani ? Halafu unazuia .mchezaji kama Dickson job asicheze Tim ya taifa? WY? Aisee mama. Atadili nawewe fanya umuite mapema job Tim ya taifa#hao ndovijana walio iva kwenye mpira wa Tanzania kwasasa? Huogopiii?
Na akitwa halafu asimpange Job asicheze aondoke yeye!Taifa linahitaji ushindi na tuna wachezaji wazuri atoke mtu sijui kutoka uswekeni huko anapinga serikali huyu.Akumbuke check ni kama nguo ya kuazima.!