Hizo zote ni hasira za mond kusema amemis penzi la madam 😂 mond utatuulia huyu mtu muoe basi yaishe na siku ukioa mwanamke tofauti na yeye sahau kuwa na watoto South
Hizo zote ni asira za diamond kukumbuka pezi la zamani, ameanza kuanikana ili watu waache kuongelea ile esseu ya diamond Naazaje, nilijua zari lazima afanye kisirani
Bibi kizee Zari linapenda umbea na ugomvi, hana kipaji chochote linapenda kujilazimisha urafiki kwa watu wenye vipaji vyao na fursa zao ili apate followers Instagram, Mzee mzima pumba kichwani
Ww ndo huna la mana mwana kumamayo mxiuuuuu, anatumika, anawatoto anaolisha hategemei mwanaume ww upo kwa hicho kibanda chaurithi wa bibi yako unatowa ujasiri wapi wa kumsema ?
Ma Boss,classic people pia huwa wana muda wa kuchamba mitandaoni?nimeuliza tu si kwa ubaya maana nilijua huo muda hawana but wana muda wa kutafuta pesa na kuendeleza kipato walicho jaaliwa 🤔🤐
Huyu Nima ana wivu wa nini wakati Zari alipendana na Cedrick? Jamani kuna marafiki wana wivu ukiwa kwenye mahusiano na mapenzi moto moto. Noma no noma kama jina lake. Fake friends