si wenyewe tunakushangaa ulikuwa anasubiri nn pale;;;ushadharauliwa sepa;;;ata uyu mwenzio uku bongo nae anatamani leo kesho abwage,,ila ndo akifikiria msaada na mikataba anatulia mwenyewe..
And you think zuu is stupid?for me i never saw anything bad diamond akiwa na zari.zari misbehave.so zuu haiwezi kasirika kwa kuwa diamond alijiheshimu adi walipokuwa wanacheza.so wewe ujinga yako peleka kwenu.
For my side naitafsiri ni dharau, mshikaji afanye maamuzi ya kiume arudishe heshima km mwanaume ili atuwakirishe kwa wanaume wenye msimamo, kwang mimi mwanamke hata awe tirionea kwangu atabaki km mshauri tu, coz pesa takataka zote alizonazo ni za kwake yeye, isiwe chanzo cha dharau na kiburi, km ni mimi nafanya maamuzi ya kuchukua mwingine mwenye kufuata maelekezo yangu then napita kushoto, salute kwa wanaume wenye maamuzi ya kiume.
Hapana kule Africa kusini ule jamaa ana nyanyaswa ashitaki nikibenteni maana aliulizwa analeta nini kwenye meza 😂😂😂😂 amwache atafute pesa yake tena amemzarau kabisa
Swala kama hili watakao pata shida ni wakristo TU maana wao Shelia zao hawaachani mpaka kifo lakini kwa waisilamu mbona hili nirahisi mwanaume ndio anaoa nandio anaacha kama hamuwezani kwa upande wapili kwao nimtihani sana itabidi wavuniliane waendelee kunyanyasana mpaka kifo itabidi uvunilietu undelete kutombewa😂😂😂nahuu ndio ujinga wa wakristo 😂😂😂😂
Na wewe umeona hapo umesema ya maana kabisa! Pumba nyingine kaeni nazo mioyoni mwenu jamani. Wakristo hapa wanaitwa wajinga eti kwa sababu hawaachani? Hii ni akili kweli? 😢😢 Kwanza " shelia " ni kitu gani? Na kama una maana ya sheria, basi wakristo wana taratibu pia chini ya sheria ya ndoa kuachana.Ila sio sifa kuachana wana ndoa
Sasa unyanyasaji gan hiv anaakili kweli yan upokwangu unaibia kuja kwangu na me ninaekuja kwangu nan anaitaji au mwenye wajibu wa kufungua kesi ila mnachekesha😂 mmekosa kontent wanangu ilibando ngoja nikaangalie clip za mwijaku na baba levo ktakuwa powa sana
Mimi upande wangu tokea shakib ende Kwa mange for 1000 dollars pengine zari alimtowa thamani... Jambo jengine ingekwakuwa zari hajaolewa wasinge ruhusia kwenda Makkah.