Тёмный

ZEZETA | Full Movie ❤️ | New Bongo Movie |Swahili Movie | Love Story 

Подписаться
Просмотров 34 тыс.
% 920

Развлечения

Опубликовано:

 

1 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@RehemaNyevu-kk1ms
@RehemaNyevu-kk1ms 8 дней назад
Wa pili kutoka Kenya naombeni likes plz alfu wakenya wenzangu tujuane na likes
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 8 дней назад
Vp kuhusu maandano huko
@user-pt6nl5vt2g
@user-pt6nl5vt2g 6 дней назад
Yako fresh ​@@wiliamkatala6688
@Elisha_ndanga
@Elisha_ndanga 8 дней назад
like moja kwanguuu..
@MAGOMASTUDIOPACHALIKOMA
@MAGOMASTUDIOPACHALIKOMA 8 дней назад
Jaman wa 6 mimi like yangu naombeni by magoma studio
@wiliamkatala6688
@wiliamkatala6688 8 дней назад
Nami leo niwaombe like zenu wapendwa.
@WilliamMullungu-oo6md
@WilliamMullungu-oo6md 7 дней назад
Kiukweli ni kwamba waigizaji wote wa Donta TV mnajua kuigiza na kutoa fundisho kwa jamii husika popote na sehemu yoyote ile hongereni makamanda one love kwenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t 7 дней назад
Maoni ya move hamtoi lakini kuomba like aaaaaaaah 😂😂😂
@TantineZuzu
@TantineZuzu 7 дней назад
Mauwa kwa kunambii umecheza vizuri sana 👌👌❤❤🇧🇮🇧🇮
@Arafa-dt9sh
@Arafa-dt9sh 8 дней назад
Hongera sana kunambi dah! Uko vizur chukua 🎉🎉🎉🎉🎉 fundisho kwa wote
@Phoebenafula
@Phoebenafula 8 дней назад
Like like like kutoka kenya🇰🇪🇰🇪Nawapenda sana donta tv❤❤❤❤
@YohanaAbdalla
@YohanaAbdalla 4 дня назад
Mambo donta tv❤
@YohanaAbdalla
@YohanaAbdalla 4 дня назад
❤❤❤❤
@user-fq1kl4uc1z
@user-fq1kl4uc1z 8 дней назад
12 murundi🇧🇮wa kwanza likes hapa
@ShilaMaisha
@ShilaMaisha 6 дней назад
Donta TV aki nawapenda sana sana love Ness aki nampenda
@user-mv2jk6qu1m
@user-mv2jk6qu1m 6 дней назад
Hum Wewe nimuingizaji muzuri sana kunabi una njuwa ingiza Kabisa
@MwessaPeter-hw6uu
@MwessaPeter-hw6uu 7 дней назад
Kunambii ushaharibu scene mapemaa sanaa muda unapewa maji ya kunywa umeshushaa mikono chini safi kabisa kama mtu mzimaa😂😂
@MwessaPeter-hw6uu
@MwessaPeter-hw6uu 7 дней назад
Umekwepa na kofi tenaa 😂😂😂
@user-tz6sk5de7k
@user-tz6sk5de7k 8 дней назад
Nalitukanalincheka that was personer 😂😂😂
@tonykonki1437
@tonykonki1437 7 дней назад
Mungu wangu kumbe! kawapima tu,yawakuta wenyewe...
@HappyDaudi-ub4hw
@HappyDaudi-ub4hw 8 дней назад
Ila Nelly 😂😂😂🙌🙌🙌 me nawapenda tu❤❤❤
@user-ti1ol3ti9j
@user-ti1ol3ti9j 7 дней назад
Wanawake hatuoni ufarume wambigu kabisa nikuomba mwisho mwema vayi wewe hunahuruma namumewako subhanallah 😮😮😮😮😮🎉🎉🎉🎉
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j 7 дней назад
Kunambi nipe maua yangu sana yan nilikuwa sikuuimaliza ila fikra zangu zimenipa imani muigizaji mzuri sana
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 8 дней назад
Safi Sana halafu Leo mmenifurahisha kuweka title fupi hii inamfanya mtazamaji kumfuatilia kuona mwisho inakuwaje kuliko kuweka kichwa Cha habari ambacho mtazamaji akikisoma tu anaelewa moja kwa moja mwisho utakuwaje
@mariaphilipo
@mariaphilipo 7 дней назад
👋👋👋
@SakinaHassani-xm7ti
@SakinaHassani-xm7ti 8 дней назад
Daaaaaah😂😂😂😂😂 hiiii ni motroooooooo🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️💯🙏
@user-xm4uu7he9c
@user-xm4uu7he9c 7 дней назад
Kunambi hapo umeweza😢😂😂
@Allyahloleka
@Allyahloleka 7 дней назад
😂😂😂😂😂zezeta kunambi unanichekesha yaajabu
@user-zp4zc2ln2n
@user-zp4zc2ln2n День назад
Move nzur mnoo❤❤❤
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j 8 дней назад
❤❤❤❤❤mnanipa furaha na funzo pia good job dear❤❤❤
@user-nn3mo1kg4q
@user-nn3mo1kg4q 8 дней назад
Kunambia alifanya vzr kwenye hii movie❤❤❤
@AbuuMzese
@AbuuMzese 7 дней назад
Nzur
@MiriamMaphie
@MiriamMaphie 3 дня назад
Duuuuu niatar San
@user-rl5zb1jc9k
@user-rl5zb1jc9k 7 дней назад
Nyii watu,mnaombanga like za kazi gan,badaya ya kujifunza kazi n kuomba tu like ovio😏
@oscarokumu1186
@oscarokumu1186 7 дней назад
Watafute kazi ya kufanya likes za nn pia nyie
@RusomokeJolie
@RusomokeJolie 5 дней назад
Tunachunga na mbambili waitisinema inamafunzo sana kwasisi wakapendapenda
@user-xc2kn6ml7u
@user-xc2kn6ml7u 7 дней назад
Hongera kunambi kwa kaz nzuri unazofanya. Ukioa mwanamke mjinga dawa yake ni hiyo tu
@user-ec2cj5om7v
@user-ec2cj5om7v 7 дней назад
Umetisha sana kunambi🎉🎉🎉🎉🎉
@SaidaAli-kr3bi
@SaidaAli-kr3bi 8 дней назад
Nice one❤❤❤❤
@joycemuenimutua4506
@joycemuenimutua4506 7 дней назад
Kunambi likes 100% hii nayo umeweza bro, nakupenda tu bure 🇰🇪
@MutheuPeter-b3g
@MutheuPeter-b3g 8 дней назад
Mnanipa mafuzo megi jinsi nitaiishi kwa familia yangu mchezo tunaoucheza tuwache
@user-qk2dp9dx2l
@user-qk2dp9dx2l 4 дня назад
Kazi nzuri
@LoiceMapenzikenga
@LoiceMapenzikenga 7 дней назад
Waaau kunambi hii movie umeicheza poa sna
@MauwaAsese
@MauwaAsese 7 дней назад
ila jamani mumeanza kufeli tambueni ka ma tuna akili pia tuwatizama ila story zenu zinalingana ngani ivyo badrisheni ma historia zenu mana mkiendelea hivyo mtakufeli na mtapotea
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 4 часа назад
Kevin upendezi kuwa na rohoo mbaya ivyo
@user-ex6tg6di7r
@user-ex6tg6di7r 3 дня назад
Vai jamani tunza mgonjwa vizuri wa kero 🙆🙆🙆🙆🇰🇪
@paulinekombe3753
@paulinekombe3753 7 дней назад
😂😂😂 kunambi umefika kwa zezeta kabisa 😂😂😂
@DoreenKaimenyi-km6ux
@DoreenKaimenyi-km6ux 8 дней назад
Nmewapa kila mtu like😂😂😂😂😂rudisheni like zangu nyie n mmalizie vedeo kabla ya kucoment
@user-ec2cj5om7v
@user-ec2cj5om7v 7 дней назад
Ila Vai unajua kuigiza🎉🎉
@Thuma-tj5rp
@Thuma-tj5rp 8 дней назад
😢😢 🤲🙏 SUBRA
@veronicamnico4773
@veronicamnico4773 5 дней назад
Duh hii mpya isitokee kwako isikie Kwa jirani😅😅
@sofiakinyia2734
@sofiakinyia2734 8 дней назад
Hi nayo zezeta kweli😂🎉🎉🎉
@YusuphSabuli
@YusuphSabuli 7 дней назад
Kuingiza hamjui kuomba like aaaaah
@umaima1178
@umaima1178 7 дней назад
😂😂😂
@user-ge3tn7zs8r
@user-ge3tn7zs8r 8 дней назад
Sisi wanawake tuna roho mbaya naona mke wa kunambi dio kafanya ndondocha kama wewe utakufa vibaya mbwa wewe
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi 7 дней назад
Kunambi naye anavituko ndo kawa zezeta reo makumbwa😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊
@DoreenKaimenyi-km6ux
@DoreenKaimenyi-km6ux 8 дней назад
Brown wewe😂😂😂😂😂😂😂😂😂utaniua ujue
@user-sr3gx4nj8i
@user-sr3gx4nj8i 7 дней назад
Kunambi una nifura Hisha kwel
@MaryMwamkamkamba
@MaryMwamkamkamba 4 дня назад
Acheni kuigiza uzezeta hawakupenda kuwa hivo😅
@user-qk2dp9dx2l
@user-qk2dp9dx2l 4 дня назад
Wewe mshamba wawapi? Kwani mwenyewe umegundua ni kuigiza na kuigiza si kiujinga ujinga tuu Hiyo ni mafunzo makubwa.
@EdwardMweru
@EdwardMweru 8 дней назад
Ww dada acha kumutesa jaman
@JoycebarakaEster
@JoycebarakaEster 7 дней назад
Nifunzo kubwa kwetu SS wadada jamani ongeleni sana
@ruthgloriaobonyo
@ruthgloriaobonyo 5 дней назад
Mimi Nina swala jamani;- hivi Vae na Maya ni mtu mmoja AU matwins? Nangoja jibu sahihi🙈
@Dontaplus
@Dontaplus 5 дней назад
Hawana hata undugu
@ruthgloriaobonyo
@ruthgloriaobonyo 4 дня назад
@@Dontaplus what? Seriously! Na vile wafanana jamani..
@JapanDullahBoy
@JapanDullahBoy 7 дней назад
Vai huna adabu, kwendaaaa
@moiseszacariasmoisesmoises
@moiseszacariasmoisesmoises 7 дней назад
nakukubali kunambi😂
@mwajumahajji-bw5iv
@mwajumahajji-bw5iv 8 дней назад
Like ya pili mm😂
@user-fr7ov1yy5w
@user-fr7ov1yy5w 7 дней назад
Hee kunambi umecheza kali sana wanawake wengine hawapendeki
@appsplay4324
@appsplay4324 8 дней назад
Movie nzuri ❤❤❤❤❤
@lavinekezabarezi
@lavinekezabarezi 7 дней назад
❤❤❤
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j 7 дней назад
But kunambi sio taira anaangalia kama anapendwa kweli utajutia siku mmoja wewe mke
@JanetRiziki-ut2is
@JanetRiziki-ut2is 7 дней назад
Nmewai leo jaman naomba like
@AmourHaroub-lv8ll
@AmourHaroub-lv8ll 8 дней назад
Kuigiza kunataka UFundi zezeta kachonga panki 😅😅
@JapanDullahBoy
@JapanDullahBoy 7 дней назад
Mushkj wang kunamb unamufanyia hvo we vai ww
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k 7 дней назад
Kunambi🎉🎉🎉🎉🎉
@RizikiZiki
@RizikiZiki 7 дней назад
😂😂😂😂😂braun umeuwa😂😂😂
@user-vj4ig9yr8b
@user-vj4ig9yr8b 8 дней назад
Hahha b4own
@jacklineteresia2629
@jacklineteresia2629 7 дней назад
Kunambi apo umeweza walai😂😂😂😂
@DoreenKaimenyi-km6ux
@DoreenKaimenyi-km6ux 8 дней назад
😂😂😂😂😂rudi umalizie vedeo ww
@RusomokeJolie
@RusomokeJolie 4 дня назад
Tunachunga nambambili wandug
@ayshaaysha3489
@ayshaaysha3489 6 дней назад
Kunambi hakika wewe kiboko
@user-dg8kc9lw9s
@user-dg8kc9lw9s 8 дней назад
Lakini bana tuleteeni siku moja kabla ya ndoa yangu mbona inachelewa hvi
@NoelaKk
@NoelaKk 8 дней назад
Wa pili kutoka Kenya buewasdm Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-hy2ts9zm5s
@user-hy2ts9zm5s 8 дней назад
We vayi kwa nini hauna huruma dada
@KashindiFerdinandDina
@KashindiFerdinandDina 7 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Bestudio-2
@Bestudio-2 7 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-pv5cc1uz1f
@user-pv5cc1uz1f 6 дней назад
Kwani kelvin alienda wapi ety
@BenadethaSamila-gv7pj
@BenadethaSamila-gv7pj 7 дней назад
jaman vip kuhusu ep ya 13 ya siku 1 kabala ya ndoa yangu au imeisha
@adiliambakisye234
@adiliambakisye234 4 дня назад
Ilitoka na imeisha
@user-uz8jx6ql9c
@user-uz8jx6ql9c 7 дней назад
Shanaiza alienda wapi
@ShamsaAbasi
@ShamsaAbasi 5 дней назад
😂😂😂
@user-qd7ey5cp5s
@user-qd7ey5cp5s 8 дней назад
Ila hamtufanyii poa😢😢bado hamjapost siku moja kabla ya ndoa ndio hao mnaleta zingine mnaboa
@hillarimtambo482
@hillarimtambo482 8 дней назад
Kumi no like for me
@LovenessMollel-g4m
@LovenessMollel-g4m 8 часов назад
Heeeee na mimba angu staki nmwamgalie kbsa kunambi🤣🤣🤣🤣
@AnithaMwijonge
@AnithaMwijonge 7 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂