@@aairraahseif5648 unamkumbusha ni mtoto mdogo hajui Cha kufanya 😏yenu makubwa mnayafanya kisa tu nyinyi SI mastar Sasa ndo kukua washauri wa maisha ya watu,, aache kuimba akule kwenu ama 😏
@@fatmahamadkhator4202 sasa mimi nawewe nani kamjudge mwenzake? maana nikiangalia comment yako naona kabisa wewe ndo umemjudge zuchu wetu na kumpa hitimisho la ushauri wa kujirekebisha Tabia as if unamjua sana. mimi nimekuuliza Tabia zako ni nzuri jibu lilikua ni moja ndio au hapana, nakushangaa mambo ya mishipa ya kiislam yamekujaje🤣🤣🤣 watu mnasiri aisee kumbe kuna mishipa mpk huku na hamsemi.
ZUCHU elewa kwamba mziki kila ukizidi kusambaaa na zambi zinazid kuongezeka,,,,je mziki wako unaangaliwa na watu wangapi????? na je nguo unazovaaa ni heshima ambapo kila mwanamme na kila mwanamke kukuangalia ukiwa ktk mavaz hayo?????
@@aitharkhamis4969 wewe una Nini malaika mtakatifu mkamilifu usiye na dhambi , mitandaoni umefata Nini alafu Kwa page ya wasafi ama apa wanatoa mawaidha
Umezungumza kamautayatimiza ramadhan pia hivyo hivyo mwezi ukiisha warengea mambo yako machafu kuvyaa uchi na kushikana china na mond pasipo ajakuoa lanathuallah
mziki ni haram,,,,,acha tafuta kazi ya halali,,,,namuomba Allah (sw) akuongoe uingie ktk njia sahihi pmj na sisi coz hakun mkamilifu dunian,,,then fikiria baadhi ya waliokufa wanaomba wapewe nafas hata sekunde tuh waje waabudu lkn haiwezekan tena nafasi unayo badilika