Ila ni aibu sana, Tanzania kila sherehe, muziki wa live lazima kubadirishana vipaza sauti. ifike wakati watu wa sound waanze kukatwa hela ktk makubaliano ya bei kuondoa tatizo hili. mnazoeaje aibu kama hii wanamuziki wakubwa kama hawa vipaza sauti kimeo?? hata mbele ya rais ni hivyo hivyo
Kila nikiangalia hii show nakuwa kwenye majonzi fundi wa muziki wa dance ilibaki ww tu wadau wa muziki walishindwa kutunza hiki kipaji na kukiendeleza saiv hatunacho Tena endelea kupumzika Kwa aman
Usijisumbue kwa kuwaza sana,ingawa kukataliwa ni kuchungu,kunamfanya mtu awe na donge moyoni,utafanyaje naye amekukataa,pa1 na hasara ulizopata juu yake,ni tukio la kawaida kwa yoyote,ndugu yangu elewa dawa ya pendo ni pendo.