Тёмный
Mlimani Park Orchestra SIKINDE NGOMA YA UKAE
Mlimani Park Orchestra SIKINDE NGOMA YA UKAE
Mlimani Park Orchestra SIKINDE NGOMA YA UKAE
Подписаться
Mlimani Park Fikiri Nisamehe
8:16
Год назад
Комментарии
@lazamwa1
@lazamwa1 28 дней назад
Ila ni aibu sana, Tanzania kila sherehe, muziki wa live lazima kubadirishana vipaza sauti. ifike wakati watu wa sound waanze kukatwa hela ktk makubaliano ya bei kuondoa tatizo hili. mnazoeaje aibu kama hii wanamuziki wakubwa kama hawa vipaza sauti kimeo?? hata mbele ya rais ni hivyo hivyo
@StesKim
@StesKim Месяц назад
"Unalia nini na we ulisema umempata bwana atayekufaa maishani mwako"...the 🎸 rhythms after tht true..real vybes
@dotosule8046
@dotosule8046 2 месяца назад
Uyo Mwenye Mjezi Wa Simba Alitakiwa Ashushwe Hapo Anaharibu Concetration Ya Watazamaji Kwenye Band
@dotosule8046
@dotosule8046 2 месяца назад
Sikinde Hamna Watu Wa Usalama?, Usalama Wawanamziki Kwenye Hiyo Stage Ni Mdogo Sana , Na Ni Hatari Watu Wanafika Kiurahisi Sana Kwa Muimbaji
@allynayomo485
@allynayomo485 2 месяца назад
Huu wimbo ulipangiliwa vema kuanzia gitaa zote 4 yaani sloo min solo,rythim na bass,waimbaji drum,tumba hadi sax ya lendi
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 2 месяца назад
Bitchuka The legendary
@Kabeya410
@Kabeya410 4 месяца назад
Aaa solo dolaaa Ramadhani Mapesa wa kukaya😅
@BarakaWaya
@BarakaWaya 4 месяца назад
Mapesa ni baraaa
@NdiyoChisunga-pe1se
@NdiyoChisunga-pe1se 4 месяца назад
Wimbo kibao uliovuma miaka ya 2003 tukiwa vijana
@BarakaWaya
@BarakaWaya 5 месяцев назад
Mapesa anatisha. Kumkopi Mulenga huu wimbo sio kitu rahisi maana huu wimbo ulipigwa kwa speed kubwa na vitu vya maana mnoo
@webstersinje7712
@webstersinje7712 5 месяцев назад
Bitchuka muziki anaufanya anavyotaka Super Stereo kashindikana....Kunta...Kinte.
@webstersinje7712
@webstersinje7712 5 месяцев назад
Buriani Hussein Jumbe Mtumishi'....Kunta...Kinte.
@BarakaWaya
@BarakaWaya 5 месяцев назад
Mapesa yuko vizuri
@leonardmanyanza5121
@leonardmanyanza5121 5 месяцев назад
Kila nikiangalia hii show nakuwa kwenye majonzi fundi wa muziki wa dance ilibaki ww tu wadau wa muziki walishindwa kutunza hiki kipaji na kukiendeleza saiv hatunacho Tena endelea kupumzika Kwa aman
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 7 месяцев назад
Rest in peace jumbe
@pazimazongera4934
@pazimazongera4934 7 месяцев назад
Stereo
@MohamedKinega-jt4vi
@MohamedKinega-jt4vi 7 месяцев назад
Kaingilila Maufi,A.K.A Mponda Junior. Ahsante Kaingilila
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 7 месяцев назад
Nyimbo ni nzuri ila hawakuipatia.Sauti ya Benovilla imepatiwa vyema
@AsinaSaid
@AsinaSaid 7 месяцев назад
Mashallah Fresh Jumbe
@zainabumaridad
@zainabumaridad 8 месяцев назад
Safi Sana mambo motooo
@kennethbahebenginilla1657
@kennethbahebenginilla1657 8 месяцев назад
Usijisumbue kwa kuwaza sana,ingawa kukataliwa ni kuchungu,kunamfanya mtu awe na donge moyoni,utafanyaje naye amekukataa,pa1 na hasara ulizopata juu yake,ni tukio la kawaida kwa yoyote,ndugu yangu elewa dawa ya pendo ni pendo.
@fulgencekomanya857
@fulgencekomanya857 8 месяцев назад
Terms and conditions?
@MaulidiAthumani-br1xg
@MaulidiAthumani-br1xg 8 месяцев назад
Kama ameludi safi sana
@issangozi3364
@issangozi3364 8 месяцев назад
Safi sana ❤❤
@allynayomo485
@allynayomo485 8 месяцев назад
Kama 2003 tu wakati inatoka huo wimbo
@SaidMkapa
@SaidMkapa 9 месяцев назад
Midomo inanuka kibudu
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 9 месяцев назад
Masikini Jumbe anaonekana afya yake iko dhaif. AFTER Six months alifariki
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 9 месяцев назад
Ahsante sana Shaban Lendi
@kalalatoniez8777
@kalalatoniez8777 9 месяцев назад
wapi mzee Tobias Chidumule??
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 9 месяцев назад
Dah safi sana
@jafarimatima6821
@jafarimatima6821 10 месяцев назад
Hii nyimbo nahitaji naipata wap msaada
@johnmapunda99
@johnmapunda99 10 месяцев назад
❤❤❤
@NdigaWilkinson-rm4pq
@NdigaWilkinson-rm4pq 10 месяцев назад
Namkumbuka Bitchuka akiiimba Fikirini nisamehe
@NdigaWilkinson-rm4pq
@NdigaWilkinson-rm4pq 10 месяцев назад
Ngoma hizi zanifanya kububujikwa na machozi nikiwawaza wanasikinde original
@NdigaWilkinson-rm4pq
@NdigaWilkinson-rm4pq 10 месяцев назад
Utatamani sama kuwaona Gurumo Kinyasi na Bitchuka wakipishana uimbaji katika wimbo pata potea
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 10 месяцев назад
Kizazi kipya kinapaswa kufuata nyayo za watangulizi kwa kujifunza muziki na siyo kuiga na ku copy muziki
@MalaikaFurniture-qh9vd
@MalaikaFurniture-qh9vd 10 месяцев назад
Mwamba
@amrirajab5853
@amrirajab5853 11 месяцев назад
Ilipendeza sana
@AlexKing-yg2cc
@AlexKing-yg2cc 11 месяцев назад
Mmemsahau marehemu Hussein Jumbe na Tino Masenge,
@wilsonmalias3122
@wilsonmalias3122 11 месяцев назад
The great ddc mlimani park
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 11 месяцев назад
Watu kama hawa ndiyo rasilimali ya taifa sema nchi inaendeshwa kizembe tu
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 11 месяцев назад
Watz wanapenda vya bure sana yaani kuwatuza hao wanamuziki wameshindwa kabisa? Aibu
@robertotto9427
@robertotto9427 11 месяцев назад
❤❤
@AdamMatmbwa-pf7gw
@AdamMatmbwa-pf7gw 11 месяцев назад
Najiskiya raha sana nakumbuka mbali 1999 ukumbi wa musoma bar tandika❤❤😂😂
@mamadida6100
@mamadida6100 11 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@shufaamtangi5802
@shufaamtangi5802 11 месяцев назад
Raha Sana mwamba uyo
@SadicKrisala
@SadicKrisala 11 месяцев назад
Mziki mkubwa ulioenda shule nginde Ngoma ya ukaye
@guidoliusmichaelhulilo3886
@guidoliusmichaelhulilo3886 11 месяцев назад
Wote wapumzike kwa amani, Amen 🙏🙏🙏
@JaneWanjari
@JaneWanjari 11 месяцев назад
Salamu nyigi kwa bichuka
@kisautichaboli1924
@kisautichaboli1924 Год назад
Pole Sana Kaka bichuka wimbo huo utia majonzi asilimia 90 walioimba hatunao hakika dunia tunapita