Kila nikiangalia hii show nakuwa kwenye majonzi fundi wa muziki wa dance ilibaki ww tu wadau wa muziki walishindwa kutunza hiki kipaji na kukiendeleza saiv hatunacho Tena endelea kupumzika Kwa aman
JUMBE NI HATARI SANAAAA! Anaonekana kama anaumwa au pengine amechoka lakini SAUTI ni ya MOTOOO tena ni ile ileeee: Wimbo huu naufahamu lakini alivyotokelezea leo na kuutendea haki basi ni HATARI sana nimeburudika!!!