Hivi kwanini Hawa wachambuzi wasiwe wanachukuliwa sheria wapo kwajili yakutupa taarifa sahihi inakuwaje wanasema watu wameshinda bila ya mahakama kusikiliza pande zote,wapewe onyo waheshimu uongozi wa watu
Makoro msimu haujaanza mshaanza kuogopa kikos Cha yanga mnataka kuroga polen sana ngoja tuone uchawi wenu sisi tuna mungu na ss ni Musa tuna fimbo ambayo inawaogopesha wachawi wote
Kolo mmefika mbali. Kama ni uchawi kolo mnajulikana duniani na faini mlipokea. Mpira si uchawi ni mawazo yenu mabovu. Mpira ni mazoezi, mifumo wachezaji wazuri na kocha mzuri, cyo uchawi, mtakamatika mchana kweupe kama bondeni. Sisi wananchi tutaomba mungu na kufanya mazoezi sana kwani kocha tunaye mzuri mno.
@@zuhurajabiri3900 hee sisi hatuamini katika uchawi Sasa nendeni mkaloge muone Kama Kuna lolote litawapata wachezaji wetu Kuna mda tunawaigizia tu kweli nyie makolo alowapa jina la mbumbu hakukosea mnasajili wachezaji wa ligi daraja la pili afu mnaaza kusema watu wachawi makocha wasaidizi ndo makocha wakuu afu mnaaza kulaumu watu shauli zenu watu wakipiga kampeni watu walipe Ada za uana chama ilitim iwe nahela ya kusajili wachezaji wakubwa mnasema wanapiga kampeni za ccm haya na mwaka huu maji mta ita mama🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
YANGA INATENGENEZA MPIRA WA KISASA DUNIANI. NINYI MMEZOEA MIPIRA YA KIENYEJI ETI NA UCHAWI UMO! LAKINI SISI YANGA UCHAWI WETU NI PSYCHOLOGICAL BRAIN ATTACK.
Mungu atujarie uzima baba na kuombeana..na tukifanikiwa kuwa hai tumwombe mungu akufungulie Kwa uwezo wake..uwepo ukishilikiana na mdogo wako hari kamwe bila iyana Kila binadam anamazaifu na kusameheeana na mungu akawawrzeshe kuchapa kazi Kwa pamoja..muwanyamazishe midomo visokoro kwinyo wanao subili itakuwaje badara ya kuangalia tim Yao wanateseka na yanga ya rais..sijui wanaumia wakiwa wapi..kama nakuomba manara na mdogo wako Hali kamwe...watu watakufa Kwa midomo yenu na tambo zenu..wasije wakuwazika..yanga tamu jamani