Samahani doctor mm ni mama wa watoto wawili lakini nilisha fanyiwa opareshen 4 watoto wawili ni bahati mbaya nimekuja huku naomba ushauri kwamba nilisha funga kizazi lakini pia natamani kupata mtoto ama watoto wengine je naweza funguliwa kizazi nilicho fungwa please naomba ushauri wako doctor
shukrani sna, unakaribishwa kuonana na daktari kila siku ya jumatatu hadi ijumaa saa moja na nusu hadi sa tisa na nusu kwa ajili ya uchunguzi wa kinywa chako na ushauri zaidi karibu sana