Asadiqmedia ni chaneli ya kiislamu yenye lengo la kusambaza Uislamu Asili wa nyumba tukufu ya Mtume (saww) chini ya Uongozi wa Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Kiongozi na Mlezi mkuu wa utumishi na huduma zitolewazo na Hawza Imam Swadiq (as)
Mmekuja na gia ya msiba wa mtume ili mfiche uchafu wenu wa misiba ya kishirikina ya husein na hassana? Na leo naona umetofautisha baina ya ushia na uislam muogope mungu sheikh haya maisha ya kupita huo ufadhili wa hao jamaa hautokusaidia kesho
Je, ni kipi cha muhimu zaidi kwa ar-Raafidhah Shia, Karbala au Al Kaaba iliyo Makkah ? Maana twasikia muna al kaaba yenu ndani ya misikiti wa al hussein huko Mwambie jalala athibitisha na hilo maana video tumeshaziona zimejaa mitandaoni mbona hapo hasimami ulimwengu walione alkaaba lenu?
Hakuna utukufu wa mji wa Iraq mahala popote nikama uko kigoma au popote duniani tofauti na Maka na madina na msikiti wa aqsa acheni kupotosha watu mtakujwa ulizwa siku ya kiama na hayo mafundisho yenu ya uwongo
@@abiabi9353 ndugu yangu mie nafahamu hawa jamaa ni waislam kama wanavodai na wala mie siwezi wanyima kibali cha uislam yupo mwenye dini na anawaona wenyewe lakini mafundisho yao hayana dalili kabisa ktk uislam ni upotofu mtupu usisikume tu kusema mawahabi ndugu yangu hii dini ilivamiwa na majambazi wengi mie nikupe kitu kimoja tu ufikirie kwanini mafundisho yao yanashughulika saana na vitu ambavyo muislam hatoulizwa kesho siku ya kiama? Hebu jiulize wala usifanye tu kulaumu
UKISOMA KOMENTI UTAGUNDUA MAWAHABI WENGI HAWATUMII AKILI YAANI UNAZUNGUMZWA MADA YA USAHAFU ILA WANAJIBU MAMBO MENGINE TOFAUTI NA MADA MFUNO MWINGINE ANASEMA MNATUKANA MASWAHABA
Ila c kwa ubaya hayo mnayofundisha Yana faida n mnafaa kuzingatia kifo cha mtume salallahu alayhi wasalaam ambaye ndo kiigizo chema kwetu n kifo cha hussein kinafundisho gani kwa waislamu 👏👏👏👏
mashia hawaachi kumkumbuka mtume s.w.a. katika mazazi yake pamoja na kifo chake, huenda ulikua haujui au haukufuatilia , pia mashia hawaishii kwa hussein pekee bali kwa kizazi cha nyumba ya mtume kwa pamoja, wameonyesha mshikamano wao juu ya kila hali walio pitia nyumba ya mtume pamoja na mtume s.w.a. juu ya furaha pamoja na huzuni, na kuufuata mwenendo wa mtume s.w.a. pamoja na kizazi chake kama alivyo tuamrisha mungu na mtume akatusisitizia juu ya kushikamana na QURAAN pamoja na KIZAZI CHAKE .sasa ukiongea hivyo unatoka kwenye misingi ya imani ,kabda haujaongea kaa umsome HUSSEN kisha usome na tukio zima la QARBALAA .kisha utafaham kwanin HUSSEIN??
@@hassanWanjiku wewe kwasababu ni wahabi ni vigumu kujua faida yakuzungumzia kifo cha Imam Husein. Labda nikupe faida kidogo. 1.Tukimzungumza Husein tunamzungumza kiongozi wa vijana wa peponi na kwanini yeye awe kiongozi peponi. 2.pia tumzungumza swahaba ambaye Quran imemsafisha na kwanini Quran imemsafisha. 3. Tunamzungumza mmoja wa ma imamu wa kiislam ambao mtume aliwabashiria. 4.Tunapata fursa yakumzunguza dhalim yazid ibn muawiya na uovu wa banu umaiya dhidi ya uislam. 5.Tunamzungumza mjukuu wa mtume aliye dhulumiwa na huku watu wanaojidai waislam wakiangalia bila kumsaidia. 7.na mengine mengi zaidi ya hayo
Mashallah sheikh umetufafanulia vizuri sana. Hii ndiyo faida kuwafanya Ahlulbayt kuwa chimbuko lako la elimu na maarifa. Na pia inaonyesha hasana yakuwafanya watu wengine majahili kuwa ndiyo chimbuko lako la elimu na maarifa.
Hyo miswahili imetoa mimacho hapo na njaa zao zimewingiza kwenye ukafiri wa ushia sasa hapo kalbala ndio makkah yenu mashia ama acheni kuendekeza tumbo matumbo yenu hayatatosheka mpaka yatatoshelezwa na mchanga wa kwenye makaburi yenu
Hahaha Mashia ni zaidi ya iblis kwa uongo. Swali dogo tu kwa wanahistoria wenzangu. Ety Imaam Ally alikuwa na mtoto mmoja wa kike? Ummu Kuluthum bnt Ally mnaogopa kumtaja sababu imaam Ally alimuozesha Nduguye Omar ibn Hattab ambaye ni adui wenu tangu ameangamiza ngome yenu ya waabudu moto FURSI
كتاب المناقب عن رسول الله صلى الله عليه وسلم باب فَضْلِ الْحَسَنِ وَالْحُسَيْنِ ابْنَىْ عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ رضى الله عنهم حَدَّثَنَا نَصْرُ بْنُ عَلِيٍّ الْجَهْضَمِيُّ، قَالَ حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ جَعْفَرِ بْنِ مُحَمَّدِ بْنِ عَلِيٍّ، قَالَ أَخْبَرَنِي أَخِي، مُوسَى بْنُ جَعْفَرِ بْنِ مُحَمَّدٍ عَنْ أَبِيهِ، جَعْفَرِ بْنِ مُحَمَّدٍ عَنْ أَبِيهِ، مُحَمَّدِ بْنِ عَلِيٍّ عَنْ أَبِيهِ، عَلِيِّ بْنِ الْحُسَيْنِ عَنْ أَبِيهِ، عَنْ جَدِّهِ، عَلِيِّ بْنِ أَبِي طَالِبٍ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم أَخَذَ بِيَدِ حَسَنٍ وَحُسَيْنٍ فَقَالَ " مَنْ أَحَبَّنِي وَأَحَبَّ هَذَيْنِ وَأَبَاهُمَا وَأُمَّهُمَا كَانَ مَعِي فِي دَرَجَتِي يَوْمَ الْقِيَامَةِ " . قَالَ أَبُو عِيسَى هَذَا حَدِيثٌ حَسَنٌ غَرِيبٌ لاَ نَعْرِفُهُ مِنْ حَدِيثِ جَعْفَرِ بْنِ مُحَمَّدٍ إِلاَّ مِنْ هَذَا الْوَجْهِ . Narrated 'Ali bin Husain: from his father, from his grandfather, 'Ali bin Abi Talib: "The Prophet (ﷺ) took Hasan and Husain by the hand and said: 'Whoever loves me and loves these two, and their father and mother, he shall be with me in my level on the Day of Judgement." Kutoka kwa Ali ibn al-Husayn, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu yake, Ali ibn Abi Talib, kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu, rehema na baraka ziwe juu yake, alichukua mikono ya Hasan na Husayn na akasema, "Yeyote anayenipenda na kuwapenda hawa wawili na baba yao na mama yao atakuwa pamoja nami katika cheo changu Siku ya Kiyama." Reference: Jami` at-Tirmidhi 3733 In-book reference: Book 49, Hadith 130 English translation: Vol. 1, Book 46, Hadith 3733 كتاب المقدمة عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ " مَنْ أَحَبَّ الْحَسَنَ وَالْحُسَيْنَ فَقَدْ أَحَبَّنِي وَمَنْ أَبْغَضَهُمَا فَقَدْ أَبْغَضَنِي " . It was narrated that Abu Hurairah said: "The Messenger of Allah said: 'Whoever loves Hasan and Husain, loves me; and whoever hates them, hates me.'" "Kutoka kwa Abu Hurairah, amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) amesema: "Yeyote anayewapenda Hassan na Hussein, basi amenipenda mimi, na yeyote anayewachukia, basi amenichukia mimi." Reference: Sunan Ibn Majah 143 In-book reference: Introduction, Hadith 143 English translation: Vol. 1, Book 1, Hadith 143
Kwanini Sayyidna Ali Hakufuta Jina la Mtume Muhammad Raoul Allaah kwenye sulhu hudeibiyah na kupelekea Mtume mwenyewe kufuta hilo jina ama kwa Sayyidna Ali ni halali lakini kwa Sayyidna Omar ni unafik ?