Mimi ni msuni ila mashia ni waislam kama sisi. Tena mashia huenda ni bora zaidi katika kuutetea uislam zama hizi. Dunia inajua na watu wanajua hilo. Utofauti wetu mdogo usitutenganishe.
Acha kuongea usichokijua shia si waislam hayo maneno alitamka mwenyewe huyo jalala na video zake zipo alisema hasa kua shiabsio uislam ni dini kama zilivyo dini nyengine tu na ukumbuke hiyo ni dini yao wa irani wan itakadi zao tofauti na uislamu usiingie mkenge
MASHIA ndio viumbe waongo kumshinda IBLIS anayosema mbele ya watu maawamu ni hawana msahaafu,wala hawatukani MASWAHABA!! Fungua vitabu vilivyoandikwa na masheikh wao utakutana na MITUSI ya kutisha!!
UKISOMA KOMENTI UTAGUNDUA MAWAHABI WENGI HAWATUMII AKILI YAANI UNAZUNGUMZWA MADA YA USAHAFU ILA WANAJIBU MAMBO MENGINE TOFAUTI NA MADA MFUNO MWINGINE ANASEMA MNATUKANA MASWAHABA
Ipo hivi, Jalala huna kauli ktk madhebu ya kishia, ikiwa mkubwa ktk kundi lenu la kishia kasema wewe nane ukatae... Ni sawa na msunni mwenye madhebu ya kifiqih mfn shaafih... Aseme kitu kuhus madhebu yake ambacho kinaenda tofaut na madhehebu.... Kwahiv wewe maneno yako hayana mashiko n hata ukiyakataa kama unavyokataa.
Shia ni wanyoosha mambo mawahabi ndio wanao bomoa uisilamu kwa kujitenga vikundi na Allah kasema msifarakiane mshikamane katika kamba yake pasipo hivyo mtawaingiza maadui mawahabi wameleta mfarakano wanasababisha waisilam wanapigwa
Atawasomaje wakati mnakatazwa hata kuwakurubia mashia au hata kukaribia vitabu vyao? Au inatosha kuwasikiliza wanaosema mashia ni makafiri ndiko kuwasoma huko?
Kama mashia mmeshindwa kuiamini quran na suna vp mtauamini upotofu na ukafiri uliomo kwenye vitabu vyenu??! Kwa sababu upotofu na ukafiri uliomo kwenye vitabu vya kishia sio rahisi kuuamini kwa kuambiwa hadi ujisomee mwenyewe. Acheni kudanganywa na hao wanazuoni wenu wa kishia, tafuteni vitabu vya kishia msome mjionee wenyewe uvundo uliomo humo, acheni kudai mawahabi wanawafitini mashia dhidi ya waislaamu, Mimi sio muwahabi lakini nawapenda Sana hao mnaowaita mawahabi,kwasababu wao wanafanya uislaamu kwa mujibu wa Quran na suna.
@@abiabi9353 hivi ndugu nyie mnajaribu kuwasifia watu WENYE kuwa tukana maswahaba na wanamtukana mama Aisha abuu bakri Umar na wengine vipi wawe wanyoosha mambo NDO mana nasema wasomeni mashia na msome qur aan
@@abiabi9353 na wanasema mashia katika vitabu vyao kua, katika Quran Kuna suura inaitwa suuratul-wilaaya,ambayo inaanza hivi; (enyi mlio amini Zi aminini nuru mbili,. Mashia wanadai kwamba othman bin afaan r.a. aliifuta Aya hiyo. Angalia kitabu kinaitwa (faslu-khitwaab fii tahrif kitaab rabbul-arbaab) Cha An-nuur Attwabrasy, ukurasa 18. Huo ukafiri umo kwenye vitabu vya kishia, kwahiyo msiwalaumu na kuwatukana wanao waita mashia ni makafiri, isipokua walaumuni na muwalaani wanazuoni wa kishia wanao andika hizo habari potofu na kufuru.
@@abiabi9353taqiya ni kusema au kufanya kinyume na unavyo itakidi kwa lengo la kujiondolea madhara au kulinda karama yako. Sehemu kubwa ya dini ya kishia ni taqiya, Wala hana dini asie kua na taqiyya, kwa mfano ukimuuliza jalala mbele ya uma wa waislaamu kuhusu tuhuma ya mashia kuwatumu wake wa mtume s.a.w. mama Aisha r.a. na mama hafisa r.a. kua walikua ni wazinifu, jalala atakaa katakata nakudai mashia hawasemi hivyo, lakini akiwa kwenye majilisi za kishia na hao mabosi wake wakihindi ndo atawalaani na kuwakufurisha maswahaba r.a. na wake wa mtume s.a.w.. hiyo ndo taqiya. Mwanazuoni wa kishia akikwambia maji ya bahari Yana chumvi usimuamini kabla huja yaonja, kwasababu ni mabingwa no1 wa uongo duniani. Msidanganywe na ndege anaesoma Quran vizuri Kisha akimaliza anaenda kula kinyesi.. enyi ndugu zangu waislaamu ambao hamjaingia kwenye ushia nawanasihini msihadaike na kuingia kwenye ushia kwa kuvutiwa na misaada wanayoitoa, kwasababu hiyo misaada wanayo itoa ni mipango na mikakati maalumu ya kuwatoa kwenye uislaamu, tusi iuze dini ya Allah kwa ajiri ya dunia, tuinusuru dini ya Allah Ili Allah atunusuru kama alivyo ahidi, Bora tufe na dhiki lakini msimamo wetu uwe ni Quran na suna, kuliko tuwe matirionia lakini mashia.. ya Allah tuweke mbali na mashia na utufiishe tukiwa waislaamu wenye ikhlaasi.