For your Sports, Business, Politics, and Entertainment, with Breaking News in-depth analysis and Exclusive Interviews advertise: manaraonlinetv@gmail.com
Huyo alli kamwe mwenyewe ni simba tangu anapata akili. Kwanza ilikuwa kabla ya kuajiriwa yanga angetangazaga kuwa haishabikii tena simba. NB: ushabiki ni upendo wa nafsi daima haufi
MZEE KAMWE KALIBU KWA WANANCHI UWE MJANJA...UJUE KAMA SIMBA WANGEKUWA WAJANJA MGETAMBUA KWAMBA MO TRY AGAIN NA MZEE MANGUNGU WAO LAO MOJA...NA HAO WAZEE KAWAWEKA MO MWENYEWE...HATA HUYO MZEE MANGUNGU SIO ETI ANAGOMA KUJIUDHULU HAPANA HUYO MO HATAKI
Mwambiye simba bingwa mpya mwaka 2025 na utopolo wasiandamane kwenda ikulu maanayake hawachelewi hawa kalia wa tff simba viongozi waselekali simba sasa Mwambiye wakifanya hivyo awepeleke kwenye ligi ya sudani kwenye vita
Hayo mazoezi ni nani ambaye hayafanyi Ilo SI tufe tu la kawaida watu wapigwa ngumi za tumbo ngumi mpaka mia kama mazoezina wakiingia ulingoni wanakalishwa sembuse huo ujinga nyiee veep bhana? au ndiyo mashabiki makolo? mnaaminishwa ujinga nanyi mnajaa Mimi mwenyewe nilikuwa shabiki Wa huyo mcheza Bai Koko muimba taarabu ila nimemkataa Kwa sababu ya ujinga ujinga wake anaogopa Pambano alafu maneno meerngi sisi atutaki maneno tunataka kazi tu
Kumbukeni hii tv ni ya manala ila akumbuke kwamba tunazidi kujitoa na kuifatilia chanel hii unapost vitu vya namna hii ili kuididimiza simba yetu simba nguvu moja