SIKIA MWANZO MWISHO MAPOVU YA SHABIKI WA SIMBA GB64 BAADA YA CHAMA KUSAINI YANGA / SISI HATUWAZI AENDE KAMA WENGINE TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA #manaratv #yanga #chama #simbasc #football #footballclub
Safi sana GB leo nimekuelewa sana. Safi sana viongozi wangu wa simba kututolea hilo janga chochezi la chuki ndani ya wachezaji wetu. Chama nenda sana ni kama umetuchelewesha sana.
Walisema chama mzee leo ,wana mpapatikia ,simba nguvu moja.,,,,, yanga haina mvuto lazima itumie mazao yanayo zalishwa na simba ili itafute kiki ya kuzungumzika mjini.
Anaikumbuka vzr Galacticos kweli huyu? Ike Casias, Michele Salgado, Roberto Carlos, Fernando Hierro, Sergio Ramos, Claude Makelele, David Berckham, Zindin Zidan, Gutti, Ronaldo De Lima, Raul Gonzalez, Fernando Morientes, Luis Figo, Michael Owen na Robinho??? Simba wakanushe sasa, kuhusu Triple C.
ETI ALIKUWA ANAJUA CHAMA ANAONDOKA LAKINI ALIKUWA ANAWATULIZA WANA MADUNDUKA WENZIWE!! INA MAANA HII JAMII YOTE YA MADUNDUKA TABIA ZAO WOTE ZINAFANANA,KUDANGANYANA NDIO MTINDO WAO WA KISASA.NDIO YALE YALEEE YA KULETEWA MANZOKI KUJA KUWAPIGIA DEBE LA UCHAGUZI KINA MANGUNGU NA WENZIWE.HAWA MADUNDUKA KWELI,WA SII UTANI!!! NA MAANA YA MADUNDUKA NI WATU AU JAMII YENYE MTINDINDIO WA UBONGO!! (MATAHIRA) WALIKWENDA EGIPTY MISRI,WAMEPIGA PICHA NAMAYELE WAKAWAONGOPEANA TAYARI MAYELE KASAINI TIMU YAO YA MADUNDUKA,NA MADUNDUKA NAO WAMEAMINI HIVYO,YANI HAWA MADUNDUKA KWA KUPEANA MATUMAINI HEWA NDIO JADI YAO.WALA HATUWASHANGAI NA MANENO YAO MEENGI NA MBWEMBWE NYIINGI KUMBE HAMNA KITU.AMA KWELI MADUNDUKA HAWANA MKOLE.WAO KAMA BENDERA HUFUATA UPEPO!! NA BADO MTASEMA SSANNA!! TABU IKO PALE PALE!!!
Sasa hapo GB kumbuka wewe ni brand kubwa sana Tanzania nakushauri uwe na msimamo wa maneno yako yaani 1+1=2 kwa hu msemo wako wa kwenda azam Hapo uliteleza nakuomba uwe na msimamo wa moja kwa moja usiwe kigeugeu na pia ujue kuwa kila unakiongea kwenye midia nyuma yako kuna wengi sana tunaokufuatilia nyooka kama ndiyo iwe ndiyo kama hapana iwe hapana. hapo utakuwa sawasawa.
Huyo ni Mbumbumbu. Ooh Chama hawezi kusajiliwa na YANGA. Anajiona ana Akili anafahamu mengi kumbe Juha Usilinganishe na Timu za Ulaya Makolo Chakavu Madunduka ni Vigeugeu
TUKIANZA KUPIGA KELELE ZA CHAMA TUTAKUWA SIO CLUB KUBWA...CHAMA Kwa Simba ameshinda kila kitu .. HANA Spirit KUBWA Kwa team kama Simba .....LAZIMA IJE ASUBUHI IJE JIONI NA USIKU UINGIE..tuwe na. Amani.....UMOJA ndio siraha ya MAFANIKIO .