Tunza maneno yako wewe, Hana muda huyo Mzee, kagundua pa kupiga hela ya kumalizia na Kwa vile mamatu ya kuliwa yapo. Hapo chama nakusuport. Piga hela muda wako mafupi. Wacha wakusomeahee watoto. Wajinga ndo waliwao
Selikali yetu inawapenda watanzania ndio mana imetujengea vituo vya afya pamoja na shule nahii yote kuwawezesha wagonjwa pamoja na wapombavu nisiende mbali mfano ali komwe uyu ni mpombavu asie jijua na hajui kuwa nimpombavu voz anasema yanga ndio kilub kubwa ivi naface ya 12 nanaface 5 ipi iliyopga atua? Uyu bwanamdogo sio bule nazani ana upungufu wa akili
Dooohhh! Watu mmekuwa mambumbumbu sana ndio maana Mo anawageuza kama chapati. Hivi unajua nguvu walizotumia viongozi wa Simba kutaka kumbakisha Chama? Usichokijua ni usiku wa kiza. Muda ni hakimu nzuri sana. Tupo hapa.