Тёмный

SAKATA LA MKATABA WA CHAMA KUNA UWONGO MWINGI/CHAMA HAWEZI KUCHEZA NA KIUNGO PUNDA 

KITENGE TV
Подписаться 130 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Спорт

Опубликовано:

 

3 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@user-pw8pi1ev9u
@user-pw8pi1ev9u 3 дня назад
Uko sahihi kabisa maana wachambuzi kama Wilson oruma,salehe jembe, Geoff lea, jemedari, Alex ngereja ,marco mzumbe ni wachambuzi ovyo ovyo ovyo ovyo kabisa maana wanajifanyaga much knows mwisho wa siku wanaishia kuwadanganya watu na kuishia kwenye aibu kubwa
@JamesHerman1-jx2dc
@JamesHerman1-jx2dc 3 дня назад
Sina laziada mkuu huu ni ukweli usio naupinzani
@scopy0428
@scopy0428 2 дня назад
🤝
@ecostats51
@ecostats51 2 дня назад
Msemaji wetu uko bright sanaa. Yaani unamaarifa na idara yako mpaka unaboa😎😎✊✊
@maxmia100
@maxmia100 3 дня назад
Kweli kaka hao wachambuzi uliowataja hao mimi huwa siwasikilizagi kqbisa
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 3 дня назад
Yaan Diego na msemaji wwtu uwa wanapenda sn na anajisikia raha akimuoji Inshaallah M/Mungu akujaalieni Kheir Inshaallah
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 дня назад
Mana wale sio wachambuzi ni chambaji 😊
@EliakimuBura
@EliakimuBura 3 дня назад
Shemej kama semajiii
@blandinafransis3366
@blandinafransis3366 3 дня назад
Kweli yanga ni timu kubwa lakini wote tunakula robo hivi kweli
@mbarakasijaona7638
@mbarakasijaona7638 3 дня назад
Kuna watu yanawatoka mapovu humu ngoja msimu uanze 😂😂😂😂😂
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 дня назад
Makope acha matusi mjinga ww
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 дня назад
Unachekaaa unadhani weye ndo unayemlipa jamaa!
@petermboye5284
@petermboye5284 3 дня назад
Simba nguvu moja
@dullamuso6955
@dullamuso6955 2 дня назад
🎉🎉🎉🎉🎉
@starboyocal5393
@starboyocal5393 3 дня назад
Dhaa nimechk kisengee ety PUNDAA😅
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 3 дня назад
Chama miaka 33 Uto kunguruu wa mizogo
@NassorSalekhe
@NassorSalekhe 3 дня назад
Sasa kubwa kati y kiatu na Simba mna ndio yatano afrika mwehu we
@HassanZiroy
@HassanZiroy 3 дня назад
Selikali yetu inawapenda watanzania ndio mana imetujengea vituo vya afya pamoja na shule nahii yote kuwawezesha wagonjwa pamoja na wapombavu nisiende mbali mfano ali komwe uyu ni mpombavu asie jijua na hajui kuwa nimpombavu voz anasema yanga ndio kilub kubwa ivi naface ya 12 nanaface 5 ipi iliyopga atua? Uyu bwanamdogo sio bule nazani ana upungufu wa akili
@EdwardJeremiah-bd8rl
@EdwardJeremiah-bd8rl 3 дня назад
Hata kuandika hujui alafu uko bize kukosoa walosoma na uko bize na bando la buku😂😂
@petermboye5284
@petermboye5284 3 дня назад
Subirini ujao, no makosa ya kibinadamu
@joshuaerasto8677
@joshuaerasto8677 3 дня назад
Wewe semea timu yako utakuja kuumbuka asubui, au utakuja kuzima uwanjan
@BeniYaredy
@BeniYaredy 3 дня назад
Ahmedi fala ww acha kutukana mjinga ww
@nicodemusmemba1402
@nicodemusmemba1402 3 дня назад
Hai kina jembe ni wachambuzi wenye,chuki sana na Young Africans
@satarantonio3077
@satarantonio3077 3 дня назад
yanga sikuizi ni nssf sehemu ya mafaoo
@mwanangusana
@mwanangusana 3 дня назад
Hujakosea ... Makolo tuliwapa mafao pia ... Na msimu mafao yataendelea Madunduka wali faidika na mafao ya yanga 🤣🤣🤣
@mjuaelias3681
@mjuaelias3681 3 дня назад
Ameisha huyoo,miaka 33,Simba haiwataki wachezaji wazee kwa sasa.
@kolosii4351
@kolosii4351 3 дня назад
Msijimalize ndugu zangu mtakuja umbuka.
@musamagulu2023
@musamagulu2023 3 дня назад
Kamtoeni Ngoma mwenye miaka 38 kwanza km hamuwataki wazee
@godfreymabula6858
@godfreymabula6858 3 дня назад
Kwanza ncheke😂😂😂😂😂 sio nyie mnamlilia chama kila siku kwenda Yanga kawa Mzee?? Wabongo bhana 😂😂😂😂
@musamagulu2023
@musamagulu2023 3 дня назад
@@godfreymabula6858 Tuwaambie tu kuwa tumekubali kumchukua na uzee wake,halafu km mzee huyo babu ngoma na chama nani mzee?
@khamisally9559
@khamisally9559 3 дня назад
Dooohhh! Watu mmekuwa mambumbumbu sana ndio maana Mo anawageuza kama chapati. Hivi unajua nguvu walizotumia viongozi wa Simba kutaka kumbakisha Chama? Usichokijua ni usiku wa kiza. Muda ni hakimu nzuri sana. Tupo hapa.
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 дня назад
Hawo ni mashabiki mandazi
@raymondsekabigwa5907
@raymondsekabigwa5907 2 дня назад
Tunza maneno yako wewe, Hana muda huyo Mzee, kagundua pa kupiga hela ya kumalizia na Kwa vile mamatu ya kuliwa yapo. Hapo chama nakusuport. Piga hela muda wako mafupi. Wacha wakusomeahee watoto. Wajinga ndo waliwao
@ahmedimakope
@ahmedimakope 3 дня назад
Anavyojisifia huyu kuma lazima uamini kwl alikuwa form four failure 😂
@errydeo8865
@errydeo8865 3 дня назад
Kwa hiyo unajiona umeongea sense? You sound like a fool!
@simpleboytz255
@simpleboytz255 2 дня назад
Wewe ndo huna Elimu maana huna hoja maana unatukana, kuwa na staha mtandani
@petermboye5284
@petermboye5284 3 дня назад
Huna lolote, wastaafu fc
@patrickstanley6823
@patrickstanley6823 3 дня назад
Saido anakusalimia 🤣🤣mnamaumivu sana
@athumanmsuya2688
@athumanmsuya2688 3 дня назад
Kasemaji hakana uzalendo zarau nyingi,hakuna kitu hapo eti punda hapo anamzau mzamiru ka k kweli
@NassorSalekhe
@NassorSalekhe 3 дня назад
Ww Ali komwe unazarau wezako shingo y ngamia na machoyaurojo
Далее
Еду за гитарой…
01:00
Просмотров 263 тыс.
Gặp 2 thánh troll | CHANG DORY | ometv
00:42
Просмотров 23 млн
VETA YAWANOA MADEREVA WA MAGARI MAKUBWA
4:37
Просмотров 12 тыс.
NDARO ALIVOMTONGOZA SHEMEJI YAKE KISA STEVE UTACHEKA
18:43
ERALI YUTGANDI NOXAQLIK BO'LDI 😧
0:59
Просмотров 413 тыс.
Не надо толкать, надо бить🥊
0:20
Идеальный баскетбол🤯
0:19
Просмотров 6 млн