Uyo Cate niumbwa mwitu ata Hana asante, vile Daktari amusaidiye akiwa Na Johnceaner , Uyo hata si Mtu wakusaidiwa, hata Kwa Ile jamaa alimpa mahala pakulala alitoka bila hata kusema asante 🤭🤭
Huyu demu hana fadhila mshenzi mbwa mkubwa Mimi sumpendi kwa tabia yake chafu huyu cate gubegube hafai kabisa kusaidiwa mana madam roze ona alicho mfanyia
John Cena sio poa wewe mwenyewe unajua huyu cate anapitia magumu sometimes mtete huyu cate amechanganyikiwa ajielewi kabisaa ongea na dakitari huyu ni kama mtoi wake
True,then Cate Yuko under depression ndio unamfanya anyamaze coz maybe akibonga atapandwa na Hasira ama akwe Immotional....so wanafaa wamuelewe Tu haki...huyu msichana amekapitia.....