Habari juzi niliwapa pumba vifaranga wangu wa wiki 2 na nusu lkn sasa mpk kufika ivi leo nmeona wanapata uvimbe maeneo ya macho yao pia wamejongea sana nini shida
Uo uvimbe upo vp? Fuatilia video hii uone aina mbali mbali za matatizo ya macho na dawa zakeru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-V_OsGbOnjgA.html
Nimeshukuru sana kwa mawaiza yako ningependa kujua kama kuku wangu ni wanyonge na wanavimba jicho moja ama yote mawili shida anaweza kua nini naomba usaidizi
Kuku wangu wanaenda kumaliza miezi mbili nasikuwa nimemaliza kuwapa vaccination nilikuwa nimewapea vaccination tatu nikam aisha moja wakagojeka nikawapa tyrodoxy arafu nikawapa za monyoo nauliza kama naweza wapea hiyo vaccination hiyo ya mwisho mwisho
Kuku wangu niliwapea vaccination tatu yakwanza Newcastle ya pili nguboro yatatu Newcastle sasa ya mwisho wakagojka nikawapea tyrodxy arafu nikaona wako na minyoo nikawapea dawa nweza wapea vaccination yenye imembaki ya ngumboro
SAMAHANI HAPO UMESEMA BANDA LIWE LIMEZIBWA KABISA,SASA KAMA UNATUMIA MKAA HEWA ITATOKAJE NJE? PIA WANASEMA VIFARANGA VINAHITAJI HEWA NA MWANGA SASA UKIZIBA MOJA KWA MOJA ITAKUAJE KWA VIFARANGA VYS AONA YEYOTE?
@filipinadaud885 pole Sana ndugu. Kwa ufupi , Banda hutegemea na hali ya mazingira husika. Kuna sehem Kuna joto Kali apo mabanda yatakua wazi, na zile sehem zenye barid angalau upande 1 uzibwe, Pia. Hutegemea umri WA kuku wako , kwa vifaranga ni tofaut na kuku wakubwa