@@AGALUSTV embu na mie nieleweshe vizuri Boss hii fomula unaanza siku ya kwanza vifaranga walivyoingia bandani ama ni ile wiki ya kuanza kuwabadilishia chakula
Kwa broiler 1 atakiwi kuzid kg 4 Hadi kuuzwa ili awe kg 2 .kwa ufupi broiler tuna walisha kwa tu ila wasizid izo kg lengo ni kibiashara tupate kg nyingi kwa mudafupi
Kama ni pure broiler fast maturity yaani wale wa siku 35/42, Mara nyingi uwa hatuwapimii. Ila hakikisha kila kuku chakula chake kisisizidi kg 4 yaani yangu KIFARANGA hadi kuuzwa
Broiler ndugu anatakiwa ale chakula kisizidi Kg 4 maisha yake yote ya mwez mzima, ili kuhakikisha ukuaji mzuri SI vizuri sana kuwapimia broiler chakula . Ila kama wanakua vizur hakikisha chakula chao hakizidi gram 4000 Ni sawa na Kg 4 apa ni kwa siku zote 28 ili afikie kg 2 ya uzito wake