Channel Maalumu kwa ajili ya Kupata maarifa kutoka katika nyanja mbali mbali za maisha lengo likiwa ni kutunza kumbukumbu, Kuongeza uelewa wa mambo na kuwafanya watu wafahamu ulimwengo unao wazunguka kwa mapana na Marefu yake.
Channel ina Makala za kila aina, Kuanzia Makala za ujasusi, Makala Za kihistoria, Makala zinazo zungumzia Imani, Makala zinazo zungumzia Elimu, Maisha, Viumbe Hai na ulimwengu kwa ujumla wake.
Endapo Kuna Taarifa au Makala ambayo kwa namna moja au nyingine imetumika na Wewe ni mmiliki wa Video au Sauti au Picha katika Makala Husika, Usisite kuwasiliana nasi ili kuweza Kulimaliza hilo kwa wakati na namna inayo faa.
Tafadhari, jisikie huru Ku-Comment, Ku-Like , Ku-Share na Ku-Subscribe.
Ipenenga,elyabhe,,hyo ipenenga ngoma ya zaman sna hyo saiz wana ngoma zingne maarufu Ling'oma,samba,magosi na ketombwike😂😂😂😂,ketombwike weng hawaijui hii ngoma ila ukiwauliza wanyakyusa wa KYELA wanazijua hizi ngoma zte nlizokutajia,upande mbaraga(alale) umetsha sna na ata moro ukienda maeneo ya kilombero maeneo ya mkamba,hadi mungeta huko wanyakyusa ni wengi mnooo hii inaonesha namna gan morogoro wanavinasaba vya wanyakyusa na ata wahaya nao tabia zao za kutopenda kujishusha, kutaliwa ovyo,utemi ni hvyo hvyo kwa mnyakyusa huwez muonea kijinga jinga au umtawale au umdhiaki alaf akubar kilahisi!, umetsha sna
Kwa madhumuni kusaidia uma ina paswa itangazwe kabisa. Shetani hana marafiki, ville watu wabaya hawanaga marafiki. Kilimanjaro ni eneo linalo lindwa na ITIKADI ya wa wamassai, ambao uwezo wao kugombana ume adisiwa adi na China na Italiano (Ethiopia). Likua Lina limwa na wapare lakini walitimuliwa KUTOKANa kuendesha vita vibovu zidi ya majirani. Sasa kuna KABILA wanao jiita UMOJA wao wachaga, Hawa sio WA MASSAI ni WA BANTU. Wenye miili mikubwa kama Africa magharebi Pia WAPO warabu weusi WA asili kihabeshi ni wafanya bihashara, sana. Hii nguvu ya uPande tatu ni ushirikiano, sio WA kijiji kama WA Tanzania wengi wange penda amini, Bali ushirikiano WA asili za ki Africa. Masai ana wakilisha ITIKADI ya jeshi, Bantu anae wakilisha utamaduni, na warabu wanao wakilisha bihashara. Uki kosana hizi nguzo tatu lazima ukutane na moja hivi vyama vitatu. Ni UTAWALA WA NGAZI ya juu sana apa Africa, wakiwa Wana elewana ki ukweli huwezi kuwashinda. Sio kwa NGAZI yoyote ata uchawi na majini, ku endelea kuishi Ako, ni ku kimbia ugonvi wao, au kudiriki kumwaga damu (ambao ENYEWE sio ushindi). Wakiwa Wana elewana ni nguvu ya Pembe tatu Africa Kutoka vizazi vinavo tambulika uhalisi wao !!!!!!!! Unapo kutana mwanadamu kutoka hili eneo kaji tambulisha kwako ni mkilimanjaro SIku zote elewa tayari UPO kwenye tukio la mapambano .
Wapare Wana Tatizo kubwa mno, na kikosi cha wabantu wenzao wanao ishi Rombo, watu Hawa Wana tumia DINI mbadala za UZIMUNI kutoka Africa magharebi. Tofauti ukubwa miili EZEKANA WA Rombo Wana historia ya ivi karibuni kutoka Africa magharebi. Wapare wame fukuzwa Kilimanjaro na aridhi zotte za utawala WA voodoo. Hivo UNDUGU kati wapare na wachaga kibantu, umefutika. Voodoo sio sera ya ungwana. Wapare ni WA Tanga, wenye ujirani na utani na wamassai kutoka Arusha na Kilimanjaro . Pia niongon mwao WAPO WA Habesh na WA kush, kama wambugu, matabaka kujitegemea ila Wana jilinda NDANI chama cha wapare. KUTOKANa na ukarimu na upole wao. KABILA hili lime KOSA nafasi Kilimanjaro, kwa kushindwa kuelewa na kutumikia ITIKADI ya "uwindaji" . Wali kua extremely non effective killers, uki linginisha na wamassai, WA kamba, na wachaga . Kifupi Kilimanjaro, ni eneo ishi binafanu kakamavu kuliko wotte, na sio TU eneo la mashambaa kama wasambaa wangevo penda kufikiria ipo