Nafasi ya Thamani na Thamani ya Nafasi kwa wote wenye nia na kujifunza na kuelewa yale yasiyopatikana kwenye mfumo wa elimu.
Utakapojiona kukwama kifikira, kuelemewa na mawazo, kusita katika kuamua na kujuta kwa yale yaliyokwisha pita, pata nafasi ya kusikiliza, kujifunza na kutafakari kwenye yale ambayo tumekuandalia. Zipo namna mbalimbali za kuyaelewa maisha, chagua namna yako, inayokutosha, unayoielewa na unayoimudu.
Kwa wale wenye makovu ya Thamani na mapito yenye Ushindi tunawakaribisha kuja kusimulia na kuhifadhi kumbukumbu za Hatua za maisha yao kwa namna ambayo itawafundisha wengine.
Hii ni nafasi maalum kwa mtu binafsi, vikundi au familia. Wasiliana nasi kupitia 0734950890 | hatuatherapies@outlook.com
Naendekea kukua na kujifunza✍, hakika ukianza kujiona mnyinge hata jamii inayokuzunguka itakuchulia hivyo hivyo,( ajionavyo mtu nafsini ndivyo alivyo), hatutakiwi kukataa tamaa, tunaweza yote tukijifunza na kuweka bidii.
Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra
Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo
hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤
Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.
Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.
Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .