Тёмный
Hatua
Hatua
Hatua
Подписаться
Nafasi ya Thamani na Thamani ya Nafasi kwa wote wenye nia na kujifunza na kuelewa yale yasiyopatikana kwenye mfumo wa elimu.

Utakapojiona kukwama kifikira, kuelemewa na mawazo, kusita katika kuamua na kujuta kwa yale yaliyokwisha pita, pata nafasi ya kusikiliza, kujifunza na kutafakari kwenye yale ambayo tumekuandalia. Zipo namna mbalimbali za kuyaelewa maisha, chagua namna yako, inayokutosha, unayoielewa na unayoimudu.

Kwa wale wenye makovu ya Thamani na mapito yenye Ushindi tunawakaribisha kuja kusimulia na kuhifadhi kumbukumbu za Hatua za maisha yao kwa namna ambayo itawafundisha wengine.

Hii ni nafasi maalum kwa mtu binafsi, vikundi au familia. Wasiliana nasi kupitia 0734950890 | hatuatherapies@outlook.com
Fahamu Majira na Nyakati unazopitia
7:51
21 день назад
Chagua mtu sahihi wa Kumsimulia mapito yako
3:27
7 месяцев назад
The Basics of psychology
6:30
8 месяцев назад
Комментарии
@FatmaKhamiss-y9f
@FatmaKhamiss-y9f 11 дней назад
Mm naitaji cna kufanya kaz huko nataman unaweza nisaidia nko tanzania
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 25 дней назад
❤❤❤
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s Месяц назад
Mm Nina miaka Kumi nyumba moja nashukru mungu 👏
@hatua123
@hatua123 Месяц назад
Hongera sana Moambanaji! Ikawe heri katika yote
@betterwamara6416
@betterwamara6416 Месяц назад
Nawaona hadi kina Sive na Salvina
@hatua123
@hatua123 Месяц назад
Ndiyo
@DavidAmi-yi7tz
@DavidAmi-yi7tz Месяц назад
Upo nchi gani kk
@hatua123
@hatua123 Месяц назад
Falme za Kiarabu Dubai
@CosmasBagaya-tz8pv
@CosmasBagaya-tz8pv Месяц назад
❤❤❤❤❤
@CosmasBagaya-tz8pv
@CosmasBagaya-tz8pv Месяц назад
Ubalikiwe sana mwanangu! Hakika mungu amutupi mja wake
@FARAJIFADHILI-v6x
@FARAJIFADHILI-v6x 2 месяца назад
Ni kweli ninaomba mungu anikutanishe na watu sahii
@AdmiringOleanderFlower-cj7ur
@AdmiringOleanderFlower-cj7ur 2 месяца назад
🕴️kwetu tunasema ndagha
@gemmahanthony8485
@gemmahanthony8485 2 месяца назад
Naendekea kukua na kujifunza✍, hakika ukianza kujiona mnyinge hata jamii inayokuzunguka itakuchulia hivyo hivyo,( ajionavyo mtu nafsini ndivyo alivyo), hatutakiwi kukataa tamaa, tunaweza yote tukijifunza na kuweka bidii.
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 месяца назад
Dubai au huko Omani watu wanachukuliwa mwisho umri gani kufanya kazi?
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 4 месяца назад
Baas haya ishaalah ufike mbali zaid
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 месяцев назад
Ni kuvumilia tu, na kuweka malengo yako kichwani, mimi miaka 18 omni Alhamdulilah nyumba moja na sasa niko Tz nimepumzika
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Mashaallah jiyo kweli jata mimi pia
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Nikweli kabisa hata mimi pia nimo miaka Kazaa nimo njumban 1
@JaneWalter-m7l
@JaneWalter-m7l 5 месяцев назад
Naomba namba mwandishi
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 5 месяцев назад
Mm kwa kweli kama kuna ya kuajiriwa hata hotelini kuosha vyombo niko radhi kuliko hiyo ya kulala kwa mtu miaka miaka siwezi jmn
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 5 месяцев назад
Dada na mimi natafuta kazi nitakupataje
@Gamil-r9o
@Gamil-r9o 5 месяцев назад
Daake naomba namba
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 месяцев назад
Watanzania tutafute fursa popote pale, wakenya wanatoka lkn sisi tunabung'aa bung'aa,tu!!
@kashurusho863
@kashurusho863 5 месяцев назад
Ruga sasa ndo tatizo mnawezaje
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад
Swahiba napataje kazi dubai
@adrianmutua3162
@adrianmutua3162 5 месяцев назад
Go Sarah🚀🚀🚀🚀🚀🚀
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 5 месяцев назад
Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Shuhuda kama hizi zinabeba maana sana kwa wale wenye kutafuta taarifa ili wapate kufanya maamzi. Shukurani kwa kutoa ushihuda huu
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera na iendelee kuwa heri. Uzidi kutenda yaliyo mema na mavuno utakayotoka nayo huko yalete neema kwa wapendwa wako unaowajali na kuwatakia mema
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
@@hatua123 Ahsante dada kz njema
@shamimucollectiondubai9727
@shamimucollectiondubai9727 5 месяцев назад
Yusra good
@SadahMohammed-c3e
@SadahMohammed-c3e 5 месяцев назад
Habari mm nna mdogowangu ana passport ila ajapata chansi ya kazi na anataka kutoka aka fanya kazi naomba msaada
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 5 месяцев назад
Nitafte
@umfahad2609
@umfahad2609 5 месяцев назад
Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Kila kazi ina changamoto zake. Basi yafaa kujiandaa kuzikabili
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 5 месяцев назад
Dada nisaidie natafuta kazi Dubai jamani
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz 5 месяцев назад
Allahmdulilah Nina miaka9 HP Dubai ktk nyumba 1
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 5 месяцев назад
Ivi mnawezaje kukaa sehem moja mda mrefu ivyo !?
@timesaid5504
@timesaid5504 6 месяцев назад
Dada nifanyie mpango na mm nimesha fanya kazi oman miaka 4 nahitaji nije nipambane na dubai
@halimapwagu3091
@halimapwagu3091 6 месяцев назад
Mungu atubaliki wapambanaji wote ti. Galfu wake na wakiume
@hatua123
@hatua123 6 месяцев назад
Ikawe heri na kwao wote tunaowapigania
@sospeteralex378
@sospeteralex378 4 месяца назад
Kama Una passport nijulishe
@ogdosho93
@ogdosho93 6 месяцев назад
Natoa Nafasi ya wanawake wa5.. mwenye kuwa interested anicheck.
@toor8984
@toor8984 5 месяцев назад
Toa namba ya mawasiliano mmi nataka kazi
@MgeniAkilimali
@MgeniAkilimali 5 месяцев назад
Hata Mimi niko tayari kufanya kazi
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 5 месяцев назад
Tow namba
@HabibaIdany
@HabibaIdany 6 месяцев назад
Namimi naomben locetion uko
@HabibaIdany
@HabibaIdany 6 месяцев назад
Naomba namba za uyo dada
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Nimekaha mpaka passport yangu imeisha miaka kumi hapa dubai na nimefanya mpya uku uku dubai namshukuru sana
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera. Iendelee kuwa heri kwako na wapendwa wako
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Mimi namiaka 15 sasa hapa dubai
@zainabzain3434
@zainabzain3434 6 месяцев назад
Mashaallah
@yusramkamiamaji7565
@yusramkamiamaji7565 Месяц назад
No yako dear tupate usaidizi
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 6 месяцев назад
Naomba namimi nafasi uko jamn
@LucyTesha
@LucyTesha 6 месяцев назад
Kweli kabisa
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 6 месяцев назад
Vigezo sio tatizo tatizo hata kwa ajenti laki tano juz tu mtu katoa ,kazi kupata kazi ndio mtihani kama kuna maajenti fungukeni watu waje wapambane
@noors7030
@noors7030 6 месяцев назад
Samahanini jamani Dubai sio nchi ya wajukuu wa mtume sala Allah walehi wasallm hio sio makka wala Madina ni Dubai hahusiki namtume s A alehi wasallm
@hatua123
@hatua123 6 месяцев назад
Sawa. Tumepokea rekebisho
@AminaYassin-y5r
@AminaYassin-y5r 6 месяцев назад
Na mm naomba nafasi plz
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 месяцев назад
Kazi yoyote Ni uvumilivu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад
Sawa
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 месяцев назад
Naomba kazi dubai
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Hi
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Ongera namba namba yako
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin Месяц назад
Mh
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Hi
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 7 месяцев назад
Keep the good work thank you for the video
@PaskaziaJohn-c3k
@PaskaziaJohn-c3k 8 месяцев назад
Naipateje kax
@JeskaBayege
@JeskaBayege 8 месяцев назад
Dada na mmnaitaji kazi huko naomba kampan yako dada niko tanzania
@marymwapiya1274
@marymwapiya1274 8 месяцев назад
Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Mambo
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Sasa iv kwa madam wangu namiaka 8
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 5 месяцев назад
Ni kweli pia hata mm pia Niko miaka kumi na 16 na Boss uyu uyu pia kuvumiliya ndio kikubwa nakuomba mungu akupe Afya na subira
@حمدالبلوشي-ض7د
@حمدالبلوشي-ض7د 9 месяцев назад
👍👍
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 9 месяцев назад
Shukran sana kk mmi nipo njiani kuja huko ila nikifika nitakutafutaaa
@hatua123
@hatua123 8 месяцев назад
Karibu sana
@husseinmwanjela8644
@husseinmwanjela8644 8 месяцев назад
Asante sanaa tena sana