Тёмный

Kazi za ndani Dubai | Malipo ni Mazuri | Kunyanyaswa? Tunavumiliana | Agents walikuwepo 

Hatua
Подписаться 637
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 месяцев назад
Kazi yoyote Ni uvumilivu
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад
Sawa
@marymwapiya1274
@marymwapiya1274 8 месяцев назад
Mimi nimekaa miaka 8 kwa boss mmjo saizi ndo namalizi namshukuru Mungu kwa kweli siyo rahisi kihivyo ni kuvumiliana tu na vitu nimekuwa navizuia sana ni kukaa kimya akiwa ananifokea atafoka na akiona simjibu anaondoka ,kunasiku akasema kwanini nikikusemesha mbona hujibu nikamwambia wewe umenizidi na siwezi kujibizana na wewe toka siku hiyo hajawai nifokea anasema kwa usitaarabu, kila kitu ni kumtanguliza Mungu akukutanishe na watu sahihi .
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Mambo
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Sasa iv kwa madam wangu namiaka 8
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 5 месяцев назад
Ni kweli pia hata mm pia Niko miaka kumi na 16 na Boss uyu uyu pia kuvumiliya ndio kikubwa nakuomba mungu akupe Afya na subira
@jovithajoel7296
@jovithajoel7296 11 месяцев назад
Ardhi ya wajukuu wa mtume😊. Asante Kwa kunielimisha.
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 11 месяцев назад
Mimi nipo oman mwanzo nikuwa kwa mamake sahivi nipo kwa mwanawe niko na mika 4 kwa mwanawe wala sibadilishi nyumba hana shida tunavyumiliyana kila mtu na mapungufu yake alhadulilah🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@yusraally7264
@yusraally7264 11 месяцев назад
Hongera mpambanaji mwenzangu. Kwakujitambua na kuwa mvumilivu .... hakuna kukata tamaa mpaka kieleweke inshaallah .... Asante kwa maoni yako
@noely-A
@noely-A 7 месяцев назад
Yas
@BertinaCharlie
@BertinaCharlie 7 месяцев назад
​​@@yusraally7264Hongereni Dada zetu ila msifanye ile michezo ya kuwategemea ndugu wadogo au wengine hata wazazi wetu kwa kuwaamini kuwatumia hela nyumbani kwajili ya kujenga nyumba ili kesho na keshokutwa unasema unarejea nyumbani ukatulie sehem nzuri kwa mapambano ya miaka yote hiyo maana wengi wamelia kwa kuwaamini ndugu na wazazi mwisho wa siku unakaa miaka Mungu bila mafanikio wakija kukagua vituko tupu kilio au plesha nakupelekea kifo Mungu awabariki awalinde na kuwaongoza Dada zetu
@pendoEmmanueli
@pendoEmmanueli 6 месяцев назад
namimi naomba unitafutie kazi
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Mambo
@MonadiNadi-j6s
@MonadiNadi-j6s Месяц назад
Mm Nina miaka Kumi nyumba moja nashukru mungu 👏
@hatua123
@hatua123 Месяц назад
Hongera sana Moambanaji! Ikawe heri katika yote
@KassimAbdalla-vl6jw
@KassimAbdalla-vl6jw 11 месяцев назад
Umepata muajir mwema2 ni jambo la kushkuru mungu
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 9 месяцев назад
Napenda sana dubai kujakufanya kanzi
@salmaebrahim2058
@salmaebrahim2058 5 месяцев назад
Kazi yoyote ni kuvumiliya na kujiamini na pia eshima ndio muhimu mnooooooo kwenye kazi mm pia Niko kitambo Sana hapa Dubai ivyo tuko pamoja mnooooooo mpendwa wetu dada yusra
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Shuhuda kama hizi zinabeba maana sana kwa wale wenye kutafuta taarifa ili wapate kufanya maamzi. Shukurani kwa kutoa ushihuda huu
@FARAJIFADHILI-v6x
@FARAJIFADHILI-v6x 2 месяца назад
Ni kweli ninaomba mungu anikutanishe na watu sahii
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 5 месяцев назад
Mm kwa kweli kama kuna ya kuajiriwa hata hotelini kuosha vyombo niko radhi kuliko hiyo ya kulala kwa mtu miaka miaka siwezi jmn
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz
@ConfusedClipperButterfly-rk1gz 5 месяцев назад
Allahmdulilah Nina miaka9 HP Dubai ktk nyumba 1
@EddahBure-te7ft
@EddahBure-te7ft 5 месяцев назад
Ivi mnawezaje kukaa sehem moja mda mrefu ivyo !?
@FatmaKhamiss-y9f
@FatmaKhamiss-y9f 10 дней назад
Mm naitaji cna kufanya kaz huko nataman unaweza nisaidia nko tanzania
@halimapwagu3091
@halimapwagu3091 6 месяцев назад
Mungu atubaliki wapambanaji wote ti. Galfu wake na wakiume
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Ikawe heri na kwao wote tunaowapigania
@sospeteralex378
@sospeteralex378 4 месяца назад
Kama Una passport nijulishe
@shamimucollectiondubai9727
@shamimucollectiondubai9727 5 месяцев назад
Yusra good
@sadasaid4408
@sadasaid4408 5 месяцев назад
Ni kuvumilia tu, na kuweka malengo yako kichwani, mimi miaka 18 omni Alhamdulilah nyumba moja na sasa niko Tz nimepumzika
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Mashaallah jiyo kweli jata mimi pia
@TatuTatu-f1v
@TatuTatu-f1v 4 месяца назад
Nikweli kabisa hata mimi pia nimo miaka Kazaa nimo njumban 1
@felisterndeule-oc3yv
@felisterndeule-oc3yv 6 месяцев назад
Naomba kazi dubai
@PaskaziaJohn-c3k
@PaskaziaJohn-c3k 8 месяцев назад
Naipateje kax
@LucyTesha
@LucyTesha 6 месяцев назад
Kweli kabisa
@rehemayuda6822
@rehemayuda6822 9 месяцев назад
Dada na mimi naitaji kazi huko naomba kampani yako dada
@JeskaBayege
@JeskaBayege 8 месяцев назад
Dada na mmnaitaji kazi huko naomba kampan yako dada niko tanzania
@kashurusho863
@kashurusho863 5 месяцев назад
Ruga sasa ndo tatizo mnawezaje
@wardasaston
@wardasaston 11 месяцев назад
❤❤❤
@noors7030
@noors7030 6 месяцев назад
Samahanini jamani Dubai sio nchi ya wajukuu wa mtume sala Allah walehi wasallm hio sio makka wala Madina ni Dubai hahusiki namtume s A alehi wasallm
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Sawa. Tumepokea rekebisho
@SadahMohammed-c3e
@SadahMohammed-c3e 5 месяцев назад
Habari mm nna mdogowangu ana passport ila ajapata chansi ya kazi na anataka kutoka aka fanya kazi naomba msaada
@HusnaSharifu
@HusnaSharifu 5 месяцев назад
Nitafte
@pillyseleman8090
@pillyseleman8090 6 месяцев назад
Vigezo sio tatizo tatizo hata kwa ajenti laki tano juz tu mtu katoa ,kazi kupata kazi ndio mtihani kama kuna maajenti fungukeni watu waje wapambane
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk 5 месяцев назад
Swahiba napataje kazi dubai
@HajiMnyambwa
@HajiMnyambwa 9 месяцев назад
habari
@JaneWalter-m7l
@JaneWalter-m7l 5 месяцев назад
Naomba namba mwandishi
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 5 месяцев назад
Dada na mimi natafuta kazi nitakupataje
@AminaYassin-y5r
@AminaYassin-y5r 6 месяцев назад
Na mm naomba nafasi plz
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
hongera Sana mpambanaji mwenzangu nipo Oman mwaka wa 4 boss mmoja kikubwa ni uvumilivu na uturivu na kujuwa nini kilicho kutoa kwenu na kustahamir hisia za kimapenz hapo utapetaa❤❤❤❤
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera na iendelee kuwa heri. Uzidi kutenda yaliyo mema na mavuno utakayotoka nayo huko yalete neema kwa wapendwa wako unaowajali na kuwatakia mema
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera sana kwa kuendelea kupamba na kujitafuta. Kila kazi ina changamoto yake, kila binadamu ana namna yake jinsi alivyo na wengine wanavyomuona. Ikawe heri kwako na wote wenye kupambana nje ya maeneo yao ya asili.
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
@@hatua123 Ahsante dada kz njema
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Nimekaha mpaka passport yangu imeisha miaka kumi hapa dubai na nimefanya mpya uku uku dubai namshukuru sana
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Hongera. Iendelee kuwa heri kwako na wapendwa wako
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 6 месяцев назад
Naomba namimi nafasi uko jamn
@umfahad2609
@umfahad2609 5 месяцев назад
Unajua. Tatizo mtu akipata tatizo kwa mtu mmoja. Anasema waarabu wote wabaya. Hakuna sehemu yenye wabaya watupu. Wala wazuri watupu. Kl binadamu ana mapungufu yake. Mimi nipo Oman. Nna dada amemaliza miaka 7. Mwezi wa 5 anaenda livu na atarudi. Na tupo vizuri tu.
@hatua123
@hatua123 5 месяцев назад
Kila kazi ina changamoto zake. Basi yafaa kujiandaa kuzikabili
@DiwaniMwafongo
@DiwaniMwafongo 5 месяцев назад
Watanzania tutafute fursa popote pale, wakenya wanatoka lkn sisi tunabung'aa bung'aa,tu!!
@timesaid5504
@timesaid5504 6 месяцев назад
Dada nifanyie mpango na mm nimesha fanya kazi oman miaka 4 nahitaji nije nipambane na dubai
@HabibaIdany
@HabibaIdany 6 месяцев назад
Namimi naomben locetion uko
@HabibaIdany
@HabibaIdany 6 месяцев назад
Naomba namba za uyo dada
@ShemsaKiobya
@ShemsaKiobya 5 месяцев назад
Dada nisaidie natafuta kazi Dubai jamani
@Gamil-r9o
@Gamil-r9o 5 месяцев назад
Daake naomba namba
@ogdosho93
@ogdosho93 6 месяцев назад
Natoa Nafasi ya wanawake wa5.. mwenye kuwa interested anicheck.
@toor8984
@toor8984 5 месяцев назад
Toa namba ya mawasiliano mmi nataka kazi
@MgeniAkilimali
@MgeniAkilimali 5 месяцев назад
Hata Mimi niko tayari kufanya kazi
@rebeccajaphet6032
@rebeccajaphet6032 5 месяцев назад
Tow namba
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 5 месяцев назад
Wengine wetu japo sio wote haawajui nn kilicho Watoa kwao wanataka Uhuru ili watoke nje wakatafute mabwana Asa huku hizo mambo hamnaga huku kz Tu mapenzi kwenu Asa Una kuta mtu akikutana na hizo mambo kula anakula mapenz hapat hapo utasikia waarabu wanatunyanyasa wanatufungia ndani hakuna lolote ttz ni hapo ktkt ndo Pana mtihan ukivumilia hisia ukazieka pemben aaaah kwa nn usitobowe?sie kz mabebe nooo
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 9 месяцев назад
Dada naomba namba zako
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Hi
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 4 месяца назад
Dubai au huko Omani watu wanachukuliwa mwisho umri gani kufanya kazi?
@RozRoz12-d4d
@RozRoz12-d4d 6 месяцев назад
Mimi namiaka 15 sasa hapa dubai
@zainabzain3434
@zainabzain3434 6 месяцев назад
Mashaallah
@yusramkamiamaji7565
@yusramkamiamaji7565 Месяц назад
No yako dear tupate usaidizi
@RukhsanaOfficial_rukhy-ru7gn
@RukhsanaOfficial_rukhy-ru7gn 11 месяцев назад
Keep it up 🔥💕
@yusraally7264
@yusraally7264 11 месяцев назад
Thanks my dear ❤
@Ann-z6q1e
@Ann-z6q1e 9 месяцев назад
Nami nataman kuja uko naomba namba
@marymwapiya1274
@marymwapiya1274 8 месяцев назад
​@@Ann-z6q1e Una passport kuna mtu naweza kuunganisha naye akakufanyia mpango
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Hi
@ZolfaZolfa-hu9oc
@ZolfaZolfa-hu9oc 6 месяцев назад
Ongera namba namba yako
@MariyimJumanin
@MariyimJumanin Месяц назад
Mh
Далее
Ребенок по калькуляции 😂
00:32
Просмотров 162 тыс.
Mshahara wa mfanyakazi ndani , Oman, Saudi, Dubai..
8:05