Pia bizaa zote zitozwe kodi zote bandarini Hizimambo za kukadiria kodi na kodi zingine zote zifutwe huu niulaji tu wawatu na kingine kupunguza makadirio
Waafrika ni matajiri sana yani, ila daaa nashindwa ata nisemeje. Urusi kupitia gesi peke yake wameifanya nchi yao kua Taifa kubwa Duniani, Waarabu kupitia mafuta peke yake wamezifanya nchi zao na raia wao kua na maendeleo na Maisha mazuri. Lakini Afrika tunamali nyingi sana kushinda hizo nchi, lakini tumeshindwa kuleta maendeleo na kuwafanya Waafrika wawe na Maisha mazuri.