WANANCHI WA KIJIJI CHA MNYUNDO HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA MKOANI MTWARA WAMEINGIWA NA TAHARUKI KUBWA BAADA YA VYANZO 2 VYAO VYA MAJI WANAVYOVITUMIA, KUWEZA KULIPUKA MOTO NA HIVYO WAMEIOMBA SERIKALI KUTUMA WATAALAMU KUCHUNGUZA HALI HIYO YA MOTO KUWEZA KUWAKA KWENYE MAJI NA UBORA WA MAJI YENYEWE KWA MATUMIZI YA BINADAMU.
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our RU-vid Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
4 окт 2024