Kichwa cha habari kimetanguliwa na maneno: Breaking News. Na baadae katika kichwa cha habari ikaonekana neno: 5 years ago yaani taarifa hii ni ya miaka mitano iliyopita. Havioani! PUMBAFU BANGLADESH.
Ni kweli siasa za lissu hazieleweki,kwani hasemi yeye akiwa Rais atatukomboaje sisi wa Tz?je atafanyaje kuilinda Ngorongoro?na sisi wa mikoa mingine tuliohamishwa kupisha maendeleo hatukuwa watu?na wamasai tu ndio watu?
Hivi chuki ya lisu nikusema znz inakatiba yake enyi ccm wahurumieni wa tz mfano mimi nilikuwa najua znz ilimpindua mwarabu kumbe ni serikali iliyochaguliwa na wananchi wa znz