Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM, Ally Hapi ameendelea kuuwasha moto katika Ziara yake ya kutembelea mikoa mbalimbali (Mama Kwanza Mengine Baadaye) ambapo akiwa mkoani Singida, mkoa ambao anatoka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu, Ndugu Ally Hapi alimwaga sera za CCM na kuweka wazi namna dhambi za Ubaguzi zinamvyomla Tundu Lissu.
Hapi amewaasa wananchi wa Singida kuachana na siasa za ubaguzi na kuwaogopa kama ukoma wanasiasa wanaoeneza ubaguzi
7 окт 2024