Hizo ni figisu za TFF,badala ya kuangalia mapungufu ya waamuzi wao,wao wanakimbilia kuwafungia watu ambao wako sahihi.From where mtu anakuja kukuweka kidole jichoni utamuacha????Please you need to think before the action!!!!
Ko tff wanaleta waamuzi wabovu ili wawafungie watu wenye busara maana sio makosa ya kibinadamu bali nimwendelezo tu gamondi yuko sawa kwani tff ndy wawajibishwe makosa yote wao wanatazama2
wachukulie hatua za kisheria bro mtu hawezi akakuzushia from no where kuwa umekufa wakati upo hai sheria zipo na unaweza kumkujua.mtu aliyepost kwa.kufuatilia akaunt yake