East African number one RU-vid channel for Entertainment news,Sports as well as Politics News owned By Middle simba.
KANUNI NA MUONGOZO
Tunaripoti Matukio ya watu mashuhuri katika nyanja ya burudani, Michezo Filamu na mitindo ya maisha kwa kuzingatia misingi ya uandishi wa habari hapa nchini. Kufuata misingi kwa kuripoti habari zenye uwiano na usawa ndani yake,kutokuingilia faragha ya mtu,Kujiepusha na mambo yote yanayoweza kuleta sinto fahamu katika jamii yanayoweza kusababisha uchochezi.
NB:Tuna uhuru wa kufuta maoni yasiyokuwa na maadili au yenye matusi makali.
Huyu mwijaku Hana Akili timam ila nimefulahi kwa kile vujabei alicho ongea sisi wenyewe mashabiki túsingekubali kabisa huyu jama mwijaku Hana Akili kabisa analopokatu
Inawezekana unajua Tanzania tuna madini mengi akilideal na hayo mambo anaweza kutoboa ila mziki peke yake hapana atadanganya maana hata wasanii wakubwa wa marekani bado hawajamgusa elon musk 😂😂😂😂
Thank you so much Middle Simba, Mimi ni shabiki wako mkubwa na Nina homba mungu one day ukuwe the best midea in the world not is impossible just never give up!! Hope to meet you some day. 🫵❤️🔥✨🫡🙏
Diamond ni mtu ambaye anatumia vitu ambavyo sio vyake kwa ajili ya show off na kukuza brand kijinga, ukitaka kujua mond ni mtu muongo muongo hebu fikiria kweli mond ni wa kutapeliwa bilioni 4 ya ndege WE HUOGOPI?😂😂